Sikubaliani na watu wanaoamini Fid Q ni genius

Sikubaliani na watu wanaoamini Fid Q ni genius

hip hop na taarabu wapi ma wapi,asiye husika na hip hop ashuke huwez ukawa unafuatilia hip hop alafu usimjue one the increadible bila shaka ww ni mfuasi wa mzee yusuph increadible hakuhusu.
Nimeuliza swali kwa heshma na taadhima ,lakini jinsi ulivyojibu inaonekana wazi kuwa wewe ni mnyambi sana ,umejibu kibembe na hashuo la ......,afadhali hata huyo mzee yusuph wa taarabu ...wewe huna mambo una nyimbo tu ! Kweli wewe ni mfuasi wa one the incredible !
Kweli ,kusoma ni kufahamu..kukesha ni mbwembwe tu !
Makonda ana kazi ya ziada kwa hawa viumbe dah !
 
Humu leo sijui kama patatosha!

Nimekuwa nikijaribu kudigest sifa ambazo wadau wengi wamekuwa wakimpatia msanii Fid Q, kwamba ni mtu makini, mwenye upeo wa hali ya juu.. Kiukweli nimejitahidi sana kuamini lakini leo acha tu nizitendee haki instincts zangu za muda mrefu..
'Usije acha ulichopanga maishani ghafla tu nakufata ulichotamani' by fid q mtoa ngosha sio mtu wa mchezo mchezo
 
Sawa tumesikia na tumefahamu kuwa"wewe mleta uzi umemfaham Fid Q jana au umezaliwa juz ukamsikiliza mwana sanaa huyo jana;uchambuzi ukaja nayo leo"lakini vita isiyo-kuhusu jaribu kuepukana nayo na kama wewe ni wise sana basi uwe msuluishi na sii kuegemea upande mmoja
 
Lini utaretire urudi kuuza mitumba Lango?
Una roho mbaya adi leo hujamkumbuka Rado....

Kiberiti
 
Mkuu kama bado unabisha sio Genious nyoosha mkono, jifanye unajikuna
 
Uzuri unaowaona ma genius wewe wanamkubari na kumuona Fid ni habari nyingine
 
Uzuri unaowaona ma genius wewe wanamkubari na kumuona Fid ni habari nyingine
He is so ordinary mkuu.. Yaani wabongo tunapenda sana ku-overate watu.. Hili hata JPM ashawahi kulisemea sehemu.

Na haishangazi; ni kwa sababu wengi wetu hatuna bidii ya kufikiri coz hatusomi, hatutafiti, hatuperuzi.
 
He is so ordinary mkuu.. Yaani wabongo tunapenda sana ku-overate watu.. Hili hata JPM ashawahi kulisemea sehemu.

Na haishangazi; ni kwa sababu wengi wetu hatuna bidii ya kufikiri coz hatusomi, hatutafiti, hatuperuzi.
Ni mkali katika uwanja wake ni mkali kwenye uwanja wa kile akifanyacho unless kama unaongelea mambo mengine.
 
Bado mtazamo na msimamo wangu haujabadilika.
hahahah mzee mbona unafukua makaburi, kiukweli kuwa genious mi sikubaliani nalo ila yupo smart katika kuandika baadhi ya mashairi yake, ila hata wordplay yake ni ya kawaida mno.
 
hahahah mzee mbona unafukua makaburi, kiukweli kuwa genious mi sikubaliani nalo ila yupo smart katika kuandika baadhi ya mashairi yake, ila hata wordplay yake ni ya kawaida mno.
Wanasema huwezi kumjudge samaki kwa uwezo wake wa kupanda miti maana sio sehemu yake.
Ni sawa na kumpima uwezo mwalimu wa kingereza kwa kumwambia afundishe hesabu.
Fid mkali kwenye kuandika mashairi ila linapokuja suala la kujieleza, uwa anapuyanga hata ukimwambia aeleze alichomaanisha kwenye mashairi yake uwa haeleweki anachojaribu kueleza.
Hicho kipaji hana kwakweli
 
Huu ni upuuzi, HAKUNA msanii wowote wa Bongofleva aliye Genius au talented....they are all FAKE.
 
Back
Top Bottom