fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Walikuwa wananunuliwa kwa mamilion ya pesa, zote walizoinvest kwenye uchaguzi huku wakijua kuwa wataiba kura haikuwa na maana. Sasa wanaanzisha kodi mbalimbali na kuwalazimisha wananchi wachangie garama za kujenga madarasa watakaoshindwa kuwasweka rumande. Tuliyataka wenyeweHata zile pesa zilizotumika kununua Madiwani na Wabunge Nchi nzima, zingetosha kuongeza Madarasa Nchi nzima!
Mitano teeeena au nasema uongo jamani?