Siku zinavyozidi kwenda nazidi kuutilia Shaka uwepo wa Mungu

Siku zinavyozidi kwenda nazidi kuutilia Shaka uwepo wa Mungu

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.

Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
 
Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.

Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️

Mambo yako yatakuwa yanakuendea vyema.

Subiri ukitembelewa na tezi dume utatuletea mrejesho.
 
Kinachokutesa ni Maandiko ..

Mungu yupo na ana upendo kupitia Kazi zake tunazozina like Mvua, Jua, Nyota, Mwezi, Hewa, Maji, Viumbe tofauti, Usiku na Mchana, Kuelea kwa dunia nk..

Anza kutafakari nguvu ya Mungu bila kuhusisha Maandiko ya Dini ..

Huko yameelezwa mengi ambayo si kweli like Mungu anasamehe wakati huohuo imeandikwa tena anampango wa kuchoma watu Moto Lastday.. Usamehevu gani huo?

Eti ana Upendo na akatuumbia shetani makusudi huku Anauwezo wa kupredict Future...upendo gani huo?
 
Mungu wa kwenye biblia ambaye anakimbia kifo. Ama anashindwa kumuua shetani. Huyo Mungu hayupo


Screenshot_20240819-152724_TikTok.jpg
 
Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.

Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
Kabla ya kuwa na haya mashaka umejiuliza kwanini wao sio wewe?
 
Kinachokutesa ni Maandiko ..

Mungu yupo na ana upendo kupitia Kazi zake tunazozina like Mvua, Jua, Nyota, Mwezi, Hewa, Maji, Viumbe tofauti, Usiku na Mchana, Kuelea kwa dunia nk..

Anza kutafakari nguvu ya Mungu bila kuhusisha Maandiko ya Dini ..

Huko yameelezwa mengi ambayo si kweli like Mungu anasamehe wakati huohuo imeandikwa tena anampango wa kuchoma watu Moto Lastday.. Usamehevu gani huo?

Eti ana Upendo na akatuumbia shetani makusudi huku Anauwezo wa kupredict Future...upendo gani huo?
Kama Mungu analeta mvuaasi jangwani pangekuwa inanyesh mvua
 
Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.

Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Watu wanahangaika sana kumuongelea na kumuelezea huyo Mungu, Kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea na kujidhihirisha mwenyewe yeye kama yeye, kwamba yupo.

In the jungle of life Salvation is largely on your hands, There is no God who is there to help you.
 
Back
Top Bottom