Sikubaliani na Spika Tulia Ackson suala la mabasi kusafiri usiku

Sikubaliani na Spika Tulia Ackson suala la mabasi kusafiri usiku

Kuna matajiri wapo nyuma yake.Nilimwamini sana kuwa ni mkweli kwa Sasa naona nae anatumiwa na watu kwa manufaa yao binafsi.Angetwambia kwanza .Je ajali zimeisha?
Ww unaweza maliza ajali?
 
MABASI KUTEMBEA KWA SAA 24

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tulia Ackson ameishauri Wizara ya Mambo ya Ndani kuangalia upya amri inayokataza mabasi ya abiria kutembea barabarani baada ya saa 6 usiku.

"Nafikiri hili jambo nimewahi kulisemea mahali pengine, ni muhimu Serikali ilitazame kwa ujumla wake. Tunazuia magari saa 6 kwa sababu ipi? Kwa sababu madereva ni walewale wanaotuendesha sisi na wanao endesha hayo magari mengine, madereva wanapitia masomo yaleyale. Kama kuna mahali pana mapungufu tuyafanyie kazi hayo mapungufu"

Ameongeza, "Lakini kuzuia abiria halafu anakaa hapo halafu gari inaondoka baada ya saa 4 labda saa 10 inaondoka au saa 11 inaondoka, sasa sijui tunakuwa tumezuia nini, hasa katika kapindi hiki ambacho Serikali inafanya juhudi kubwa sana ya kuboresha miundombinu ya barabara."
---

Naona Spika anasisitiza hili suala kuwa basi zisafiri usiku, mimi nasema hapana, kwanza atuambie sababu ya yeye kusisitiza hili jambo ni kwanini hasa na kuna nini?

Pili anajua ugumu wa night shift? Anajua madhara ya kutokulala usiku? Je, barabara zetu zina traffic light za kutosha Dar kwenda mikoani? Usalama wetu utakuaje?

Mkuu jitahid uwe unatoka nje ya nchi mara moja moja, utajifunza vitu vingi ikiwemo usafiri wa mabus usiku na faida zake
 
MABASI KUTEMBEA KWA SAA 24

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tulia Ackson ameishauri Wizara ya Mambo ya Ndani kuangalia upya amri inayokataza mabasi ya abiria kutembea barabarani baada ya saa 6 usiku.

"Nafikiri hili jambo nimewahi kulisemea mahali pengine, ni muhimu Serikali ilitazame kwa ujumla wake. Tunazuia magari saa 6 kwa sababu ipi? Kwa sababu madereva ni walewale wanaotuendesha sisi na wanao endesha hayo magari mengine, madereva wanapitia masomo yaleyale. Kama kuna mahali pana mapungufu tuyafanyie kazi hayo mapungufu"

Ameongeza, "Lakini kuzuia abiria halafu anakaa hapo halafu gari inaondoka baada ya saa 4 labda saa 10 inaondoka au saa 11 inaondoka, sasa sijui tunakuwa tumezuia nini, hasa katika kapindi hiki ambacho Serikali inafanya juhudi kubwa sana ya kuboresha miundombinu ya barabara."
---

Naona Spika anasisitiza hili suala kuwa basi zisafiri usiku, mimi nasema hapana, kwanza atuambie sababu ya yeye kusisitiza hili jambo ni kwanini hasa na kuna nini?

Pili anajua ugumu wa night shift? Anajua madhara ya kutokulala usiku? Je, barabara zetu zina traffic light za kutosha Dar kwenda mikoani? Usalama wetu utakuaje?
Ana akili ndogo ya kijasiriamali.
Inatakiwa ufanye jambo ukutane na changamoto zake uzitatue Kuliko kuogopa kufanya utabaki pale ulipo.
Ndio maana watumishi wa Serikali wengi wakifanya Biashara Lazima wafilisike
Wanafikiri ukiwekeza mahali unaanza kuvuna tu Kumbe kuna changamoto zingine zinafutana na uwekezaji
 
Back
Top Bottom