Sikubaliani na Harakati za GSM za Kumleta Cloatus Chama Jangwani (Yanga SC)

Sikubaliani na Harakati za GSM za Kumleta Cloatus Chama Jangwani (Yanga SC)

Najua GSM imekuwa kwenye pilika za kumleta Chama Jangwani tangu kitambo. Tangu alipokuwa ukingoni mwa mkataba wake na Simba, kabla hajaongezewa mkataba mpya.

Na sasa kuna jitihada za kumrudisha Bongo ajiunge na Wanajangwani. Eng Hersi Said amehusika pakubwa katika kumshawishi Prof Coach NABI aonyeshe nia ili uongozi ufanye mchakato wa kumleta.

Nasikia mmeanza jitihata za kuhakikisha dirisha asajiliwe haraka iwezekanavyo.

Kwa mtazamo wangu binafsi sioni umuhimu wake kwasababu katika nafasi yake tunaye Feisal Salum. Cha ajabu pia tuna Aucho ambaye anatimiza majukumu sawa ya kuanzisha mashambulizi.

Chama wa nini?

Hizo pesa kwanino msiziwekeze kwwnye maeneo mengine klabuni?

Tatizo la kiufundi tulilo nalo hivi sasa ni kukosekana kwa washambuliaji wa pembeni wenye uwezo wa kwenda uso kwa uso na mabeki.

Kwanini tusiwekeze hizo pesa kwenyw eneo hilo basi..?

Tisifanye sajili kwa lengo la kukidhisha kiu ya kihisia za mashabiki..bali tuangalie kwa uwanda mpana zaidi.

Kwa heri wana Jamvi.
watakua wamezingua sanaaa, hatutaki wachezaji wa makolo fc
 
Kama hawajaweka kipengele hiko?

Na kwanini kipengele hiko kimewekwa kwa Miqquisone kama Simba wana amini kuwa Yanga SC hawana uwezo wa Kumchomoa kutoka Al Ahly?
biashara tu mkuu .. ceo wa simba yuko makini sana
 
Hii ni ile hadithi ya Joka la Mdimu, ukienda kuchuma ndimu anakugonga ili hali yeye hizo ndimu hazihitaji....hapo lengo litakuwa kumzuia tu asirudi Simba.
 
Hii ni ile hadithi ya Joka la Mdimu, ukienda kuchuma ndimu anakugonga ili hali yeye hizo ndimu hazihitaji....hapo lengo litakuwa kumzuia tu asirudi Simba.
Bifu lake na Mo lipisababisha kuharakisha transfer yake kwenda RS Berkane.

Ibenge alikuwa na jicho kwingine though ...dili lake lili mature mapema.
 
Akuna uhakika wa 100% wa icho unachokisema, msije mkaingia kwenye mtego wa wahandishi wa habari wanaopenda kuuza magazeti yao na blogers kwa habari za uhongo, yanga kumpata chama inategemea simba waliomuuza kama awakuweka kipengele cha kutomuuza kwa timu yoyote apa Tanzania isipokuwa wenyewe simba Kama berkane wakitaka kumuuza, au nje ya nchi nyingine, maana hivi vilabu kwa sasa vimekuwa makini kwenye mikataba ili visihujumiane kwenye masuala ya usajili, sasa Kama icho kipengele akikuwepo basi Yanga wanayo nafasi ya kumpata na kama icho kipengele kilikuwepo yanga awawezi kumpata kamwe labda kuendelea kupiga porojo tu siku ziende.
Hakuna mkataba wa biashara wenye vipengele vya kijinga namna hiyo, mchezaji (commodity) na ana haki ya kuuzwa na kununuliwa na timu yoyote, kinacho matter ni makubaliano ya pande mbili.
 
Screenshot_20211105-181441_Instagram.jpg

Ushauri kwa wazee wa mikeka.
 
Furaha ya Yanga ni tetesi kama hivi hasa zenye kuhusu Simba na kwa sasa nahisi GSM kashatembeza mpunga kwa Wachambuzi chawa waanze kuhype hii tetesi. Hii tetesi itapamba moto mara tu pale Yanga akipoteza game
Uto wapo tayari wakose ubingwa mara kumi lakini usiwanyime tetesi hasa za Viongozi, au Wachezaji kutoka Simba SC, au walikuwepo Simba.

Ndo maana Msukule aliwatukana miaka 5 lakini alivyokwenda kwao ni furaha ile mbaya utadhani ameletwa MO Salah kutoka Liverpool[emoji12]
 
Najua GSM imekuwa kwenye pilika za kumleta Chama Jangwani tangu kitambo. Tangu alipokuwa ukingoni mwa mkataba wake na Simba, kabla hajaongezewa mkataba mpya.

Na sasa kuna jitihada za kumrudisha Bongo ajiunge na Wanajangwani. Eng Hersi Said amehusika pakubwa katika kumshawishi Prof Coach NABI aonyeshe nia ili uongozi ufanye mchakato wa kumleta.

Nasikia mmeanza jitihata za kuhakikisha dirisha asajiliwe haraka iwezekanavyo.

Kwa mtazamo wangu binafsi sioni umuhimu wake kwasababu katika nafasi yake tunaye Feisal Salum. Cha ajabu pia tuna Aucho ambaye anatimiza majukumu sawa ya kuanzisha mashambulizi.

Chama wa nini?

Hizo pesa kwanino msiziwekeze kwwnye maeneo mengine klabuni?

Tatizo la kiufundi tulilo nalo hivi sasa ni kukosekana kwa washambuliaji wa pembeni wenye uwezo wa kwenda uso kwa uso na mabeki.

