Mhasibu na mambo ya gharama za ujenzi wapi na wapi ni kama mbingu na nchiKwa kuwa mimi sijasoma sana na sina taaluma ya uhasibu
Wataalamu wa gharama za ujenzi taaluma yao wanaitwa quantity surveyor au building Economist
Huwezi tu kodolea tu jengo kwa macho na kusema gharama sio hiyo
Mambo ya kitaalamu hayo na ziko fani husika
Heshimu utaalamu Chadema wewe