Sikubaliani na Harakati za GSM za Kumleta Cloatus Chama Jangwani (Yanga SC)

Sikubaliani na Harakati za GSM za Kumleta Cloatus Chama Jangwani (Yanga SC)

Kama ni kweli basi itakuwa ni matumizi mabaya ya rasilimali kwani Yanga tayari wana wachezaji wazuri wa kati kiasi kwamba hawahitaji tena kuongeza mwingine.

Pia huyo Chama malipo anayolipwa huko ni hela ndefu kiasi kwamba haitakuwa na maana yoyote kwa Yanga kutumia pesa nyingi kiasi hicho kumlipa mshahara mchezaji mmoja huku timu ikiwa haina hata uwanja wake. It's shere stupidity.
Ni upuuzi kabisa kumleta yule Jamaa. Eti wanatumia mwanya wa bifu lake na Mo Dewji.

Ila bado tunapambana ili asirudi.
 
Yanga huwa wanatamaa sana ya kumsajili Chama ila hawana watu mafia wa kutimiza hazma yao.
Mafia?

Kwani Aucho hakuwa kwenye hesabu za Simba msimu huu? Mkaamua kwenda kuchukua reject wa Al Ahly Tripoli

Vipi kuhusu Djuma Shaban, try again alituna wawakilishi wake kule kwa bahati mbaya wakatuka Hersi kamaliza kazi.


Umafia ulizaliwa Jangwani.
 
Hakuna mkataba wa biashara wenye vipengele vya kijinga namna hiyo, mchezaji (commodity) na ana haki ya kuuzwa na kununuliwa na timu yoyote, kinacho matter ni makubaliano ya pande mbili.
Ndo mkataba wa miquison ulivyo kwamba atauzwa popote Ila siyo kwa vilabu vya bongo isipokuwa Simba
 
Mafia?

Kwani Aucho hakuwa kwenye hesabu za Simba msimu huu? Mkaamua kwenda kuchukua reject wa Al Ahly Tripoli

Vipi kuhusu Djuma Shaban, try again alituna wawakilishi wake kule kwa bahati mbaya wakatuka Hersi kamaliza kazi.


Umafia ulizaliwa Jangwani.
Aucho mwenyewe kahojiwa anasema hakuwahi kufanya mawasiliano yeyote na Simba
Yeye mwenyewe anashangaa hizo habari kulikua zinatoka waapi
Akasema timu zilizokuwa unawasiliana nae ni Mazuzu fc na Azam
 
Aucho mwenyewe kahojiwa anasema hakuwahi kufanya mawasiliano yeyote na Simba
Yeye mwenyewe anashangaa hizo habari kulikua zinatoka waapi
Akasema timu zilizokuwa unawasiliana nae ni Mazuzu fc na Azam
Nipe hiyo Clip ya Mahojiano.

😂😂😂😂😂😂😂
 
Aucho mwenyewe kahojiwa anasema hakuwahi kufanya mawasiliano yeyote na Simba
Yeye mwenyewe anashangaa hizo habari kulikua zinatoka waapi
Akasema timu zilizokuwa unawasiliana nae ni Mazuzu fc na Azam
Sina uhakika kama Kimombo kinapanda, nimeamua kukuletea kabisa video ikionyesha Aucho kukiri kuwa Simba SC walimuhitaji.

Link: Simba hawakuzungumza na Mimk walizungumza na Wakala Wangu

Na wewe leta video ya ushahidi ikionyesha Aucho ana kiri kuwa Simba hawajawahi kumuhitaji.
 
Mafia?

Kwani Aucho hakuwa kwenye hesabu za Simba msimu huu? Mkaamua kwenda kuchukua reject wa Al Ahly Tripoli

Vipi kuhusu Djuma Shaban, try again alituna wawakilishi wake kule kwa bahati mbaya wakatuka Hersi kamaliza kazi.


Umafia ulizaliwa Jangwani.
Aucho aligoma kwenda simba sababu hakuona nafasi ya kuanza mbele ya chama, mkude au lwanga, japo yeye mwenyewe alitamani sana acheze simba
 
Tafuta gazeti la mwanaspoti nadhani la juzii
Ni rahisi kuandika taarifa zisizo za ukweli kwenye gazeti.

Chanzo cha kuaminika ni kusikia na kuona kauli yake yeye mwenyewe akitamka.

Link ya video ya Dk 3 hii hapa:-

Video ina Dakika 3 kama unajisikia Uvivu unaweza anza dakika ya 1:29 mpaka 1:40

😂😂
 
Aucho aligoma kwenda simba sababu hakuona nafasi ya kuanza mbele ya chama, mkude au lwanga, japo yeye mwenyewe alitamani sana acheze simba
At least wewe unakubali kuwa Simba SC walionyesha kumuhitaji Aucho.

By the way! Kuna vitu 2 ambavyo vilimfanya Aucho kuchagua kuja Yanga SC na sio Simba SC.

1. Kwenywe hii video (Aucho Interview) ameweka wazi kuwa Mapenzi ya Dhati na Klabu ya Yanga ndio yalimfanya ajiunge na Yanga.

2. Eng Hersi alimuhakikishia kuwa wana project kubwa hivyo anapaswa kuwa sehemu ya project.
 
Aucho aligoma kwenda simba sababu hakuona nafasi ya kuanza mbele ya chama, mkude au lwanga, japo yeye mwenyewe alitamani sana acheze simba
Kwani kipindi Simba na Yanga zinamuhitaji Aucho si ndio kipindi hiko hiko Chama & Miqquisone walikuwa wanakamilisha uhamisho wao.

Sasa inakuwaje Aucho aogope Chama & Miqquisone.

Jitahidi kutunga simulizi zako..hakikisha zina endana na wakati na matukio.
 
Aucho mwenyewe kahojiwa anasema hakuwahi kufanya mawasiliano yeyote na Simba
Yeye mwenyewe anashangaa hizo habari kulikua zinatoka waapi
Akasema timu zilizokuwa unawasiliana nae ni Mazuzu fc na Azam
We bata acha uongo mimi niliwahi sikia akisema anafahamu Mabata walimuhitaji na waliongea na wakala wake na Huyo wakala wake akamjulisha. Alisema kilichofanya akaja yanga ni kuona yanga walikuwa serious sana hasa Hersi Said mana alimpigia Simu moja kwa Moja na baadae akaonana nae yeye mwenyewe
 
Aucho aligoma kwenda simba sababu hakuona nafasi ya kuanza mbele ya chama, mkude au lwanga, japo yeye mwenyewe alitamani sana acheze simba
Kuna wachezaji wale wenye mapenzi ya dhati na ushabiki na vilabu fulani.

AUCHO ni shabiko mkubwa wa Yanga SC tangu akiwa na miaka 17.

😂😂
 
Uto wana uwezo wa kununua galaza kutoka kongo tu..kwngine hawawez..usiangaike sanaa na hizo tetez..angekuwa congo ningekubaliana na ww
 
Back
Top Bottom