Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Hayo ndio baadhi ya mapendekezo yaliyokuwemo kwenye katiba mpya, lakini kwa urafi wa CCM, ndio maana ina kuwa ngumu hiyo kitu, wao wanataka mtu mmoja awe, mbunge, diwani, waziri, mwenyekiti wa bodi!!utafikiria labda hakuna wengine!!kuna kipindi ulikuwa una kuta mtu ni RC, hapo hapo anateuliwa kuwa mbunge!!na hata ukiangalia teuzi nyingi ni kulipana fadhira tu na sio kutokana na utendaji, hata awamu hii unakuta kuna watu walishaharibu kwenye awamu ya nne, na ya tano, leo hii utamsikia ni RC, DC, au mkurugenzi wa bodi fulani!!safari bado ni ndefu sana.Ilitakiwa iwe hivi.
Uwaziri uwe ni kazi ya utumishi, mtanzania mwenye elimu ya juu inayoendana na hiyo wizara, mwenye uzoefu na mwenye sifa za kuongoza wizara hiyo atume maombi kuomba kazi ya uwaziri.
Kwani mbunge kuwa waziri unamfanya kuwa na vyeo viwili hiyo ni poor allocation of employment opportunities.
Nchi hii sasa imeshakuwa na idadi kubwa ya watu. Kumpa mtu vyeo viwili kwakweli ukiangalia kwa mapana sio sawa.
Karibuni kutaja mengine mbali na hili.
Huwa kuna wakati nashawishika kuamini kuwa hii katiba iliandikwa na walevi.Ni kweli kabisa, lakini ndiyo katiba yetu inavyotaka...
Mkuu wewe ni mzalendo wa maendeleo kweli?Nadhani ilivyo sasa ni sahihi, mbunge na hapo hapo waziri itafanya tuwe na watu wachache bungeni kuliko kuwepo wabunge halafu tena mawaziri. Mfano wabunge watakuwa 367 na mawaziri 27 sasa ni bora wabunge wabakie hiyo hiyo 367 na hapo hapo ndani yao kuna hao mawaziri.
Ww huoni ikiwa hvy unavyotaka watakuwa wengiMkuu wewe ni mzalendo wa maendeleo kweli?
Kabudi na Mwakyembe walitusaidia nini kwenye wizara ya Katiba na Sheria ?Naunga mkono hoja
Mpare mjinga huyoMkuu wewe ni mzalendo wa maendeleo kweli?
"Katiba mpya,Katiba mpya"Ilitakiwa iwe hivi.
Uwaziri uwe ni kazi ya utumishi, mtanzania mwenye elimu ya juu inayoendana na hiyo wizara, mwenye uzoefu na mwenye sifa za kuongoza wizara hiyo atume maombi kuomba kazi ya uwaziri.
Kwani mbunge kuwa waziri unamfanya kuwa na vyeo viwili hiyo ni poor allocation of employment opportunities.
Nchi hii sasa imeshakuwa na idadi kubwa ya watu. Kumpa mtu vyeo viwili kwakweli ukiangalia kwa mapana sio sawa.
Karibuni kutaja mengine mbali na hili.
Sawa sawa mama KijaMpare mjinga huyo
Ndio maana ya kudai katiba mpya.wabunge wote wawe wa kuchaguliwa au kuteuliwa hawawi mawaziri.Kila anayetaka uwaziri anahojiwa na jopo maalum la bunge linahusiana na wizara husika.baadae jopo hilo hupeleka jina lao bungeni kwa ajili ya kupitishwa.Sio Mawaziri pekee,bali Jaji Mkuu,Majaji wa mahakama na rufaa,wakurugenzi n.k Yaani kwa ufupi mamlaka ya Rais yanapungua kwa asilimia 50.Hawa wote wanawajibika kwa Bunge.Ndio maana ya kudai katiba mpya.Hata tume ya uchaguzi inateuliwa na jopo la majaji na kwa kuwa hawakuteuliwa na Rais wanakuwa Fair.Msajili wa vyama na vivyo N.K.Ilitakiwa iwe hivi.
Uwaziri uwe ni kazi ya utumishi, mtanzania mwenye elimu ya juu inayoendana na hiyo wizara, mwenye uzoefu na mwenye sifa za kuongoza wizara hiyo atume maombi kuomba kazi ya uwaziri.
Kwani mbunge kuwa waziri unamfanya kuwa na vyeo viwili hiyo ni poor allocation of employment opportunities.
Nchi hii sasa imeshakuwa na idadi kubwa ya watu. Kumpa mtu vyeo viwili kwakweli ukiangalia kwa mapana sio sawa.
Karibuni kutaja mengine mbali na hili.
Wazo zuri na hoja murua. Mtu mmoja anakuwa na vyeo viwili tofauti vya mihimili miwili tofauti, yaani Bunge na Serikali. Tunampa mtu mmoja vyeo vingi na mwishowe atakosa ufanisi hata angekuwa kiongozi au mtendaji mzuri. Tubadilike!Ilitakiwa iwe hivi.
Uwaziri uwe ni kazi ya utumishi, mtanzania mwenye elimu ya juu inayoendana na hiyo wizara, mwenye uzoefu na mwenye sifa za kuongoza wizara hiyo atume maombi kuomba kazi ya uwaziri.
Kwani mbunge kuwa waziri unamfanya kuwa na vyeo viwili hiyo ni poor allocation of employment opportunities.
Nchi hii sasa imeshakuwa na idadi kubwa ya watu. Kumpa mtu vyeo viwili kwakweli ukiangalia kwa mapana sio sawa.
Karibuni kutaja mengine mbali na hili.
Kinachohitajika ni KATIBA MPYA BASIIlitakiwa iwe hivi.
Uwaziri uwe ni kazi ya utumishi, mtanzania mwenye elimu ya juu inayoendana na hiyo wizara, mwenye uzoefu na mwenye sifa za kuongoza wizara hiyo atume maombi kuomba kazi ya uwaziri.
Kwani mbunge kuwa waziri unamfanya kuwa na vyeo viwili hiyo ni poor allocation of employment opportunities.
Nchi hii sasa imeshakuwa na idadi kubwa ya watu. Kumpa mtu vyeo viwili kwakweli ukiangalia kwa mapana sio sawa.
Karibuni kutaja mengine mbali na hili.