mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Wanajuwa kuimba, kupanga muziki, na kuchezaKwa vigezo vipi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajuwa kuimba, kupanga muziki, na kuchezaKwa vigezo vipi mkuu?
Basi sawaWanajuwa kuimba, kupanga muziki, na kucheza
Naunga mkono hojaBado mtazamo na msimamo wangu haujabadilika.
Naunga mkono hoja
Yametimia
Atleast a peasant can reason positively,Fid kapuyanga😁,hivi kwa nini hata uishi ulaya 100yrs but huwa usukuma haujifichagi?Ukisikiliza hoja anazotumia Fid Q kutetea uteuzi wa Tivu Ake kuwa Msemaji wa Shirikisho la Wasanii unabaki kusikitika tu.
Eti anajitoa sana wakati wa misiba ya wasanii!
He's reasoning like a peasant.
Vibinti, Inaonekana ana nguvu ya ushawishi, kumfanya binti anaye tegemea kupewa awe anatoa ,[emoji16][emoji16]. Genius wa mabintiUko sawa, jamaa analelewa na wanawake, ni marioooo. Tena afadhari ulelewe na jimama, analelewa na vibinti.
Mimi nahisi, Alitaka kuelezea Placebo effect, Madini Ambayo Joe Dispenza anayasema kila siku, Jim rohn pia na wengine, hata Napoleon Hill.Mr Confident.. umeandika nilichokuwa nakiwaza pia. Niliiona hio Video You tube siku chache zilizopita.
Nikagundua Way of thinking yake imekuwa tu over rated inawezekana na shabiki zake. Ana uelewa wa kawaida tu.