Sikubaliani na ujumbe huu wa Sugu unaoleta taharuki na sintofahamu

Sikubaliani na ujumbe huu wa Sugu unaoleta taharuki na sintofahamu

Kwanini wenye gari hawakwenda moja kwa moja kituoni kwenda kutoa taarifa juu ya kushushwa kwa abiria wao?
Ndo maana nikasema huna akili. Upo Tanzania hii au nje ya nchi!?, au upo vijijini huko ndo umeshika smartphone awamu hii!?,gari mbili zenye namba za serikali zizuie basi, watu wenye silaha wamchukue abiria mmoja, dereva achome mafuta aende kituoni kutafuta nini!?, wakati waliomchukua abiria ni watu wa serikali!?,hivi una akili hata za kuvuka barabara!?, umewahi kupoteza ndugu yeyote!?,au najibizana na Zombie moja hapa!?
 
Ndo maana nikasema huna akili. Upo Tanzania hii au nje ya nchi!?, au upo vijijini huko ndo umeshika smartphone awamu hii!?,gari mbili zenye namba za serikali zizuie basi, watu wenye silaha wamchukue abiria mmoja, dereva achome mafuta aende kituoni kutafuta nini!?, wakati waliomchukua abiria ni watu wa serikali!?,hivi una akili hata za kuvuka barabara!?, umewahi kupoteza ndugu yeyote!?,au najibizana na Zombie moja hapa!?
Mkuu hiyo ndezi achana nayo itakuharibia mood
 
Ndo maana nikasema huna akili. Upo Tanzania hii au nje ya nchi!?, au upo vijijini huko ndo umeshika smartphone awamu hii!?,gari mbili zenye namba za serikali zizuie basi, watu wenye silaha wamchukue abiria mmoja, dereva achome mafuta aende kituoni kutafuta nini!?, wakati waliomchukua abiria ni watu wa serikali!?,hivi una akili hata za kuvuka barabara!?, umewahi kupoteza ndugu yeyote!?,au najibizana na Zombie moja hapa!?
Hakuna serikali inayoweza kufanya ujinga wa aina hiyo mahali peupe kabisa . Usifikiri serikali ina watu wenye akili ndogo kama zako. Hao ni wahuni kama wahuni wengine na lazima wakamatwe na kuwajibishwa kisawasawa
 
Tena muwatagi watu mashuhuri duniani usambae taharuki ya wapi wew
 
Ulitaka na yeye aseme anabubujikwa na Uharo?!
 
Naamini toka nimejiunga jamiiforums sijawahi kupigwa ban ila kwa sababu yako mwashamba nahisi kunasiku nitapigwa ban
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwanza ningependa kuendelea kutoa pole kwa wana CHADEMA kwa kifo cha kiongozi wao.najuwa kibinadamu inaumiza , kusikitisha,kuhuzunisha na kutia simanzi.

Lakini ningependa kusema ya kuwa tukio hilo lisifanye kupoteza imani kwa vyombo vyetu vya Ulinzi hususan jeshi la Polisi kama ambavyo tumesikia matamko yakitolewa na viongozi na Makada wa CHADEMA.ni wazi kuwa jeshi letu limepokea na kusikia sauti za watanzania wa vyama vyote na wasio na vyama namna walivyo laani na kukemea tukio hilo na ndio maana tumeshuhudia likiongeza nguvu ya timu nzito kutoka makao makuu kitengo cha upelelezi wa matukio makubwa.

Tumeona pia namna Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alivyosikitishwa na kuhuzunishwa sana na kutoa amri ya kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kupewa taarifa au ripoti juu ya suala hilo.

Lakini ningependa kusema kuwa unapokuwa kiongozi ni lazima na muhimu sana na busara kubwa sana kuchunga ulimi wako au maneno yako au kujizuia kuzungumza unapokuwa katika hali ya hasira,jazba au hali yoyote ile inayoweza kukufanya au kukuchochea kuzungumza jambo au kutoa tamko bila kufikiri zaidi ya kutumia hisia tu.

Ndio maana unapoitwa au kufikia hatua ya kuwa kiongozi ni lazima uwe na kifua,kujizuia kutanguliza hisia zaidi ,uchuje maneno,uwe na subira,utangulize hekima,busara na kuwa na Utulivu wakati wa nyakati ngumu zenye kila aina ya presha ya wafuasi wako au kwa sababu ya tukio fulani.ni lazima uhakikishe ya kuwa unajizuia hisia zako katika kufanya maamuzi au kutoa maneno juu ya jambo fulani.