Kwanini tusiwekeze hizo pesa kwenyw eneo hilo basi..?

Tisifanye sajili kwa lengo la kukidhisha kiu ya kihisia za mashabiki..bali tuangalie kwa uwanda mpana zaidi.

Kwa heri wana Jamvi.
Sawa mkuu umeongea vema sana tunapaswa kutafuta left na right fowards wa akili anaweza kutoa cross hatari na mikombio ya hatari tulionaobhawana mbadala ndiyo maana hawajitumi sana umeona viungo na back wanambadala ndiyo maana wanakomaa
 
Huyoo injiniaa anawaona mashabiki wa Utoo kama wanae au kama kawaumba yeyee
Muda si mrefu utasikia anamleta Mess I nao wataaamuamini
 
Najua GSM imekuwa kwenye pilika za kumleta Chama Jangwani tangu kitambo. Tangu alipokuwa ukingoni mwa mkataba wake na Simba, kabla hajaongezewa mkataba mpya.

Na sasa kuna jitihada za kumrudisha Bongo ajiunge na Wanajangwani. Eng Hersi Said amehusika pakubwa katika kumshawishi Prof Coach NABI aonyeshe nia ili uongozi ufanye mchakato wa kumleta.

Nasikia mmeanza jitihata za kuhakikisha dirisha asajiliwe haraka iwezekanavyo.

Kwa mtazamo wangu binafsi sioni umuhimu wake kwasababu katika nafasi yake tunaye Feisal Salum. Cha ajabu pia tuna Aucho ambaye anatimiza majukumu sawa ya kuanzisha mashambulizi.

Chama wa nini?

Hizo pesa kwanino msiziwekeze kwwnye maeneo mengine klabuni?

Tatizo la kiufundi tulilo nalo hivi sasa ni kukosekana kwa washambuliaji wa pembeni wenye uwezo wa kwenda uso kwa uso na mabeki.

Kwanini tusiwekeze hizo pesa kwenyw eneo hilo basi..?

Tisifanye sajili kwa lengo la kukidhisha kiu ya kihisia za mashabiki..bali tuangalie kwa uwanda mpana zaidi.

Kwa heri wana Jamvi.
Bro nikwambie feisal anauzwa,na ibenge anamtaka mukoko ndio maana tunamtaka chama,kuna aina ya makubaliano yanafanywa ili tuwape mukoko wao wanatupa chama,fei tunamuuza,kapata timu ulaya

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Huyoo injiniaa anawaona mashabiki wa Utoo kama wanae au kama kawaumba yeyee
Muda si mrefu utasikia anamleta Mess I nao wataaamuamini
Mazwazwa ya uto bado yanaaminishwa kuwa watapata ubingwa wa msimu uliopita kutoka CAS. Yaani hii mijitu ni takataka kabisa GSM anawageuza geuza kama chapati
 
Najua GSM imekuwa kwenye pilika za kumleta Chama Jangwani tangu kitambo. Tangu alipokuwa ukingoni mwa mkataba wake na Simba, kabla hajaongezewa mkataba mpya.

Na sasa kuna jitihada za kumrudisha Bongo ajiunge na Wanajangwani. Eng Hersi Said amehusika pakubwa katika kumshawishi Prof Coach NABI aonyeshe nia ili uongozi ufanye mchakato wa kumleta.

Nasikia mmeanza jitihata za kuhakikisha dirisha asajiliwe haraka iwezekanavyo.

Kwa mtazamo wangu binafsi sioni umuhimu wake kwasababu katika nafasi yake tunaye Feisal Salum. Cha ajabu pia tuna Aucho ambaye anatimiza majukumu sawa ya kuanzisha mashambulizi.

Chama wa nini?

Hizo pesa kwanino msiziwekeze kwwnye maeneo mengine klabuni?

Tatizo la kiufundi tulilo nalo hivi sasa ni kukosekana kwa washambuliaji wa pembeni wenye uwezo wa kwenda uso kwa uso na mabeki.

Kwanini tusiwekeze hizo pesa kwenyw eneo hilo basi..?

Tisifanye sajili kwa lengo la kukidhisha kiu ya kihisia za mashabiki..bali tuangalie kwa uwanda mpana zaidi.

Kwa heri wana Jamvi.
Hizo ni tetesi tu, na wala hazija anza leo wala jana kuwa Yanga wanamtaka Chama.
Ila kumbuka kuwa pale yanga Feisal hana mbadala sahihi kwa namba yake kwasasa, Feisal anahitaji mtu wakumpa ushindani ili aongeze juhudi zaidi.
Pia tambua kuwa Yanga hawana creative attacking mildfilder type ya Chama au Miquison.
Hivyo basi sio lazima wamsajili Chama au Miquison, ila wanapaswa kutafuta kiungo mshambuliaji mbunifu mwenye uwezo zaidi Feisal.
 
Kama ni kweli basi itakuwa ni matumizi mabaya ya rasilimali kwani Yanga tayari wana wachezaji wazuri wa kati kiasi kwamba hawahitaji tena kuongeza mwingine.

Pia huyo Chama malipo anayolipwa huko ni hela ndefu kiasi kwamba haitakuwa na maana yoyote kwa Yanga kutumia pesa nyingi kiasi hicho kumlipa mshahara mchezaji mmoja huku timu ikiwa haina hata uwanja wake. It's a sheer stupidity.
 
Yanga huwa wanatamaa sana ya kumsajili Chama ila hawana watu mafia wa kutimiza hazma yao.
 
Back
Top Bottom