Sikubaliani kabisa na utaratibu wa Serikali kuwataka wananchi kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa ilihali imetumia bilioni 700 kujenga daraja

Sikubaliani kabisa na utaratibu wa Serikali kuwataka wananchi kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa ilihali imetumia bilioni 700 kujenga daraja

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Huu ndiyo ukweli wangu. Binafsi naumia sana kuona mipango mhimu kama elimu inafanywa bila utaratibu.

Majengo mengi yaliyojengwa na wananchi yapo chini ya kiwango na bado Serikali inaendelea na utaratibu huu wa hovyo. How can we be safe?

Pesa za umma zitumike kwenye elimu, afya na ulinzi.

Tofauti kubwa nayoiona huu utaratibu wa kuchangia gharama za ujenzi ndiyo umeharibu suala la Serikali katika kutimiza majukumu yake.
 
IMG-20210108-WA0016.jpg
 
Kama unalo lalamikia ni daraja la busisi -kigongo mwanza kwa kweli wewe nunaa na uzire adi upasukee tuu, daraja hili ni lzima lijengwe tuu

Sijui kama unajua adi leo hii bado kuna miundo mbinu mizuri tuu ya madaraja, barabara, hata na hata majengo & reli iliyojengwa na wakoloni na adi leo hii bado inatumika na bado ni msaada mkubwa kwa Maisha ya kila siku kwa watanzania

Ebu toeni hapa siasa zenu za ukanda na ujinga ujinga apaaa, nyambafuu,
 
kama unalo lalamikia ni daraja la busisi -kigongo mwanza kwa kweli wewe nunaa na uzire adi upasukee tuu, daraja hili ni lzima lijengwe tuu

sijui kama unajua adi leo hii bado kuna miundo mbinu mizuri tuu ya madaraja, barabara, hata na hata majengo & reli iliyojengwa na wakoloni na adi leo hii bado inatumika na bado ni msaada mkubwa kwa Maisha ya kila siku kwa watanzania

Ebu toeni hapa siasa zenu za ukanda na ujinga ujinga apaaa, nyambafuu,
Una elimu gan?
 
kama unalo lalamikia ni daraja la busisi -kigongo mwanza kwa kweli wewe nunaa na uzire adi upasukee tuu, daraja hili ni lzima lijengwe tuu

sijui kama unajua adi leo hii bado kuna miundo mbinu mizuri tuu ya madaraja, barabara, hata na hata majengo & reli iliyojengwa na wakoloni na adi leo hii bado inatumika na bado ni msaada mkubwa kwa Maisha ya kila siku kwa watanzania

Ebu toeni hapa siasa zenu za ukanda na ujinga ujinga apaaa, nyambafuu,
Wewe ndiyo mkanda umeona wapi nimepoint ukanda! We ni hasara kwa mumeo.
 
Huu ndiyo ukweli wangu. Binafsi naumia sana kuona mipango mhimu kama elimu inafanywa bila utaratibu.

Majengo mengi yaliyojengwa na wananchi yapo chini ya kiwango na bado Serikali inaendelea na utaratibu huu wa hovyo. How can we be safe?

Pesa za umma zitumike kwenye elimu, afya na ulinzi.

Tofauti kubwa nayoiona huu utaratibu wa kuchangia gharama za ujenzi ndiyo umeharibu suala la Serikali katika kutimiza majukumu yake.
Vipi wale waliowataka wananchi masikini wachangie mikutano yao ya kisiasa huku wakiwa tayar wameshakusanya mamilioni ya michango wa wabunge jumlisha na ruzuku ya chama iliyokuwa inakusanywa kila mwezi? Au lile la michango ya mikutano ya siasa haukuliona?
 
kama unalo lalamikia ni daraja la busisi -kigongo mwanza kwa kweli wewe nunaa na uzire adi upasukee tuu, daraja hili ni lzima lijengwe tuu

sijui kama unajua adi leo hii bado kuna miundo mbinu mizuri tuu ya madaraja, barabara, hata na hata majengo & reli iliyojengwa na wakoloni na adi leo hii bado inatumika na bado ni msaada mkubwa kwa Maisha ya kila siku kwa watanzania

Ebu toeni hapa siasa zenu za ukanda na ujinga ujinga apaaa, nyambafuu,
Ficha ujinga mkuu
 
Vipi wale waliowataka wananchi masikini wachangie mikutano yao ya kisiasa huku wakiwa tayar wameshakusanya mamilioni ya michango wa wabunge jumlisha na ruzuku ya chama iliyokuwa inakusanywa kila mwezi? Au lile la michango ya mikutano ya siasa haukuliona?
michango ile si ilkuwa hiyari au hujui huko kishapu usipotoa 70k ya kujenga madarasa kwa ajili ya elimu bure unakula pingu?
 
Unasema daraja imetumia 460million kununua gari la mkurugenzi

Honestly, nchi hii ina fedha nyingi sana zinazoweza kuboresha sana maisha ya watu wa chini vijijini na mijini...

Tatizo ni ubinafsi na ulafi wa viongozi wetu...

