Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Their brains have come back. A camellion style indeed.
HakikaUsisumbuke na mwanadamu. Hasa anaetetea tonge.
Walikuwa wamekabidhi akili zao kwa dhalim,walibakishiwa za kuvalia nguo na kwendea chooni tu
Kuishi nyumba moja na shetani ni mtihani mkubwa sana
Ilikuwa ni balaa snLazima anenepe. Katua mzigo mkubwa wa utemi na ubabe uliomuelemea miaka mingi. Kila tabia iwe njema au mbaya huanzia nyumbani. Sasa jiulize kama nchi nzima ilielemewa huko nyumbani kulikuwaje.
Tena mwenye kila aina ya silaha za motoKuishi nyumba moja na shetani ni mtihani mkubwa sana
We acha tu!! Huyu kiumbe aitwaye mwanadamu!!!!!!!Wazee wa Nyungu...leo wote wamepiga barakoa...dunia hii nyiee!!!
I don't think so!! They put on the masks when they are on front of the camera!! We know them for they live among us!!!Their brains have come back. A camellion style indeed.
Ila mzee hapa alichagua. Maza ni pisi kali balaa. Me napenda swaga zake za ki afrika. Hapigi mawigi wala nini yaani yupo natural brown skin...Namuelewa sana. In another life mzee atanisamehe tu lazima nimuwahi kabla hajafika.
Siyo kweli!! Wanavaa barakoa tu wanapokuwa mbele ya kamera! Hawa si tunawafahamu na wanaishi kwenye jamii miongoni mwetu!!!Walikuwa wamekabidhi akili zao kwa dhalim,walibakishiwa za kuvalia nguo na kwendea chooni tu
Si hapo wanatafuta pesa ya IMF, au umesahau masharti waliyopewa?
Wamechwanjwa haoMabeberu (G7 leaders) wakiendelea kuung'ong'a ulimwengu kwa kushinikiza lockdown, barakoa na social distancing wakati wao wanafanya kufuru ya kutokuvaa barakoa, kukaribiana sana wakifurahia maisha!! Sijui wanatuonaje tunaposhobokea masharti yao kwa ajili ya kitu kidogo kwa gia ya "mkopo wenye masharti nafuu wa kupambana na corona hewa"! Hawa hapa:
View attachment 1818595
Mkuu 'Samcerzar', wewe ni mchekeshaji? Umenifanya nicheke mkuu wangu.Ila mzee hapa alichagua. Maza ni pisi kali balaa. Me napenda swaga zake za ki afrika. Hapigi mawigi wala nini yaani yupo natural brown skin...Namuelewa sana. In another life mzee atanisamehe tu lazima nimuwahi kabla hajafika.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Na hapa walipokuwa wanafanya unafiki wa social distancing walikuwa hawajachanjwa au?? Na ni jana yake tu!! Hebu waone hao wanafiki wa kutupwa:
Halafu anataka aje kuwapotosha watu hapa!
Unawaita Wanafiki?Na hapa walipokuwa wanafanya unafiki wa social distancing walikuwa hawajachanjwa au?? Na ni jana yake tu!! Hebu waone hao wanafiki wa kutupwa:
View attachment 1818603
Mkuu 'Samcerzar', wewe ni mchekeshaji? Umenifanya nicheke mkuu wangu.
Na hapa walikuwa hawajachanjwa? Unafiki umepata autakaye! Hapa nj jana yake tu! Picha rasmi mbele ya kamera!! Walipofika beach wakiwa na waalikwa wengine sura halisi ikajitokeza!!