Tunatamani sana wewe na familia yako na wao watekwe na wauwawe tuone kama utavumilia maumivu, mambo kama Aya yasikie tu kwa wengine siku yakikufika uchawa wote utakwisha siku iyo!Uchunguzi unaendelea na tuwe na subira watanzania wenzangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunatamani sana wewe na familia yako na wao watekwe na wauwawe tuone kama utavumilia maumivu, mambo kama Aya yasikie tu kwa wengine siku yakikufika uchawa wote utakwisha siku iyo!Uchunguzi unaendelea na tuwe na subira watanzania wenzangu.
Anaongea kama mtoto mdogo.. Kwenye suala la uhai wa mtu kupotea sio la kulifanyia masihara hata kidogoSema huyu mseng**** ningekuwa na uwezo wa kumtoa humu ndan ningeshamblock anaboa mpaka roho inauma hakika kizaz chake kina hasara na laaana
Gazeti la Mwananchi online wanadai wamefanya mahojiano na uongozi wa gari na umedai "wafanyakazi wa gari hilo walishindwa kuzuia kwa sababu watekaji walikuwa na silaha za moto." Kuna mdau mmoja ameweka habari nzima humu mtandaoni. Sasa jiulize, hizo "silaha za moto" ni za kuwindia ndege?Kumbuka twitter kila mtu huandika anavyojisikia mwenyewe.ambapo wengine huandika uzushi na uongo tu. Ungewaomba wakupe ushahidi
Huyo hanaga akili, hata hizo akili fupi hana. Ni kama kuku aliyekatwa kichwa. Wala hashtuki watu wote wanampinga yeye tu. Analeta mahaba na uchawa kwenye ishu inayohusu uhai wa mtu. Anatia hasira sana.Hapo hakuna uchochezi.
Kwa akili yako fupi unaamini hizo silaha za kivita siyo za majeshi yetu?
Ndugu yangu mtanzania kumbuka kuna majambazi huwa yanakuwa na silaha za moto pindi yanapotaka kufanya uhalifu fulani.ndio maana jesi letu hupambana usiku na mchana kuhakikisha silaha zinamilikiwa na wale wenye vibali tu na siyo kuwa mikononi mwa majambaziGazeti la Mwananchi online wanadai wamefanya mahojiano na uongozi wa gari na umedai "wafanyakazi wa gari hilo walishindwa kuzuia kwa sababu watekaji walikuwa na silaha za moto." Kuna mdau mmoja ameweka habari nzima humu mtandaoni. Sasa jiulize, hizo "silaha za moto" ni za kuwindia ndege?
Narudia kusema ya kuwa unapokuwa kiongozi jiuzie kutumia hisia badala ya akili katika kufanya maamuzi au kutoa maneno.hata wewe tumia akili na siyo hisia na mihemuko yako hapa ya kitoto na kijinga.Huyo hanaga akili, hata hizo akili fupi hana. Ni kama kuku aliyekatwa kichwa. Wala hashtuki watu wote wanampinga yeye tu. Analeta mahaba na uchawa kwenye ishu inayohusu uhai wa mtu. Anatia hasira sana.
Sasa wewe ulitaka aandike kuwa mzee kibao alikuwa anatembea akajikwaa akafa enh kuna time uchawa huwa hauna mantiki kwenye ishu seriousNdugu zangu Watanzania,
Kwanza ningependa kuendelea kutoa pole kwa wana CHADEMA kwa kifo cha kiongozi wao.najuwa kibinadamu inaumiza , kusikitisha,kuhuzunisha na kutia simanzi.
Lakini ningependa kusema ya kuwa tukio hilo lisifanye kupoteza imani kwa vyombo vyetu vya Ulinzi hususan jeshi la Polisi kama ambavyo tumesikia matamko yakitolewa na viongozi na Makada wa CHADEMA.ni wazi kuwa jeshi letu limepokea na kusikia sauti za watanzania wa vyama vyote na wasio na vyama namna walivyo laani na kukemea tukio hilo na ndio maana tumeshuhudia likiongeza nguvu ya timu nzito kutoka makao makuu kitengo cha upelelezi wa matukio makubwa.
Tumeona pia namna Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alivyosikitishwa na kuhuzunishwa sana na kutoa amri ya kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kupewa taarifa au ripoti juu ya suala hilo.
