Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,016
- 2,195
Humu leo sijui kama patatosha!
Nimekuwa nikijaribu kudigest sifa ambazo wadau wengi wamekuwa wakimpatia msanii Fid Q, kwamba ni mtu makini, mwenye upeo wa hali ya juu.
Kiukweli nimejitahidi sana kuamini lakini leo acha tu niseme ukweli..
Mwaka jana mwanzoni, huko Marekani alitokea mtoto wa miaka 14 aliyebuni saa ambayo ilikuja kudhaniwa ni bomu hivyo kumkamata na kumtia kizuizini kwa masaa kadhaa kabla ya kubainika kuwa ni saa tu isiyo na madhara na baadae kuitwa Ikulu na Rais Obama kupongezwa kuwa ni genius.
Nilichopenda kwenye mkasa huo, ni jibu la mwalimu wake pale alipoulizwa kuhusu 'ukipanga' wa huyo mtoto na anajisikiaje kufundisha mwanafunzi genius darasani kwake.
Alisema hivi, "Namjua vizuri Ahmed, sio mwanafunzi genius kama inavyodaiwa, ila ana jitihada sana ya kusoma na kujifunza.
Jitihada zake ni zaidi ya wanafunzi wote ninaowafundisha".
Sasa hii ni kama ambavyo Fid anatajwa kuwa genius kutokana na uandishi wa tungo zake.
Kwamba anafikiria sana na ni kichwa kuliko wasanii wote.
Niseme ukweli, binafsi sikuwahi kuona hivyo, bali nimekuwa nikimwona kama msanii anayejitahidi sana kujifunza kuliko wasanii wengine.
Hapa tusichanganye.
For someone to be genius, ni lazima awe innovative! Lazima aache impact.
Ni bora nikamfagilia Mwana FA angalau yeye ameacha misemo mingi kwenye lugha ya Kiswahili.
Kituko hiki hapa sasa..
Nikki wa Pili alipouliza swali kuhusu kwanini vichaa hawaongozi kuugua kipindupindu licha ya kula vyakula vichafu, Fid anajibu ni suala la Kisaikolojia.
Eti, akili yako ukiiambia kwamba nikila hiki chakula kichafu nitaugua, utaugua kweli.
Na ukisema sitougua, hutougua.
Hivyo vichaa hawana hiyo time ya kujua kama ni kichafu ndio maana hawaugui.
Nilichoka.
Huo ni mfano mmoja tu. Mwingine nitajazia kadri mada hii itakavyoendelea.
Poleni kwa kusoma mkeka!
Nimekuwa nikijaribu kudigest sifa ambazo wadau wengi wamekuwa wakimpatia msanii Fid Q, kwamba ni mtu makini, mwenye upeo wa hali ya juu.
Kiukweli nimejitahidi sana kuamini lakini leo acha tu niseme ukweli..
Mwaka jana mwanzoni, huko Marekani alitokea mtoto wa miaka 14 aliyebuni saa ambayo ilikuja kudhaniwa ni bomu hivyo kumkamata na kumtia kizuizini kwa masaa kadhaa kabla ya kubainika kuwa ni saa tu isiyo na madhara na baadae kuitwa Ikulu na Rais Obama kupongezwa kuwa ni genius.
Nilichopenda kwenye mkasa huo, ni jibu la mwalimu wake pale alipoulizwa kuhusu 'ukipanga' wa huyo mtoto na anajisikiaje kufundisha mwanafunzi genius darasani kwake.
Alisema hivi, "Namjua vizuri Ahmed, sio mwanafunzi genius kama inavyodaiwa, ila ana jitihada sana ya kusoma na kujifunza.
Jitihada zake ni zaidi ya wanafunzi wote ninaowafundisha".
Sasa hii ni kama ambavyo Fid anatajwa kuwa genius kutokana na uandishi wa tungo zake.
Kwamba anafikiria sana na ni kichwa kuliko wasanii wote.
Niseme ukweli, binafsi sikuwahi kuona hivyo, bali nimekuwa nikimwona kama msanii anayejitahidi sana kujifunza kuliko wasanii wengine.
Hapa tusichanganye.
For someone to be genius, ni lazima awe innovative! Lazima aache impact.
Ni bora nikamfagilia Mwana FA angalau yeye ameacha misemo mingi kwenye lugha ya Kiswahili.
Kituko hiki hapa sasa..
Nikki wa Pili alipouliza swali kuhusu kwanini vichaa hawaongozi kuugua kipindupindu licha ya kula vyakula vichafu, Fid anajibu ni suala la Kisaikolojia.
Eti, akili yako ukiiambia kwamba nikila hiki chakula kichafu nitaugua, utaugua kweli.
Na ukisema sitougua, hutougua.
Hivyo vichaa hawana hiyo time ya kujua kama ni kichafu ndio maana hawaugui.
Nilichoka.
Huo ni mfano mmoja tu. Mwingine nitajazia kadri mada hii itakavyoendelea.
Poleni kwa kusoma mkeka!