Akuna uhakika wa 100% wa icho unachokisema, msije mkaingia kwenye mtego wa wahandishi wa habari wanaopenda kuuza magazeti yao na blogers kwa habari za uhongo, yanga kumpata chama inategemea simba waliomuuza kama awakuweka kipengele cha kutomuuza kwa timu yoyote apa Tanzania isipokuwa wenyewe simba Kama berkane wakitaka kumuuza, au nje ya nchi nyingine, maana hivi vilabu kwa sasa vimekuwa makini kwenye mikataba ili visihujumiane kwenye masuala ya usajili, sasa Kama icho kipengele akikuwepo basi Yanga wanayo nafasi ya kumpata na kama icho kipengele kilikuwepo yanga awawezi kumpata kamwe labda kuendelea kupiga porojo tu siku ziende.