Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,314
- 9,215
Hata biblia ilihalalisha viboko acha apapaswe ila wanachokosea ni ulimbukeni wa maclip yao afu yanawacost.......kanisa waumini ni wadhaifu mnoooo katika imani yao...hao wezi ndo wanaitaji msaada wapate kupona uyo mama anafukuza kabisa eti usirudi tena hapa yaan sjui wanamuomba Mungu gani na wanasoma biblia zipi wote wapumbavu kabisa