Sasa nimepita katika ukurasa wa Twitter wa Sugu mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa na kushangaa sana alicho kiandika. Kiukweli sikubaliani nacho kwa sababu kinaleta taharuki, uchochezi, uchonganishi na hofu kwa watu isiyo na ukweli. Ni maneno yanayoonyesha ameandika akiwa na hisia na kukosa utulivu au kufikiria kabla ya kuyaandika.

Kama kiongozi amekosea na amefanya kosa kubwa tu.ameshindwa kujiongoza Mwenyewe na kutawala hisia zake na badala yake hisia zake zimemtawala na kumuongoza,jambo ambalo ni la hatari kwa kiongozi.Maana linakupunguzia ile nguvu ya kuitwa kiongozi Makini.

Maneno yenyewe na ujumbe wenyewe ni huu hapa.

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

View attachment 3091831
Ujinga TU,angeuawa Baba yako ungetuandikia huo utumbo? Watu wamepoteza mtegemezi ujue
 
Lucas huu si wakati wa mibubujiko.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwanza ningependa kuendelea kutoa pole kwa wana CHADEMA kwa kifo cha kiongozi wao.najuwa kibinadamu inaumiza , kusikitisha,kuhuzunisha na kutia simanzi.

Lakini ningependa kusema ya kuwa tukio hilo lisifanye kupoteza imani kwa vyombo vyetu vya Ulinzi hususan jeshi la Polisi kama ambavyo tumesikia matamko yakitolewa na viongozi na Makada wa CHADEMA.ni wazi kuwa jeshi letu limepokea na kusikia sauti za watanzania wa vyama vyote na wasio na vyama namna walivyo laani na kukemea tukio hilo na ndio maana tumeshuhudia likiongeza nguvu ya timu nzito kutoka makao makuu kitengo cha upelelezi wa matukio makubwa.

Tumeona pia namna Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alivyosikitishwa na kuhuzunishwa sana na kutoa amri ya kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kupewa taarifa au ripoti juu ya suala hilo.

Lakini ningependa kusema kuwa unapokuwa kiongozi ni lazima na muhimu sana na busara kubwa sana kuchunga ulimi wako au maneno yako au kujizuia kuzungumza unapokuwa katika hali ya hasira,jazba au hali yoyote ile inayoweza kukufanya au kukuchochea kuzungumza jambo au kutoa tamko bila kufikiri zaidi ya kutumia hisia tu.

Ndio maana unapoitwa au kufikia hatua ya kuwa kiongozi ni lazima uwe na kifua,kujizuia kutanguliza hisia zaidi ,uchuje maneno,uwe na subira,utangulize hekima,busara na kuwa na Utulivu wakati wa nyakati ngumu zenye kila aina ya presha ya wafuasi wako au kwa sababu ya tukio fulani.ni lazima uhakikishe ya kuwa unajizuia hisia zako katika kufanya maamuzi au kutoa maneno juu ya jambo fulani.

Sasa nimepita katika ukurasa wa Twitter wa Sugu mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa na kushangaa sana alicho kiandika. Kiukweli sikubaliani nacho kwa sababu kinaleta taharuki, uchochezi, uchonganishi na hofu kwa watu isiyo na ukweli. Ni maneno yanayoonyesha ameandika akiwa na hisia na kukosa utulivu au kufikiria kabla ya kuyaandika.

Kama kiongozi amekosea na amefanya kosa kubwa tu.ameshindwa kujiongoza Mwenyewe na kutawala hisia zake na badala yake hisia zake zimemtawala na kumuongoza,jambo ambalo ni la hatari kwa kiongozi.Maana linakupunguzia ile nguvu ya kuitwa kiongozi Makini.

Maneno yenyewe na ujumbe wenyewe ni huu hapa.

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

View attachment 3091831
Mbona ameandika vizuri, tatizo liko wapi? Kwani wale maharamia walipoingia ndani ya basi kumchukua marehemu, walijitambulisha kama nani?

Kauli ya Sugu imenyoka. Watekaji walijitambulisha kuwa ni polisi, ndiyo maana hata dereva wa bus, baada ya utekaji, alijua marehemu alikuwa amechukuliwa na polisi, aliendelea na safari. Hata taarifa ya awali ya Mnyika, alisema kuwa msaidizi wake, mzee Ally amechukuliwa na polisi, hajui wamempeleka wapi. Mpaka muda huo haikuonekana kama ni utekaji.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwanza ningependa kuendelea kutoa pole kwa wana CHADEMA kwa kifo cha kiongozi wao.najuwa kibinadamu inaumiza , kusikitisha,kuhuzunisha na kutia simanzi.