Dawa ya hii inayoweza kuleta discipline, ni kujenga mfumo mpya wa kiutawala unaotoa NGUVU na MAMLAKA kamili kwa wananchi kupitia serikali zao za mitaa...

Wananchi wanapaswa kuwa na nguvu na mamlaka ya kuwadhibiti viongozi tofauti na sasa viongozi wanatudhibiti sisi wananchi kuwawajibisha mpaka wanatupiga na viboko...

Tujifunze toka Marekani na kinachoendelea sasa huko..

Rais wao Donald Trump amejaribu kutaka kupora mamlaka ya wananchi, akadhibitiwa vilivyo na sasa Yuki kifungoni na utaratibu wa kisheria unaendelea kumvua mamlaka yake ya Urais...
 
Huu ndiyo ukweli wangu. Binafsi naumia sana kuona mipango mhimu kama elimu inafanywa bila utaratibu.

Majengo mengi yaliyojengwa na wananchi yapo chini ya kiwango na bado Serikali inaendelea na utaratibu huu wa hovyo. How can we be safe?

Pesa za umma zitumike kwenye elimu, afya na ulinzi.

Tofauti kubwa nayoiona huu utaratibu wa kuchangia gharama za ujenzi ndiyo umeharibu suala la Serikali katika kutimiza majukumu yake.
Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe.
 
kama unalo lalamikia ni daraja la busisi -kigongo mwanza kwa kweli wewe nunaa na uzire adi upasukee tuu, daraja hili ni lzima lijengwe tuu

sijui kama unajua adi leo hii bado kuna miundo mbinu mizuri tuu ya madaraja, barabara, hata na hata majengo & reli iliyojengwa na wakoloni na adi leo hii bado inatumika na bado ni msaada mkubwa kwa Maisha ya kila siku kwa watanzania

Ebu toeni hapa siasa zenu za ukanda na ujinga ujinga apaaa, nyambafuu,

Kuliko kuweka 700b kwenye mradi mmoja wa daraja, si ni bora angenunua vivuko vinne ya 50b@, kisha hiyo 500b ikatumika kujenga viwanda vya kimkakati wangalau 5 vya 100b@ huko huko kwenye kanda yenu vitoe ajira?
 
Dah kuna jamaa katoka China huko na ndege binafsi kuja kutusaidia mil 300!angeambiwa tu hii senti ni mboga siku hizi tunaongea mabilioni
 
Huu ndiyo ukweli wangu. Binafsi naumia sana kuona mipango mhimu kama elimu inafanywa bila utaratibu.

Majengo mengi yaliyojengwa na wananchi yapo chini ya kiwango na bado Serikali inaendelea na utaratibu huu wa hovyo. How can we be safe?

Pesa za umma zitumike kwenye elimu, afya na ulinzi.

Tofauti kubwa nayoiona huu utaratibu wa kuchangia gharama za ujenzi ndiyo umeharibu suala la Serikali katika kutimiza majukumu yake.
Ilitakiwa wananchi tuchangie ujenzi wa madaraja halafu serikali ijenge madarasa kwa fedha za mapato ya ndani
 
Hamna cha kuamka, kura anaiba, kuingilia barabarani kuuwawa ni kitu cha mbele kabisa, na anawapambe kibao, wasanii, wachungaji mashehe, wote wanamsifia kwa kila jambo!
Sijakuelewa. Una maana tutulie na kunyamaza kimya tu kwa sababu ana hayo?

Hata kama ni hivyo, lazima tuamke bila kujali hayo yote. Wewe uliyekwisha amka, sema na watu waliolala nao waamke...

Dola la Rumi na Uyunani ilianguka, sembuse hawa weusi wenzetu?

Inawezekana...!!

Anza wewe, waambie na wengine...!!
 
Huu ndiyo ukweli wangu. Binafsi naumia sana kuona mipango mhimu kama elimu inafanywa bila utaratibu.

Majengo mengi yaliyojengwa na wananchi yapo chini ya kiwango na bado Serikali inaendelea na utaratibu huu wa hovyo. How can we be safe?

Pesa za umma zitumike kwenye elimu, afya na ulinzi.

Tofauti kubwa nayoiona huu utaratibu wa kuchangia gharama za ujenzi ndiyo umeharibu suala la Serikali katika kutimiza majukumu yake.
Sasa unataka nani ajenge mkuu,
 
Huu ndiyo ukweli wangu. Binafsi naumia sana kuona mipango mhimu kama elimu inafanywa bila utaratibu.

Majengo mengi yaliyojengwa na wananchi yapo chini ya kiwango na bado Serikali inaendelea na utaratibu huu wa hovyo. How can we be safe?

Pesa za umma zitumike kwenye elimu, afya na ulinzi.

Tofauti kubwa nayoiona huu utaratibu wa kuchangia gharama za ujenzi ndiyo umeharibu suala la Serikali katika kutimiza majukumu yake.
Serekali inamipango mikubwa mikubwaa haya madogo madogo ni saizi yetu wazalendo wa Taifa hili.
 
Back
Top Bottom