Pumbavu eti ndugu zetu katika imani. Ndo mana dada zenu wanaliwa boga kama watumwa uko omani kwa kwa kujipendekeza kwenu kwa waarabu eti ndugu zenu kiimani wakati wao wanawaona nyie ngedere tuu. Kama ndugu zenu mbona libya wanawaua wenye ngozi kama yako na ni imani moja, mbona darfur waliwachomea moto vibanda vyenu kisa rangi zenu nyoko eti ndugu zenu kiimani mnajilegeza huku kidole kinawaingiA hadi hapo watakapokuja kuwachoma moto.Tanganyika ni nchi ya tamu sana,yaani wakati nasoma hayo majina ya akina Bakhressa,Rostam,GSM,Abood yaani nawaona waswahili wenzangu kabisa na ukiangalia ni ndugu zetu katika imani na tunashirikiana kwa kila kitu mpaka ngazi ya mashinani,hao ni wenzetu rangi yao sio hoja.Kwanza wengine wapo hapo kizazi cha 4 sasa.Motisum ya Subhash,Subhash nae ni Mtanganyika,mamake mzazi alikua bint wa Kikwere hapo Bagamoyo.
Kuna yule mhindi ana kampuni ya kutengeneza nondo.. alikuja Kenya akiwa kijana mkubwa kama preacher kwenye temple hapo Nai, sasa nitajiri anaji ita mkenya huku akichuma tu. Tatizo Kenya mnaruhusu dual citizenship, hao wa wakina Bakhressa mitaji yao yote hipo Tz na hawana link na taifa jingine.
Nenda google km una umuhimu nao sana...manake mi nmeshaenda kw ya tz nikaona wahindi na waarabu kibao[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukitegemea Google kwa kila kitu...kwani huna ubongo!!!
Ndo maana unaleta ujinga mwingi
Bill gate ulimjulia wapi wewe km si mitandaoni.....
Ukwel waujua ila unatapa tapa tu
Billgate simjui ...
Wewe ni saa mbovuHewaaa...kumbe veve wa kijiweni...huyambo myomba..ndoo tule wali na tuzi la nazi angalau na veve ujirambe zidole...
Wewe ni saa mbovu
Don't wanna waste my time