Siku zote tunaambiwa kwa wazungu wanamiliki uchumi wa Kenya, kwa wenzetu Waarabu na Wahindi ndio wenye kila kitu

Hao uliowataja karibia wote wana damu ya kiafrika. Usibabaike na majina na rangi. Waarabu wa Tanzania wamechanganya sana damu na waafrika miaka na miaka.
 
Naomba kujua hao ni waarabu na wahindi au watanzania wenye asili ya uarabu na kihindi?
 
Pumbavu eti ndugu zetu katika imani. Ndo mana dada zenu wanaliwa boga kama watumwa uko omani kwa kwa kujipendekeza kwenu kwa waarabu eti ndugu zenu kiimani wakati wao wanawaona nyie ngedere tuu. Kama ndugu zenu mbona libya wanawaua wenye ngozi kama yako na ni imani moja, mbona darfur waliwachomea moto vibanda vyenu kisa rangi zenu nyoko eti ndugu zenu kiimani mnajilegeza huku kidole kinawaingiA hadi hapo watakapokuja kuwachoma moto.
 

Wahindi matajiri Kenya ni second or third generation. Hawajui taifa lingine.
Wazazi wao walikuja Kenya miaka ya 1800s.
 
Nenda google km una umuhimu nao sana...manake mi nmeshaenda kw ya tz nikaona wahindi na waarabu kibao[emoji23][emoji23][emoji23]

Ukitegemea Google kwa kila kitu...kwani huna ubongo!!!
Ndo maana unaleta ujinga mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…