Lakini ningependa kusema kuwa unapokuwa kiongozi ni lazima na muhimu sana na busara kubwa sana kuchunga ulimi wako au maneno yako au kujizuia kuzungumza unapokuwa katika hali ya hasira,jazba au hali yoyote ile inayoweza kukufanya au kukuchochea kuzungumza jambo au kutoa tamko bila kufikiri zaidi ya kutumia hisia tu.
Ndio maana unapoitwa au kufikia hatua ya kuwa kiongozi ni lazima uwe na kifua,kujizuia kutanguliza hisia zaidi ,uchuje maneno,uwe na subira,utangulize hekima,busara na kuwa na Utulivu wakati wa nyakati ngumu zenye kila aina ya presha ya wafuasi wako au kwa sababu ya tukio fulani.ni lazima uhakikishe ya kuwa unajizuia hisia zako katika kufanya maamuzi au kutoa maneno juu ya jambo fulani.
Sasa nimepita katika ukurasa wa Twitter wa Sugu mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa na kushangaa sana alicho kiandika. Kiukweli sikubaliani nacho kwa sababu kinaleta taharuki, uchochezi, uchonganishi na hofu kwa watu isiyo na ukweli. Ni maneno yanayoonyesha ameandika akiwa na hisia na kukosa utulivu au kufikiria kabla ya kuyaandika.
Kama kiongozi amekosea na amefanya kosa kubwa tu.ameshindwa kujiongoza Mwenyewe na kutawala hisia zake na badala yake hisia zake zimemtawala na kumuongoza,jambo ambalo ni la hatari kwa kiongozi.Maana linakupunguzia ile nguvu ya kuitwa kiongozi Makini.
Maneno yenyewe na ujumbe wenyewe ni huu hapa.
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
View attachment 3091831
Tujadili hoja na siyo matusiSema huyu mseng**** ningekuwa na uwezo wa kumtoa humu ndan ningeshamblock anaboa mpaka roho inauma hakika kizaz chake kina hasara na laaana
nadhani ndio maana wananchi wa Mbeya mjini walimkataa kwenye sanduku la kura, na nadhani wataendelea kumfedhehesha vizuri tu kwa sababu hizi hizi za kujifanya jasiri kwa kuropoka mambo ya kusikitisha sana kutamkwa eti na kiongozi, sasa kiongozi gani huyoNdugu zangu Watanzania,
Kwanza ningependa kuendelea kutoa pole kwa wana CHADEMA kwa kifo cha kiongozi wao.najuwa kibinadamu inaumiza , kusikitisha,kuhuzunisha na kutia simanzi.
Lakini ningependa kusema ya kuwa tukio hilo lisifanye kupoteza imani kwa vyombo vyetu vya Ulinzi hususan jeshi la Polisi kama ambavyo tumesikia matamko yakitolewa na viongozi na Makada wa CHADEMA.ni wazi kuwa jeshi letu limepokea na kusikia sauti za watanzania wa vyama vyote na wasio na vyama namna walivyo laani na kukemea tukio hilo na ndio maana tumeshuhudia likiongeza nguvu ya timu nzito kutoka makao makuu kitengo cha upelelezi wa matukio makubwa.
Tumeona pia namna Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alivyosikitishwa na kuhuzunishwa sana na kutoa amri ya kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kupewa taarifa au ripoti juu ya suala hilo.
Lakini ningependa kusema kuwa unapokuwa kiongozi ni lazima na muhimu sana na busara kubwa sana kuchunga ulimi wako au maneno yako au kujizuia kuzungumza unapokuwa katika hali ya hasira,jazba au hali yoyote ile inayoweza kukufanya au kukuchochea kuzungumza jambo au kutoa tamko bila kufikiri zaidi ya kutumia hisia tu.
Ndio maana unapoitwa au kufikia hatua ya kuwa kiongozi ni lazima uwe na kifua,kujizuia kutanguliza hisia zaidi ,uchuje maneno,uwe na subira,utangulize hekima,busara na kuwa na Utulivu wakati wa nyakati ngumu zenye kila aina ya presha ya wafuasi wako au kwa sababu ya tukio fulani.ni lazima uhakikishe ya kuwa unajizuia hisia zako katika kufanya maamuzi au kutoa maneno juu ya jambo fulani.
Sasa nimepita katika ukurasa wa Twitter wa Sugu mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa na kushangaa sana alicho kiandika. Kiukweli sikubaliani nacho kwa sababu kinaleta taharuki, uchochezi, uchonganishi na hofu kwa watu isiyo na ukweli. Ni maneno yanayoonyesha ameandika akiwa na hisia na kukosa utulivu au kufikiria kabla ya kuyaandika.
