Sikubaliani na gharama ya ujenzi wa uwanja wa Dodoma kwa Tshs.310 billioni

Sikubaliani na gharama ya ujenzi wa uwanja wa Dodoma kwa Tshs.310 billioni

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Kwa kuwa mimi sijasoma sana na sina taaluma ya uhasibu lakini binafsi gharama ya uwanja wa Dodoma unaochukua watu takribani 32,00 tu unajengwa kwa shillingi za Kitanzania 310 billioni.

Kama uwanja wa Mkapa uliojengwa enzi hizo kwa Tshs.65 na unachukua watu 60,00 iweje huu unaochukua watu 32,000 kigharimu kiasi kikubwa hicho cha fedha.

Pili, kama ni kujenga uwanja Dodoma ambao ni mji mkuu wa nchi ya Tanzania, kujenga uwanja kama huo ni dharau kwa nchi.

Ni vema Serikali ikajenga uwanja mkubwa wenye kuchukua watu takriban 100,000 kuliko kujenga kiwanja chenye hadhi ya Halmashauri.
 
Kwa kuwa mimi sijasoma sana na sina taaluma ya uhasibu lakini binafsi gharama ya uwanja wa Dodoma unaochukua watu takriban32,00 tu unajengwa kwa shillingi za Kitanzania 310 billioni. Kama uwanja wa Mkapa uliojengwa enzi hizo kwa Tshs.65 na unachukua watu 60,00 iweje huu unaochukua watu 32,000 kigharimu kiasi kikubwa hicho cha fedha.

Pili, kama ni kujenga uwanja Dodoma ambao ni mji mkuu wa nchi ya Tanzania, kujenga uwanja kama huo ni dharau kwa nchi. Ni vema Serikali ikajenga uwanja mkubwa wenye kuchukua watu takriban 100,000 kuliko kujenga kiwanja chenye hadhi ya Halmashauri.
Hao watu wakwapi sasa..
Bora uwanja ungejegwa zanzibar huko..kule kuna watalii wengi
 
Kwa kuwa mimi sijasoma sana na sina taaluma ya uhasibu lakini binafsi gharama ya uwanja wa Dodoma unaochukua watu takriban32,00 tu unajengwa kwa shillingi za Kitanzania 310 billioni. Kama uwanja wa Mkapa uliojengwa enzi hizo kwa Tshs.65 na unachukua watu 60,00 iweje huu unaochukua watu 32,000 kigharimu kiasi kikubwa hicho cha fedha.

Pili, kama ni kujenga uwanja Dodoma ambao ni mji mkuu wa nchi ya Tanzania, kujenga uwanja kama huo ni dharau kwa nchi. Ni vema Serikali ikajenga uwanja mkubwa wenye kuchukua watu takriban 100,000 kuliko kujenga kiwanja chenye hadhi ya Halmashauri.
Tunaongozwa na Chama Cha Majambazi
 
Kwa kuwa mimi sijasoma sana na sina taaluma ya uhasibu lakini binafsi gharama ya uwanja wa Dodoma unaochukua watu takriban32,00 tu unajengwa kwa shillingi za Kitanzania 310 billioni. Kama uwanja wa Mkapa uliojengwa enzi hizo kwa Tshs.65 na unachukua watu 60,00 iweje huu unaochukua watu 32,000 kigharimu kiasi kikubwa hicho cha fedha.

Pili, kama ni kujenga uwanja Dodoma ambao ni mji mkuu wa nchi ya Tanzania, kujenga uwanja kama huo ni dharau kwa nchi. Ni vema Serikali ikajenga uwanja mkubwa wenye kuchukua watu takriban 100,000 kuliko kujenga kiwanja chenye hadhi ya Halmashauri.
Hizo gharama ni kubwa sana wangetenga hizo pesa kwa ajili ya kuanzisha academi za michezo na sanaa 10 nchi zima basi hakika tungekuwa mfano africa mashariki.
Kila academi ijegwe kwa billion 30.
 
Hakuna miaka hii nchi imepigwa Kama 2021-2025
Wewe hata huelewi chochote.

Watu walipiga pesa kipindi cha 2015-2020; na kama kweli wapo wanaopiga muda huu, wanadonoa tu huku darubini la Ikulu likiwa linawamulika; dawa yao iko njiani

Hayupo Rais mwingine nchi hii atakayekuja kuzungukwa kama alivyokuwa anazungukwa Hayati JPM

Yaani Hayati JPM. alikuwa anaibiwa, na alikuwa hajui kama anaibiwa!
 
Hii
Kwa kuwa mimi sijasoma sana na sina taaluma ya uhasibu lakini binafsi gharama ya uwanja wa Dodoma unaochukua watu takriban32,00 tu unajengwa kwa shillingi za Kitanzania 310 billioni. Kama uwanja wa Mkapa uliojengwa enzi hizo kwa Tshs.65 na unachukua watu 60,00 iweje huu unaochukua watu 32,000 kigharimu kiasi kikubwa hicho cha fedha.

Pili, kama ni kujenga uwanja Dodoma ambao ni mji mkuu wa nchi ya Tanzania, kujenga uwanja kama huo ni dharau kwa nchi. Ni vema Serikali ikajenga uwanja mkubwa wenye kuchukua watu takriban 100,000 kuliko kujenga kiwanja chenye hadhi ya Halmashauri.
Nchi imeoza
 
MSIISINGIZIE SERIKALI,
SERIKALI HAIWEZI KUTUMIA BIL 310 KUJENGA UWANJA WA KUBEBA 32 ELF, HAKUNA SERIKALI KAMA HYO AISE, MSIWABAMBIKIZIE MANENO.

KWANI WA ARUSHA UNABEBA WANGAPI?
 
Serikali ya SAMIA SULUHU HASSANI wamepiga hela nyingi sana, mfano uwanja wa LEICESTER CITY wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 32,000 uligharimu kiasi cha TZS 120,211,890,000.00 (Bilioni 120s) iweje Tanzania ilipe Bilioni 310?
 
Back
Top Bottom