demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Najua GSM imekuwa kwenye pilika za kumleta Chama Jangwani tangu kitambo. Tangu alipokuwa ukingoni mwa mkataba wake na Simba, kabla hajaongezewa mkataba mpya.
Na sasa kuna jitihada za kumrudisha Bongo ajiunge na Wanajangwani. Eng Hersi Said amehusika pakubwa katika kumshawishi Prof Coach NABI aonyeshe nia ili uongozi ufanye mchakato wa kumleta.
Nasikia mmeanza jitihata za kuhakikisha dirisha asajiliwe haraka iwezekanavyo.
Kwa mtazamo wangu binafsi sioni umuhimu wake kwasababu katika nafasi yake tunaye Feisal Salum. Cha ajabu pia tuna Aucho ambaye anatimiza majukumu sawa ya kuanzisha mashambulizi.
Chama wa nini?
Hizo pesa kwanino msiziwekeze kwwnye maeneo mengine klabuni?
Tatizo la kiufundi tulilo nalo hivi sasa ni kukosekana kwa washambuliaji wa pembeni wenye uwezo wa kwenda uso kwa uso na mabeki.
Kwanini tusiwekeze hizo pesa kwenyw eneo hilo basi..?
Tisifanye sajili kwa lengo la kukidhisha kiu ya kihisia za mashabiki..bali tuangalie kwa uwanda mpana zaidi.
Kwa heri wana Jamvi.
Na sasa kuna jitihada za kumrudisha Bongo ajiunge na Wanajangwani. Eng Hersi Said amehusika pakubwa katika kumshawishi Prof Coach NABI aonyeshe nia ili uongozi ufanye mchakato wa kumleta.
Nasikia mmeanza jitihata za kuhakikisha dirisha asajiliwe haraka iwezekanavyo.
Kwa mtazamo wangu binafsi sioni umuhimu wake kwasababu katika nafasi yake tunaye Feisal Salum. Cha ajabu pia tuna Aucho ambaye anatimiza majukumu sawa ya kuanzisha mashambulizi.
Chama wa nini?
Hizo pesa kwanino msiziwekeze kwwnye maeneo mengine klabuni?
Tatizo la kiufundi tulilo nalo hivi sasa ni kukosekana kwa washambuliaji wa pembeni wenye uwezo wa kwenda uso kwa uso na mabeki.
Kwanini tusiwekeze hizo pesa kwenyw eneo hilo basi..?
Tisifanye sajili kwa lengo la kukidhisha kiu ya kihisia za mashabiki..bali tuangalie kwa uwanda mpana zaidi.
Kwa heri wana Jamvi.