Kama kiongozi amekosea na amefanya kosa kubwa tu.ameshindwa kujiongoza Mwenyewe na kutawala hisia zake na badala yake hisia zake zimemtawala na kumuongoza,jambo ambalo ni la hatari kwa kiongozi.Maana linakupunguzia ile nguvu ya kuitwa kiongozi Makini.
Maneno yenyewe na ujumbe wenyewe ni huu hapaView attachment 3091831

Ah wewe unakera Bwana km unafikili kutumia nata**** k bwana nipishe siwez ongea na chawa mmTujadili hoja na siyo matusi
nadhani ndio maana wananchi wa Mbeya mjini walimkataa kwenye sanduku la kura, na nadhani wataendelea kumfedhehesha vizuri tu kwa sababu hizi hizi za kujifanya jasiri kwa kuropoka mambo ya kusikitisha sana kutamkwa eti na kiongozi, sasa kiongozi gani huyo![]()
Ndugu zangu Watanzania,
Kwanza ningependa kuendelea kutoa pole kwa wana CHADEMA kwa kifo cha kiongozi wao.najuwa kibinadamu inaumiza , kusikitisha,kuhuzunisha na kutia simanzi.
Lakini ningependa kusema ya kuwa tukio hilo lisifanye kupoteza imani kwa vyombo vyetu vya Ulinzi hususan jeshi la Polisi kama ambavyo tumesikia matamko yakitolewa na viongozi na Makada wa CHADEMA.ni wazi kuwa jeshi letu limepokea na kusikia sauti za watanzania wa vyama vyote na wasio na vyama namna walivyo laani na kukemea tukio hilo na ndio maana tumeshuhudia likiongeza nguvu ya timu nzito kutoka makao makuu kitengo cha upelelezi wa matukio makubwa.
Tumeona pia namna Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alivyosikitishwa na kuhuzunishwa sana na kutoa amri ya kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kupewa taarifa au ripoti juu ya suala hilo.
Lakini ningependa kusema kuwa unapokuwa kiongozi ni lazima na muhimu sana na busara kubwa sana kuchunga ulimi wako au maneno yako au kujizuia kuzungumza unapokuwa katika hali ya hasira,jazba au hali yoyote ile inayoweza kukufanya au kukuchochea kuzungumza jambo au kutoa tamko bila kufikiri zaidi ya kutumia hisia tu.
Ndio maana unapoitwa au kufikia hatua ya kuwa kiongozi ni lazima uwe na kifua,kujizuia kutanguliza hisia zaidi ,uchuje maneno,uwe na subira,utangulize hekima,busara na kuwa na Utulivu wakati wa nyakati ngumu zenye kila aina ya presha ya wafuasi wako au kwa sababu ya tukio fulani.ni lazima uhakikishe ya kuwa unajizuia hisia zako katika kufanya maamuzi au kutoa maneno juu ya jambo fulani.
Sasa nimepita katika ukurasa wa Twitter wa Sugu mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa na kushangaa sana alicho kiandika. Kiukweli sikubaliani nacho kwa sababu kinaleta taharuki, uchochezi, uchonganishi na hofu kwa watu isiyo na ukweli. Ni maneno yanayoonyesha ameandika akiwa na hisia na kukosa utulivu au kufikiria kabla ya kuyaandika.
Kama kiongozi amekosea na amefanya kosa kubwa tu.ameshindwa kujiongoza Mwenyewe na kutawala hisia zake na badala yake hisia zake zimemtawala na kumuongoza,jambo ambalo ni la hatari kwa kiongozi.Maana linakupunguzia ile nguvu ya kuitwa kiongozi Makini.
Maneno yenyewe na ujumbe wenyewe ni huu hapa.
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
View attachment 3091831
Aisee ninajaribu kutafuta neno zuri ila daahHayupo sahihi.hizo silaha za kivita uliziona wapi? Unaweza kuweka ushahidi wako hapa au umeongozwa na hisia zako tu
Usingeweka hiyo nukuu ya Sugu... Hakika tungeamini kweli kakosea!Kama kiongozi amekosea na amefanya kosa kubwa tu.ameshindwa kujiongoza Mwenyewe na kutawala hisia zake na badala yake hisia zake zimemtawala na kumuongoza,jambo ambalo ni la hatari kwa kiongozi.Maana linakupunguzia ile nguvu ya kuitwa kiongozi Makini.
View attachment 3091831
Fumba mdomo kaka hii ndezi achana nayoAisee ninajaribu kutafuta neno zuri ila daah
Air Shengena