Sikubaliani na ujumbe huu wa Sugu unaoleta taharuki na sintofahamu

Sikubaliani na ujumbe huu wa Sugu unaoleta taharuki na sintofahamu

Kumbuka twitter kila mtu huandika anavyojisikia mwenyewe.ambapo wengine huandika uzushi na uongo tu. Ungewaomba wakupe ushahidi
Gazeti la Mwananchi online wanadai wamefanya mahojiano na uongozi wa gari na umedai "wafanyakazi wa gari hilo walishindwa kuzuia kwa sababu watekaji walikuwa na silaha za moto." Kuna mdau mmoja ameweka habari nzima humu mtandaoni. Sasa jiulize, hizo "silaha za moto" ni za kuwindia ndege?
 
Hapo hakuna uchochezi.

Kwa akili yako fupi unaamini hizo silaha za kivita siyo za majeshi yetu?
Huyo hanaga akili, hata hizo akili fupi hana. Ni kama kuku aliyekatwa kichwa. Wala hashtuki watu wote wanampinga yeye tu. Analeta mahaba na uchawa kwenye ishu inayohusu uhai wa mtu. Anatia hasira sana.
 
Gazeti la Mwananchi online wanadai wamefanya mahojiano na uongozi wa gari na umedai "wafanyakazi wa gari hilo walishindwa kuzuia kwa sababu watekaji walikuwa na silaha za moto." Kuna mdau mmoja ameweka habari nzima humu mtandaoni. Sasa jiulize, hizo "silaha za moto" ni za kuwindia ndege?
Ndugu yangu mtanzania kumbuka kuna majambazi huwa yanakuwa na silaha za moto pindi yanapotaka kufanya uhalifu fulani.ndio maana jesi letu hupambana usiku na mchana kuhakikisha silaha zinamilikiwa na wale wenye vibali tu na siyo kuwa mikononi mwa majambazi
 
Huyo hanaga akili, hata hizo akili fupi hana. Ni kama kuku aliyekatwa kichwa. Wala hashtuki watu wote wanampinga yeye tu. Analeta mahaba na uchawa kwenye ishu inayohusu uhai wa mtu. Anatia hasira sana.
Narudia kusema ya kuwa unapokuwa kiongozi jiuzie kutumia hisia badala ya akili katika kufanya maamuzi au kutoa maneno.hata wewe tumia akili na siyo hisia na mihemuko yako hapa ya kitoto na kijinga.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwanza ningependa kuendelea kutoa pole kwa wana CHADEMA kwa kifo cha kiongozi wao.najuwa kibinadamu inaumiza , kusikitisha,kuhuzunisha na kutia simanzi.

Lakini ningependa kusema ya kuwa tukio hilo lisifanye kupoteza imani kwa vyombo vyetu vya Ulinzi hususan jeshi la Polisi kama ambavyo tumesikia matamko yakitolewa na viongozi na Makada wa CHADEMA.ni wazi kuwa jeshi letu limepokea na kusikia sauti za watanzania wa vyama vyote na wasio na vyama namna walivyo laani na kukemea tukio hilo na ndio maana tumeshuhudia likiongeza nguvu ya timu nzito kutoka makao makuu kitengo cha upelelezi wa matukio makubwa.

Tumeona pia namna Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alivyosikitishwa na kuhuzunishwa sana na kutoa amri ya kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kupewa taarifa au ripoti juu ya suala hilo.

Lakini ningependa kusema kuwa unapokuwa kiongozi ni lazima na muhimu sana na busara kubwa sana kuchunga ulimi wako au maneno yako au kujizuia kuzungumza unapokuwa katika hali ya hasira,jazba au hali yoyote ile inayoweza kukufanya au kukuchochea kuzungumza jambo au kutoa tamko bila kufikiri zaidi ya kutumia hisia tu.

Ndio maana unapoitwa au kufikia hatua ya kuwa kiongozi ni lazima uwe na kifua,kujizuia kutanguliza hisia zaidi ,uchuje maneno,uwe na subira,utangulize hekima,busara na kuwa na Utulivu wakati wa nyakati ngumu zenye kila aina ya presha ya wafuasi wako au kwa sababu ya tukio fulani.ni lazima uhakikishe ya kuwa unajizuia hisia zako katika kufanya maamuzi au kutoa maneno juu ya jambo fulani.

