Sikuabliani na Magufuli kuhusu somo la Historia. Kama ni Uzalendo, watoto watajifunza kwenye somo la URAIA

Sikuabliani na Magufuli kuhusu somo la Historia. Kama ni Uzalendo, watoto watajifunza kwenye somo la URAIA

Historia ya kinjekitile ngwalu na mangungo imekusaidiaje kuwa mzalendo?
Historia ya Tanzania Ni pana kuliko hao uliowataja.Tena wanatajwa sehemu ndogo Sana katika Historia kidato Cha tatu.Tatizo sisi wabongo wajuaji Sana.
 
ni kipi ambacho wewe binafsi hujasomeshwa shuleni kuhusu historia ya Tanzania hadi liletwe somo jipya ?
Isome comment yangu na kile nilichimjibu mleta mada fanya tafakuri utaelewa naona hujaelewa bado.Kama unahitaji mawazo kwenye hili sawa.
 
Historia ya Tanzania Ni pana kuliko hao uliowataja.Tena wanatajwa sehemu ndogo Sana katika Historia kidato Cha tatu.Tatizo sisi wabongo wajuaji Sana.
Kwahiyo unataka iwataje wengi wengine? Akina Pinda, Lugola, msukuma, na Majimarefu wawemo? Ndo itajenga uzalendo?
 
Kwahiyo unataka iwataje wengi wengine? Akina Pinda, Lugola, msukuma, na Majimarefu wawemo? Ndo itajenga uzalendo?
Labda bandiko lako likngekuja baada ya kusoma hiyo Historia inayoandikwa kwanza alafu tuje tujadiliane mkuu.
 
hujajibu swali, baada ya kusoma historia za hao niliowataja, imekusaidiaje kwenye uzalendo/
Hakuna swali hapo,labda wewe ndo uelewi kuwa hao wanatajwa kwenye Historia na sio kusomwa.Unaelewa maana ya kusomwa?
 
Hakuna swali hapo,labda wewe ndo uelewi kuwa hao wanatajwa kwenye Historia na sio kusomwa.Unaelewa maana ya kusomwa?
sasa kama kutajwa sio kusomwa, hilo somo mnalotaka kuanzisha litakuwa la practical kwamba tutakuwa tunawashika kabisa na sio kuwataja (theory)
 
Labda bandiko lako likngekuja baada ya kusoma hiyo Historia inayoandikwa kwanza alafu tuje tujadiliane mkuu.
Mkuu hoja yangu ni kwamba historia kamwe haijengi uzalendo. Kwasabb tumesoma vitabu vingi na tumewasoma watu wengi walioqndikwa na waandishi mbalimbali kama sehemu ya historia ya nchi hii lkn bado watu wana hasira Sana na nchi hii.

Magufuli qnatafuta sifa za kijinga tu
 
sasa kama kutajwa sio kusomwa, hilo somo mnalotaka kuanzisha litakuwa la practical kwamba tutakuwa tunawashika kabisa na sio kuwataja (theory)
Akikujibu unitag. Swali zuri sana hili
 
sasa kama kutajwa sio kusomwa, hilo somo mnalotaka kuanzisha litakuwa la practical kwamba tutakuwa tunawashika kabisa na sio kuwataja (theory)
Kwani umeambiwa humo wamo hao unaowajua wewe?Au kwa Sababu aliyetoa wazo ndie una allergy nae.Subiri ianze ndo mtoe maoni.Mimi sioni ubaya wowote ila ningeshauri iliyoki iboreshwe iingizwe hiyo Historia ya Tanzania maana imeminywa Sana.
 
Hapa naamua kuwa OBJECTIVE, somo la history ndilo linalompa mtu "sprit of Patriotism "

Hiyo ni moja ya OBJECTIVE ya somo la HISTORIA.
Mathalani Kitendo cha MKWAWA,BWANA HERI,ABUSHIRI ,YUSUPH BIN OMARY MAKUNGANYA,KINJEKETILE, Kuupinga utawala wakoloni kwa kuchukua silaha.

Wanafunzi wansposoma ,wanahamasika kabisa ,wanakuwa inspired kuipigania nchi, kuipenda wakitumia mfano mzuri wa hao mashujaa waafrikawaloishi miaka ya 1880's

Mh Rais kama kazungumzia kuwa somo la history linawajenga watu kuwa wazalendo YUPO SAHIHI asilimia 100%.

