Sikubaliani na watu wanaoamini Fid Q ni genius

Sikubaliani na watu wanaoamini Fid Q ni genius

M
Haya hebu tuangalie definition ya neno "Genius" kutoka kwa wazungu wenyewe

Cambridge

very great and rare natural ability or skill, especially in aparticular area such as science or art, or a person who has this:

Oxford
1. Exceptional intellectual or creative power or other natural ability:
2. An exceptionally intelligent person or one with exceptional skill in a particular area of activity:
3. The prevailing character or spirit of something:

Mimi namuingiza kwenye Ugenius kwa hiyo definition number mbili ya Oxford...Na haswa hapo kwenye "Exceptional Skill in a particular area of activity"...Na the guy and Exceptional skill katika hip hop...


Turudi kwenye definition yako..
"For someone to be genius, ni lazima awe innovative! Lazima aache impact"

Hii umeitoa kwenye dictionary gani?...Huo mfano wako wa kujibu swali la kipindupindu sio relevant maana genius sio lazma ajue kila kitu katika aspect zote za maisha...Hata mvumbuzi wa umeme ungemuuliza kuhusu kilimo cha tumbaku asingejua..

Acha kuwa Hater mkuu...The guy IS a genius...(Based on Oxford Dictionary)



Mkuu nimekuelew vyem kw maelezo yako ni km nimeyakubal kw asilimia zote..maan kuwa innovative sio kwmb we ni genious.
 
yupo kwenye game miaka kibao hana mafanikio yoyote..

kina diamond wanakuja na watoto wao wanamfunika...

hana u genius wowote ni mvuta bangi tu.

hapa jiwe gizani ngoja mashabiki wake waje..

ila mjiandaeeee kwa shari maana nimejiandaa kwa ban
Fid q kwa vizazi vya BRN ndo wanamuona anajua kuandika mashairi magumu lakini amna kitu
 
Mr Confident.. umeandika nilichokuwa nakiwaza pia. Niliiona hio Video You tube siku chache zilizopita.

Nikagundua Way of thinking yake imekuwa tu over rated inawezekana na shabiki zake. Ana uelewa wa kawaida tu.
 
Hana u genius wowote....He is only good in manipulating words and keeping them in bars (rapping/rhyming).

Hata ww ukishakua na experience flan ya maisha hususan katika swala zima la utafutaji na kukaa na watu wa aina mbali mbali..utajikuta una kua na busara flan hivi (a certain way of thinking)....anachofanya yeye sasa ni kuweka kwenye maandishi na wakati mwingine ni kusikia kauli za watu (nakumbuka aliwahi hojiwa akasema kuna wakati aliandika verse from words of wise men akiwa nao kitaa).

Kuna watakao kubalina na mm.

Either way anafanya kazi nzuri.
 
shaurimbaya,
Marijani Rajabu marehemu na Mbaraka Mwinshehe mare emu walikufa masikini. Unadhani Diamond ni zaidi yao katika fani?
 
Humu leo sijui kama patatosha!

Nimekuwa nikijaribu kudigest sifa ambazo wadau wengi wamekuwa wakimpatia msanii Fid Q, kwamba ni mtu makini, mwenye upeo wa hali ya juu.. Kiukweli nimejitahidi sana kuamini lakini leo acha tu nizitendee haki instincts zangu za muda mrefu..

Si kweli. Fid hana hiyo gene!

Mwaka jana mwanzoni, huko Marekani alitokea mtoto wa miaka 14 aliyebuni saa ambayo ilikuja kudhaniwa ni bomu hivyo kumkamata na kumtia kizuizini kwa masaa kadhaa kabla ya kubainika kuwa ni saa tu isiyo na madhara na baadae kuitwa Ikulu na Rais Obama kupongezwa kuwa ni genius.

Nilichopenda kwenye mkasa huo, ni jibu la mwalimu wake pale alipoulizwa kuhusu 'ukipanga' wa huyo mtoto na anajisikiaje kufundisha mwanafunzi genius darasani kwake.

Alisema hivi, "Namjua vizuri Ahmed, sio mwanafunzi genius kama inavyodaiwa, ila ana jitihada sana ya kusoma na kujifunza. Jitihada zake ni zaidi ya wanafunzi wote ninaowafundisha".

Sasa hii ni kama ambavyo Fid anatajwa kuwa genius kutokana na uandishi wa tungo zake. Kwamba anafikiria sana na ni kichwa kuliko wasanii wote. Niseme ukweli, binafsi sikuwahi kuona hivyo, bali nimekuwa nikimwona kama msanii anayejitahidi sana kujifunza kuliko wasanii wengine. Hapa tusichanganye.

For someone to be genius, ni lazima awe innovative! Lazima aache impact. Ni bora nikamfagilia MwanaFA angalau yeye ameacha misemo mingi kwenye lugha ya Kiswahili.

Kituko hiki hapa sasa..

Nikki wa Pili alipouliza swali kuhusu kwanini vichaa hawaongozi kuugua kipindupindu licha ya kula vyakula vichafu, Fid anajibu ni suala la Kisaikolojia. Eti, akili yako ukiiambia kwamba nikila hiki chakula kichafu nitaugua, utaugua kweli. Na ukisema sitougua, hutougua. Hivyo vichaa hawana hiyo time ya kujua kama ni kichafu ndio maana hawaugui. Nilichoka.


Huo ni mfano mmoja tu. Mwingine nitajazia kadri mada hii itakavyoendelea.

Poleni kwa kusoma mkeka!

Mwanahiphop yeyote duniani ni GENIOUS,Kwanza wanahiphop ndo wakuza lugha huwa wanaingiza maneno/misemo mipya katka lugha,mfano wa misemo wa youngkiller(shoga hata atoe jicho vp hawezi ona mafanikio),johnmakin(mwanamke ndo alfanya nfukuzwe eden lakin akinipa tunda najihis heaven)
 
plagiarism is offense
mimi nachana mistari yangu mingi kama pundamilia.
[emoji14] [emoji14] Sawa, ila mimi sio shabiki kabisa wa fid q na nimezungukwa na raia za kutoka Arusha kibao wasiomkubali maana wale ndio awampendi sana jamaa maneno yao ni yale yale jamaa anacopy anacopy , ila mimi sijawahikubali ilo kusema jamaa sio mzuri kisa anacopy..Heshima kwake [emoji122] [emoji122]
 
[emoji14] [emoji14] Sawa, ila mimi sio shabiki kabisa wa fid q na nimezungukwa na raia za kutoka Arusha kibao wasiomkubali maana wale ndio awampendi sana jamaa maneno yao ni yale yale jamaa anacopy anacopy , ila mimi sijawahikubali ilo kusema jamaa sio mzuri kisa anacopy..Heshima kwake [emoji122] [emoji122]
heshima kwake kwa kucopy bila wewe kugundua.
 
Genius..?who is geneus..? And which kind of/elements of geneus dat he have..?
 
Sasa wewe unamkandia fid alafu unamsifia songa aisee..

Wewe utakua kizazi cha BRN ndo mnasema fid anaandika tafuta ngoma ya fid I am professional alafu nenda tafuta ngoma ya lily kim sikwambii ngoma gani alafu njoo ubwabwaje hapa sema fid anaandika mfano mdogo ukitaka nifate PM
 
Back
Top Bottom