Sasa nimepita katika ukurasa wa Twitter wa Sugu mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa na kushangaa sana alicho kiandika. Kiukweli sikubaliani nacho kwa sababu kinaleta taharuki, uchochezi, uchonganishi na hofu kwa watu isiyo na ukweli. Ni maneno yanayoonyesha ameandika akiwa na hisia na kukosa utulivu au kufikiria kabla ya kuyaandika.

Kama kiongozi amekosea na amefanya kosa kubwa tu.ameshindwa kujiongoza Mwenyewe na kutawala hisia zake na badala yake hisia zake zimemtawala na kumuongoza,jambo ambalo ni la hatari kwa kiongozi.Maana linakupunguzia ile nguvu ya kuitwa kiongozi Makini.

Maneno yenyewe na ujumbe wenyewe ni huu hapa.

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

View attachment 3091831
Sasa wewe ulitaka aandike kuwa mzee kibao alikuwa anatembea akajikwaa akafa enh kuna time uchawa huwa hauna mantiki kwenye ishu serious
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwanza ningependa kuendelea kutoa pole kwa wana CHADEMA kwa kifo cha kiongozi wao.najuwa kibinadamu inaumiza , kusikitisha,kuhuzunisha na kutia simanzi.

Lakini ningependa kusema ya kuwa tukio hilo lisifanye kupoteza imani kwa vyombo vyetu vya Ulinzi hususan jeshi la Polisi kama ambavyo tumesikia matamko yakitolewa na viongozi na Makada wa CHADEMA.ni wazi kuwa jeshi letu limepokea na kusikia sauti za watanzania wa vyama vyote na wasio na vyama namna walivyo laani na kukemea tukio hilo na ndio maana tumeshuhudia likiongeza nguvu ya timu nzito kutoka makao makuu kitengo cha upelelezi wa matukio makubwa.

Tumeona pia namna Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alivyosikitishwa na kuhuzunishwa sana na kutoa amri ya kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kupewa taarifa au ripoti juu ya suala hilo.

Lakini ningependa kusema kuwa unapokuwa kiongozi ni lazima na muhimu sana na busara kubwa sana kuchunga ulimi wako au maneno yako au kujizuia kuzungumza unapokuwa katika hali ya hasira,jazba au hali yoyote ile inayoweza kukufanya au kukuchochea kuzungumza jambo au kutoa tamko bila kufikiri zaidi ya kutumia hisia tu.

Ndio maana unapoitwa au kufikia hatua ya kuwa kiongozi ni lazima uwe na kifua,kujizuia kutanguliza hisia zaidi ,uchuje maneno,uwe na subira,utangulize hekima,busara na kuwa na Utulivu wakati wa nyakati ngumu zenye kila aina ya presha ya wafuasi wako au kwa sababu ya tukio fulani.ni lazima uhakikishe ya kuwa unajizuia hisia zako katika kufanya maamuzi au kutoa maneno juu ya jambo fulani.

Sasa nimepita katika ukurasa wa Twitter wa Sugu mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa na kushangaa sana alicho kiandika. Kiukweli sikubaliani nacho kwa sababu kinaleta taharuki, uchochezi, uchonganishi na hofu kwa watu isiyo na ukweli. Ni maneno yanayoonyesha ameandika akiwa na hisia na kukosa utulivu au kufikiria kabla ya kuyaandika.

Kama kiongozi amekosea na amefanya kosa kubwa tu.ameshindwa kujiongoza Mwenyewe na kutawala hisia zake na badala yake hisia zake zimemtawala na kumuongoza,jambo ambalo ni la hatari kwa kiongozi.Maana linakupunguzia ile nguvu ya kuitwa kiongozi Makini.

