Erick Kalemela
R I P
- Nov 19, 2017
- 815
- 1,023
Kwa kitendo hicho waliyochukua ni dhahiri hayo makanisa ni magenge tu ya kutafuta fedha tuHuyo binti ilibidi atolewe pepo la wizi na kumbadilisha kwa maombi awe raia mwema sio kumpiga.
Makanisa ya sasa hayana nguvu za Mungu yapo kibiashara zaidi ndio maana yanachukia kuibiwa badala ya kubariki na kuombea wanaowaudhi kama huyo mwizi.
Kwa hiyo hapo kanisani wangempiga hadi kuua siyoKama unampenda Sana na kumjali mchukue kaa naye kwako umuondolee aibu ya wizi....maana huyu itakuwa Hana MTU maalumu WA kumshughulikia matatizo yake.......kuja kuandika hapa bandiko akati amekutwa MTU Kati aisaidii kitu.....wewe unajua sadaka zinavopatikana Kwa shida siku hizi.......jiongeze ......ukiona uwezi mwache ale kipigo chake cha mbwa mwitu watu wamalizane naye
Kweli mkuu. Kumbuka Papa alimsamehe yule jamaa aliyempiga risasi.Kwa kitendo hicho waliyochukua ni dhahiri hayo makanisa ni magenge tu ya kutafuta fedha tu
Ova
Mkuu, wezi wengi wanajua kwenye nyumba za ibada ndio sehemu salama za kuiba kwa maana huko hawachomwi moto kwa tairi za gari ndio maana wanaenda kuiba.Kanisani nao wanachukua sheria mkono
Ova
Kwani alikwambia Nani kanisani awezi kufa?? Si mwizi .....kwani treatment ya mwizi ni nini?? Kumfanyia massage? Kumgonga,,? Au Kula naye wali maharage.ππππKwa hiyo hapo kanisani wangempiga hadi kuua siyo
Ova
Papa alisamehe hawa wameibiwa sim na fedha naona wanataka kumtoa mtu uhaiKweli mkuu. Kumbuka Papa alimsamehe yule jamaa aliyempiga risasi.
Alhaji Mwinyi alimsamehe yule dogo aliyempiga kibao.
Hawa wa sasa ni WAJASIRIAMALI sio watumishi wa Mungu.
Wangemuombea wamtoe pepo la uwiziMkuu, wezi wengi wanajua kwenye nyumba za ibada ndio sehemu salama za kuiba kwa maana huko hawachomwi moto kwa tairi za gari ndio maana wanaenda kuiba.
Hawawezi kufanya hivyi sehemu kama Tandika sokoni.
Teh tehKwani alikwambia Nani kanisani awezi kufa?? Si mwizi .....kwani treatment ya mwizi ni nini?? Kumfanyia massage? Kumgonga,,? Au Kula naye wali maharage.ππππ
Hawa wa sasa ni WAJASIRIAMALI sio watumishi wa Mungu.
Kwa kitendo hicho waliyochukua ni dhahiri hayo makanisa ni magenge tu ya kutafuta fedha tu
Hata huyo binti yupo kijasiriamali zaidiMakanisa ya sasa hayana nguvu za Mungu yapo kibiashara zaidi ndio maana yanachukia kuibiwa
Hivi unajua waimba choir wanaiba sana pesa za mauzo ya CD album alafu waumini wanamuachi tu BWANA?Wangemuombea wamtoe pepo la uwizi
Ova
Kwanini wasimpeleke polisi?Hata huyo binti yupo kijasiriamali zaidi
Kwa nini asifanye kazi alipwe?Kwanini wasimpeleke polisi?