Kuhusu Civics somo la Uraia kiasi kikubwa linabase kwenye haki za Raia na wajibu.

MIMI NI MWALIMU MTAALAMU WA MASOMO HAYO MAWILI.

2018 nilifaulisha civics na darasa langu lilikiwa 20 kitaifa,2019 History tena 20 kitaifa.

Nimetoa maoni kama Mtaalamu mbobezi katika masomo hayo.

Katika kauli ya Rais yupo sahihi 100% tusiwe tunampinga kwa kila kitu,mambo mengine tuwe OBJECTIVE.

UKANA SHILUNGO.🙏🙏🙏

Hebu sema umewahi kumpinga kwa lipi mpaka uonyeshe asipingwe kwa kila kitu.
 
Mkuu hoja yangu ni kwamba historia kamwe haijengi uzalendo. Kwasabb tumesoma vitabu vingi na tumewasoma watu wengi walioqndikwa na waandishi mbalimbali kama sehemu ya historia ya nchi hii lkn bado watu wana hasira Sana na nchi hii.

Magufuli qnatafuta sifa za kijinga tu
Mkuu tunapishana kwenye hiyo sentence kuwa Historia haijengi uzalendo.Hapo nitaendelea kupinga mkuu ndani ya Historia ndio Kuna spirit ya patriotism.Historia ni muhimu kwa kizazi Cha Leo na kesho katika kujenga uzalendo.
 
Wewe na wajinga wenzio ni mizigo kwenye hii Nchi watu wenye akili wanawaza namna gani wagundue vitu visaidie dunia nyie mnaleta upumbafu wa historia jinga kabisa

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app

Ahaaaa ahaaaa, hilo somo la historia linaletwa ili kufundisha watu uoga na kusujudu viongozi wezi wa Kura.
 
Mkuu tunapishana kwenye hiyo sentence kuwa Historia haijengi uzalendo.Hapo nitaendelea kupinga mkuu ndani ya Historia ndio Kuna spirit ya patriotism.Historia ni muhimu kwa kizazi Cha Leo na kesho katika kujenga uzalendo.

Viongozi wote wezi wa nchi hii wamesoma historia mbona hawana uzalendo? Hilo somo la uzalendo wakadundishane wanaccm ndio wana muda wa kulishana uzalendo uchwara.
 
Lengo kubwa la somo la historia ni kumfanya mwanadamu ajifunze yaliyopita ulimwenguni kote (siyo Tanzania tu) na hivyo kumwepusha kurudia makosa ya huko nyuma. Na wala siyo kufundisha uzalendo.

BTW, nani kamdanganya JPM kuwa uzalendo unafundishwa darasani? Uzalendo maana yake ni upendo wa raia yeyote kwa nchi yake?

Sasa nani amewahi kufundishwa kupenda kitu, mtu(mke/mume/dada/kaka/baba/mama) au nchi? Upendo kwa nchi ni zao la Uhuru, Haki na usawa kwa raia.


Sasa kama hata haki ya kuchagua na kuchaguliwa inaporwa nani ataipenda nchi hii? Kama watu wanalalamika kuhusu ajira, mishahara duni masoko ya mazao hakuna, biashara zinakufa, Uhuru wa kujieleza unabinywa nani ataipenda Tanzania?

Kwahiyo hapa ninaona JPM ana nia ya kutaka jina lake liandikwe kwenye vitabu vya historia, awe anasomwa kama msukuma wa kwanza kuwa rais.

Ndiyo hicho tu anachokitafuta JPM hakuna kingine. Kutafuta sifa tu ndiyo kuna msumbua. Ningemwelewa kama angeshauri uzalendo utiliwe mkazo kwenye somo la uraia.

kwani ushakubaliana na chochote kuhusu magufuli since you were born? si kila sku kuponda ndo kazi yako
 
Kwani umeambiwa humo wamo hao unaowajua wewe?Au kwa Sababu aliyetoa wazo ndie una allergy nae.Subiri ianze ndo mtoe maoni.Mimi sioni ubaya wowote ila ningeshauri iliyoki iboreshwe iingizwe hiyo Historia ya Tanzania maana imeminywa Sana.
tatizo lako ni uelewa, nimekuuliza uniambia umepata faida gani kuwasoma hao ili kujustify kelele zenu kuwa kuwafundisha watoto historia ya tanzania ndio kuwafanya wawe wazalendo
 
Back
Top Bottom