Maneno yenyewe na ujumbe wenyewe ni huu hapaView attachment 3091831
nadhani ndio maana wananchi wa Mbeya mjini walimkataa kwenye sanduku la kura, na nadhani wataendelea kumfedhehesha vizuri tu kwa sababu hizi hizi za kujifanya jasiri kwa kuropoka mambo ya kusikitisha sana kutamkwa eti na kiongozi, sasa kiongozi gani huyo:pulpTRAVOLTA:
 
nadhani ndio maana wananchi wa Mbeya mjini walimkataa kwenye sanduku la kura, na nadhani wataendelea kumfedhehesha vizuri tu kwa sababu hizi hizi za kujifanya jasiri kwa kuropoka mambo ya kusikitisha sana kutamkwa eti na kiongozi, sasa kiongozi gani huyo:pulpTRAVOLTA:
20240827_054013.jpg

Kuna hii vipi haikuleta taharuki?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwanza ningependa kuendelea kutoa pole kwa wana CHADEMA kwa kifo cha kiongozi wao.najuwa kibinadamu inaumiza , kusikitisha,kuhuzunisha na kutia simanzi.

Lakini ningependa kusema ya kuwa tukio hilo lisifanye kupoteza imani kwa vyombo vyetu vya Ulinzi hususan jeshi la Polisi kama ambavyo tumesikia matamko yakitolewa na viongozi na Makada wa CHADEMA.ni wazi kuwa jeshi letu limepokea na kusikia sauti za watanzania wa vyama vyote na wasio na vyama namna walivyo laani na kukemea tukio hilo na ndio maana tumeshuhudia likiongeza nguvu ya timu nzito kutoka makao makuu kitengo cha upelelezi wa matukio makubwa.

Tumeona pia namna Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alivyosikitishwa na kuhuzunishwa sana na kutoa amri ya kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kupewa taarifa au ripoti juu ya suala hilo.

Lakini ningependa kusema kuwa unapokuwa kiongozi ni lazima na muhimu sana na busara kubwa sana kuchunga ulimi wako au maneno yako au kujizuia kuzungumza unapokuwa katika hali ya hasira,jazba au hali yoyote ile inayoweza kukufanya au kukuchochea kuzungumza jambo au kutoa tamko bila kufikiri zaidi ya kutumia hisia tu.

Ndio maana unapoitwa au kufikia hatua ya kuwa kiongozi ni lazima uwe na kifua,kujizuia kutanguliza hisia zaidi ,uchuje maneno,uwe na subira,utangulize hekima,busara na kuwa na Utulivu wakati wa nyakati ngumu zenye kila aina ya presha ya wafuasi wako au kwa sababu ya tukio fulani.ni lazima uhakikishe ya kuwa unajizuia hisia zako katika kufanya maamuzi au kutoa maneno juu ya jambo fulani.

Sasa nimepita katika ukurasa wa Twitter wa Sugu mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa na kushangaa sana alicho kiandika. Kiukweli sikubaliani nacho kwa sababu kinaleta taharuki, uchochezi, uchonganishi na hofu kwa watu isiyo na ukweli. Ni maneno yanayoonyesha ameandika akiwa na hisia na kukosa utulivu au kufikiria kabla ya kuyaandika.

Kama kiongozi amekosea na amefanya kosa kubwa tu.ameshindwa kujiongoza Mwenyewe na kutawala hisia zake na badala yake hisia zake zimemtawala na kumuongoza,jambo ambalo ni la hatari kwa kiongozi.Maana linakupunguzia ile nguvu ya kuitwa kiongozi Makini.

Maneno yenyewe na ujumbe wenyewe ni huu hapa.

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

View attachment 3091831

Unajitekenya na kucheka mwenyewe. Kama sio wao, nani sasa anayeteka na hakamatwi? Unajua tukio la Mbeya lilichukuliwa kirahisi na watu wasioelewa madhara ya kutumia nguvu kupita kiasi.
Ila sasa linachukuliwa kama reference point. Kila ubaya unaulipoanzia.
 
Kama kiongozi amekosea na amefanya kosa kubwa tu.ameshindwa kujiongoza Mwenyewe na kutawala hisia zake na badala yake hisia zake zimemtawala na kumuongoza,jambo ambalo ni la hatari kwa kiongozi.Maana linakupunguzia ile nguvu ya kuitwa kiongozi Makini.


View attachment 3091831
Usingeweka hiyo nukuu ya Sugu... Hakika tungeamini kweli kakosea!
 
Back
Top Bottom