Sikubaliani na ujumbe huu wa Sugu unaoleta taharuki na sintofahamu

Unaweza kubwabwaja uwezavyo kwa kuwa wanaotendewa unyama si wale unaowategemea ili uweze kwenda haja kubwa.
Ila kumbuka dhulma na damu ya mtu tangu zamani hata kesho haijawahi kumwacha mtu salama
Siungi mkono mauaji ya mtu yeyote yule lakini pia siungi mkono kauli za uchochezi na uchonganishi kama hizo za Makada wa CHADEMA aina ya Sugu.
 
Natamani nikutukane tusi zito unalostahili ila najiheshimu, itoshe kusema tu wewe sawa na mzoga
 
Unapajua Kibo Complex Tegeta?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tegeta siyo kwenu huko Chimala mashambani ambapo Mbunge wa CCM anagongwa na Power tiller na kufa🐼
Ulikuwepo kipindi majambazi yamevamia na kuiba Benki? Je haikuwa ni mjini?haikuwa ni mchana? Au ulikuwa bado Iringa huko gangi longa ukinywa zako maulanzi.
 
Basi alilotekwa Mzee Kibao limetoa taarifa rasmi kwa umma? Hata pole? Watu binafsi wanatoa taarifa wenyewe wamekausha tu? Hii inafikirisha sana.
Wametoa tena kwa kujitetea sana. Maana wameona msala unaweza wageukia. Source mwananchi digital.
 
Hayupo sahihi.hizo silaha za kivita uliziona wapi? Unaweza kuweka ushahidi wako hapa au umeongozwa na hisia zako tu
Kuna sehemu kwenye mtandao wa X nilisoma chanzo kimoja kikidai hao wasiojulikana walikuwa na SMG. Sijui ni ya kuwindia ndege wanaokula mazao!
 
Luca je dc wa longido unakubaliana naye?
Hakuna anayekubaliana na uzushi wake na ndio maana chama kikipinga kauli yake na hata kupelekea Mheshimiwa Rais kutengua uteuzi wake. Maana yake hata Rais alipinga uzushi na uongo wa yule mtu.
 
Kuna sehemu kwenye mtandao wa X nilisoma chanzo kimoja kikidai hao wasiojulikana walikuwa na SMG. Sijui ni ya kuwindia ndege wanaokula mazao!
Kumbuka twitter kila mtu huandika anavyojisikia mwenyewe.ambapo wengine huandika uzushi na uongo tu. Ungewaomba wakupe ushahidi
 
Umeeleweka!! Ulitaka Watanzania wajue alichozungumza Sugu!! Umeanza kujitambua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…