Lakini ningependa kusema ya kuwa tukio hilo lisifanye kupoteza imani kwa vyombo vyetu vya Ulinzi hususan jeshi la Polisi kama ambavyo tumesikia matamko yakitolewa na viongozi na Makada wa CHADEMA.ni wazi kuwa jeshi letu limepokea na kusikia sauti za watanzania wa vyama vyote na wasio na vyama namna walivyo laani na kukemea tukio hilo na ndio maana tumeshuhudia likiongeza nguvu ya timu nzito kutoka makao makuu kitengo cha upelelezi wa matukio makubwa.

Tumeona pia namna Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alivyosikitishwa na kuhuzunishwa sana na kutoa amri ya kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kupewa taarifa au ripoti juu ya suala hilo.

Lakini ningependa kusema kuwa unapokuwa kiongozi ni lazima na muhimu sana na busara kubwa sana kuchunga ulimi wako au maneno yako au kujizuia kuzungumza unapokuwa katika hali ya hasira,jazba au hali yoyote ile inayoweza kukufanya au kukuchochea kuzungumza jambo au kutoa tamko bila kufikiri zaidi ya kutumia hisia tu.

Ndio maana unapoitwa au kufikia hatua ya kuwa kiongozi ni lazima uwe na kifua,kujizuia kutanguliza hisia zaidi ,uchuje maneno,uwe na subira,utangulize hekima,busara na kuwa na Utulivu wakati wa nyakati ngumu zenye kila aina ya presha ya wafuasi wako au kwa sababu ya tukio fulani.ni lazima uhakikishe ya kuwa unajizuia hisia zako katika kufanya maamuzi au kutoa maneno juu ya jambo fulani.

Sasa nimepita katika ukurasa wa Twitter wa Sugu mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa na kushangaa sana alicho kiandika. Kiukweli sikubaliani nacho kwa sababu kinaleta taharuki, uchochezi, uchonganishi na hofu kwa watu isiyo na ukweli. Ni maneno yanayoonyesha ameandika akiwa na hisia na kukosa utulivu au kufikiria kabla ya kuyaandika.

Kama kiongozi amekosea na amefanya kosa kubwa tu.ameshindwa kujiongoza Mwenyewe na kutawala hisia zake na badala yake hisia zake zimemtawala na kumuongoza,jambo ambalo ni la hatari kwa kiongozi.Maana linakupunguzia ile nguvu ya kuitwa kiongozi Makini.

Maneno yenyewe na ujumbe wenyewe ni huu hapa.

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

View attachment 3091831
We fala mtoto wa kahaba kwani cha ajabu kipi hapo ?,wewe huelewi trend ya matukio yanayofanywa na polisi mpaka sasa mbwa wewe ?, bichwa kubwa akili kinyesi cha punda na matope .
You Son of a whore !
 
Mwashambwa wewe ni
IMG_3548.jpeg
 
Ungejikita katika hoja badala ya mashambulizi binafsi .Mwenye akili Timamu na anayejitambua anajadili hoja badala ya kufanya kama ulivyofanya wewe kuandika utoto
Hunaga hoja,wenye akili timamu hawakuelewi.
Ifikie hatua,uwe na elimu ya kujua"siasa sio uadui,ila wanasiasa wapumbavu ndo huona washindani wao kuwa adui.

Hizo hoja kawaambie wale mbwa waliojazana madarakani wazifate.
Afu ushakuwa mtu mzima,kemea maovu na utabarikiwa.
 
Kwani wewe na utu uzima wako hujawahi kusikia majambazi yamesimamisha gari kimabavu?
Kwa hiyo kwa akili yako wale walikuwa majambazi wakijutambulisha kama polisi na wakimiliki na pingu..?

Hawa majambazi hivi inakuwaje wanafanya matukio yote haya kwa njia na style ileile kwa wakijitambulisha kama mapolisi halafu polisi wenyewe wako kimya na hawajawahi kuweka hata mtego mmoja Ili wawakamate..?

Hebu wakati mwingine kama huna propaganda bora ya kuandika, acha ku - test intelligence zetu bali tazama na soma maoni ya wengine tu...
 
Back
Top Bottom