Sikubaliani na gharama ya ujenzi wa uwanja wa Dodoma kwa Tshs.310 billioni

Sikubaliani na gharama ya ujenzi wa uwanja wa Dodoma kwa Tshs.310 billioni

Mnakuwaga wabishi tu.
Viwanja vya mpira ni aghali sana mzee.
Na ndio maana ni vichache hasa Afrika.
Na havimilikiwi na vilabu kwasababu ya gharama zake...hujengwa na serikali


Leo hii ukijenga kiwanja cha kisasa chenye capacity ya ku-accomodate washabiki 60,000 ni bilioni 500 kwenda juu...hadi T.

Cameroon imejenga uwanja mpya unaitwa unaitwa olembe stadium juzi juzi hapa kwa 284 billion dollars ambayo ni sawa na Shilingi bilioni 729, 908,400

Nimetoa mfano wa nchi ya Cameroon kwasababu ndio wana uwanja latest uliojengwa karibuni....
Ulikamilika 2021.

Hebu Google hapo viwanja vipya kama uwanja wa Westham au Wembley uone mziki zake, utakimbia.
Hivyo ni viwanja vipya.

Tena Bilion 300, sio ujenzi ni ukarabati tu.

Halafu watu wanapotosha.
Uwanja wa mkapa umejengwa na wachina kama msaada...Serikali ya wakati huo IKAONGEZA bilioni 60.

Kumbuka hata hizo bilion 60 ni za mwaka 2004...miaka 21 iliyopita.
 
Mnakuwaga wabishi tu.
Viwanja vya mpira ni aghali sana mzee.
Na ndio maana ni vichache hasa Afrika.
Na havimilikiwi na vilabu kwasababu ya gharama zake...hujengwa na serikali


Leo hii ukijenga kiwanja cha kisasa chenye capacity ya ku-accomodate washabiki 60,000 ni bilioni 500 kwenda juu...hadi T.

Cameroon imejenga uwanja mpya unaitwa unaitwa olembe stadium juzi juzi hapa kwa 284 billion dollars ambayo ni sawa na Shilingi bilioni 729, 908,400

Nimetoa mfano wa nchi ya Cameroon kwasababu ndio wana uwanja latest uliojengwa karibuni....
Ulikamilika 2021.

Hebu Google hapo viwanja vipya kama uwanja wa Westham au Wembley uone mziki zake, utakimbia.
Hivyo ni viwanja vipya.

Tena Bilion 300, sio ujenzi ni ukarabati tu.

Halafu watu wanapotosha.
Uwanja wa mkapa umejengwa na wachina kama msaada...Serikali ya wakati huo IKAONGEZA bilioni 60.

Kumbuka hata hizo bilion 60 ni za mwaka 2004...miaka 21 iliyopita.
284 bilioni dolaz?Au ni makosa ya kiuandishi?
 
Wewe hata huelewi chochote.

Watu walipiga pesa kipindi cha 2015-2020; na kama kweli wapo wanaopiga muda huu, wanadonoa tu huku darubini la Ikulu likiwa linawamulika; dawa yao iko njiani

Hayupo Rais mwingine nchi hii atakayekuja kuzungukwa kama alivyokuwa anazungukwa Hayati JPM

Yaani Hayati JPM. alikuwa anaibiwa, na alikuwa hajui kama anaibiwa!
Acha uongo wewe! hata watoto watakucheka..
 
Walisema kuna 'vikolombwezo' kadhaa nje ya uwanja mkuu, kama viwanja 5 vya mazoezi, maeneo ya burudani (recreation centres), parking, nk..!
 
Dodoma kujenga uwanja unaochukua watu chini ya elfu 50 ni matumizi mabovu ya pesa, watu laki 1 ingependeza zaidi.
 
Bajeti ya Yanga ni bilioni 24.5
Humo humo kuna mishahara, motisha, usajiri, kambi na vurugu zote.

Uwanja wenye 30,000 spectators ni bilion 300....
Je ipo haja tena ya kuzilaumu Yanga na Simba kukosa viwanja?
 
Wewe hata huelewi chochote.

Watu walipiga pesa kipindi cha 2015-2020; na kama kweli wapo wanaopiga muda huu, wanadonoa tu huku darubini la Ikulu likiwa linawamulika; dawa yao iko njiani

Hayupo Rais mwingine nchi hii atakayekuja kuzungukwa kama alivyokuwa anazungukwa Hayati JPM

Yaani Hayati JPM. alikuwa anaibiwa, na alikuwa hajui kama anaibiwa!
Kama nani na ni sh ngapi?

Ni mradi gani uliooutilia mashaka kwamba kuna upigaji?
 
Wacheni akina Mwana Fa wamalize na 10% zao mana Bungeni harudi tena
 
Acha uongo wewe! hata watoto watakucheka..
Fact ni hivi; JPM alikuwa anaibiwa sana na alikuwa hajui kama anaibiwa. Kwa mfano, unazijua sababu zilizopelekea katika utawala wake akamaliza mhula wa kwanza bia kuongeza mishahara wafanyakkazi?
 
Kwa kuwa mimi sijasoma sana na sina taaluma ya uhasibu lakini binafsi gharama ya uwanja wa Dodoma unaochukua watu takriban32,00 tu unajengwa kwa shillingi za Kitanzania 310 billioni. Kama uwanja wa Mkapa uliojengwa enzi hizo kwa Tshs.65 na unachukua watu 60,00 iweje huu unaochukua watu 32,000 kigharimu kiasi kikubwa hicho cha fedha.

Pili, kama ni kujenga uwanja Dodoma ambao ni mji mkuu wa nchi ya Tanzania, kujenga uwanja kama huo ni dharau kwa nchi. Ni vema Serikali ikajenga uwanja mkubwa wenye kuchukua watu takriban 100,000 kuliko kujenga kiwanja chenye hadhi ya Halmashauri.
Halafu kuna pimbi enzi za Magufuli zilikuwa zinapinga daraja la busisi, sasa daraja la busisi lime cost gharama ya Shilingi Bilioni 592.6 bila 18% VAT. Na uwanja wa michezo wa bilioni 300 kipi nafuu?.
 
Kwa kuwa mimi sijasoma sana na sina taaluma ya uhasibu lakini binafsi gharama ya uwanja wa Dodoma unaochukua watu takriban32,00 tu unajengwa kwa shillingi za Kitanzania 310 billioni. Kama uwanja wa Mkapa uliojengwa enzi hizo kwa Tshs.65 na unachukua watu 60,00 iweje huu unaochukua watu 32,000 kigharimu kiasi kikubwa hicho cha fedha.

Pili, kama ni kujenga uwanja Dodoma ambao ni mji mkuu wa nchi ya Tanzania, kujenga uwanja kama huo ni dharau kwa nchi. Ni vema Serikali ikajenga uwanja mkubwa wenye kuchukua watu takriban 100,000 kuliko kujenga kiwanja chenye hadhi ya Halmashauri.
Uwanja wa mkapa ulijengwa karibu miaka 20 iliyopita
 
wakati wa mkapa unajengwa dola ilikuwa 1100/1300 sasa hivi dola ni 2400/2500
desel ilikuwa lt tsh 650 sasa hivi ni tsh 3000...unadhani usafirishaji wa material kutoka europ to tz haujapanda..alafu haujengwi dsm ni dodoma usafiri kutoka dsm mji wa bandari to dodoma gharama lazima ziwe juu...
 
Back
Top Bottom