Sikubaliani na watu wanaoamini Fid Q ni genius

Sikubaliani na watu wanaoamini Fid Q ni genius

Kwaiyo ana waelewa wote co? Safi sana kwa kupiga ndege wawili kwa jiwe moja
 
fid n jmaa mwnye kjitahd kufkr kw kazi yke na nafasi alyonayo iklinganisha na weng wliobak.... kiukwel nakbaliana n mchango wa kisaikolojia ktika kuleta impact sehem mbalimbali.... hof n sababu ya ugonjwa pia..... so jamaa c genius kw maana ya genius ila ana upekee flan miongon mw jamii y sanaa tuliyonayo.... am out
 
"Sikuumbwa nije bweteka for less, naisubiri mvua nijitokeze kudance" Fid Q
 
Haya hebu tuangalie definition ya neno "Genius" kutoka kwa wazungu wenyewe

Cambridge

very great and rare natural ability or skill, especially in aparticular area such as science or art, or a person who has this:

Oxford
1. Exceptional intellectual or creative power or other natural ability:
2. An exceptionally intelligent person or one with exceptional skill in a particular area of activity:
3. The prevailing character or spirit of something:

Mimi namuingiza kwenye Ugenius kwa hiyo definition number mbili ya Oxford...Na haswa hapo kwenye "Exceptional Skill in a particular area of activity"...Na the guy ana Exceptional skill katika hip hop...


Turudi kwenye definition yako..
"For someone to be genius, ni lazima awe innovative! Lazima aache impact"

Hii umeitoa kwenye dictionary gani?...Huo mfano wako wa kujibu swali la kipindupindu sio relevant maana genius sio lazma ajue kila kitu katika aspect zote za maisha...Hata mvumbuzi wa umeme ungemuuliza kuhusu kilimo cha tumbaku asingejua..

Acha kuwa Hater mkuu...The guy IS a genius...(Based on Oxford Dictionary)

Thank you sana mkuu kwa MAJIBU THABITI.Huyu jamma ana chuki Binafsi tu na siyo lingine.

Ujinga ni mjukuu wa uoga yule aliyemzaa chuki-Fareed Kubanda.
 
Mfano wa genius ni Ramanujan

Soma habari zake, tafuta kitabu au movie yake "The Man Who Knew Infinity".

Jamaa amefariki 1920 mpaka leo wanahesabu wanahangaika kukokotoa na ku prove theories zake, karibu miaka 100 imepita.

Waliona taxi yenye namba 1729 na mkali mwenzake wa hesabu Hardy, akaelezea jinsi hiki kichwa kilivyokuwa kama computer

Hardy alisema

"I had ridden in taxi cab number 1729 and remarked that the number seemed to me rather a dull one, and that I hoped it was not an unfavorable omen. "No," he replied, "it is a very interesting number; it is the smallest number expressible as the sum of two cubes in two different ways." "

How does a mere mortal know something like that off the bat like that?

Srinivasa Ramanujan - Wikipedia, the free encyclopedia

cc Nyani Ngabu
 
Fid q anajua bwana...ebu tafuta song la propaganda hlf niambie kila lyrcs aliyochana km ni nyepesi nyepesi km kiazi cha chips..fareed huwez kumuelewa km ww si mtu wa kushughulisha akili yako.
hilo ni song la kifalsafa,song litakaloishi miaka mia mbele
 
Haya hebu tuangalie definition ya neno "Genius" kutoka kwa wazungu wenyewe

Cambridge

very great and rare natural ability or skill, especially in aparticular area such as science or art, or a person who has this:

Oxford
1. Exceptional intellectual or creative power or other natural ability:
2. An exceptionally intelligent person or one with exceptional skill in a particular area of activity:
3. The prevailing character or spirit of something:

Mimi namuingiza kwenye Ugenius kwa hiyo definition number mbili ya Oxford...Na haswa hapo kwenye "Exceptional Skill in a particular area of activity"...Na the guy ana Exceptional skill katika hip hop...


Turudi kwenye definition yako..
"For someone to be genius, ni lazima awe innovative! Lazima aache impact"

Hii umeitoa kwenye dictionary gani?...Huo mfano wako wa kujibu swali la kipindupindu sio relevant maana genius sio lazma ajue kila kitu katika aspect zote za maisha...Hata mvumbuzi wa umeme ungemuuliza kuhusu kilimo cha tumbaku asingejua..

Acha kuwa Hater mkuu...The guy IS a genius...(Based on Oxford Dictionary)
Unakunywa kinywaji gani mkuu bill juu yangu
 
Umenichanganya unapozungumzia mambo ya kipindupindu na muziki...yaani unataka mtu mwenye upeo mkubwa kwenye sanaa anatakiwa awe na upeo mkubwa pia kwenye uelewa wa masuala mengine kama afya??..na huyo mwalimu wako wa marekani ni nani hasa kwenye dunia hii ndio mpaka jibu lake kuhusu mwanafunzi wake liwe hitimisho la utambuzi wa vipaji vya watu??..
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]
 
Hupaswi kumwamini muongo hata kama akiongea ukweli.
 
kaniuliza kama nina demu nikamwambia sina mana alishawahi niona sehemu tatizo akasahau jina.
 
Ninacho kijua kwa Fareed ni m-bunifu na hupenda kutumia falsafa kwenye sanaa ya muziki

hana ubunifu wowote.
kama wewe sio msomaji wa vitabu vya kiswahili basi utaamini kuwa Huyo jamaa ni mbunifu, lakini kila anachokiandika kilishaandikwa na akina Andanenga.

jiulize ni msemo wake upi au methari au nahau iliowahi kuwekwa kwenye kumbukumbu kuwa hii ni Brand ya Fareed?
 
hana ubunifu wowote.
kama wewe sio msomaji wa vitabu vya kiswahili basi utaamini kuwa Huyo jamaa ni mbunifu, lakini kila anachokiandika kilishaandikwa na akina Andanenga.

jiulize ni msemo wake upi au methari au nahau iliowahi kuwekwa kwenye kumbukumbu kuwa hii ni Brand ya Fareed?
kwan Nani anaandika ambacho hakijawah andikwa
 
hana ubunifu wowote.
kama wewe sio msomaji wa vitabu vya kiswahili basi utaamini kuwa Huyo jamaa ni mbunifu, lakini kila anachokiandika kilishaandikwa na akina Andanenga.

jiulize ni msemo wake upi au methari au nahau iliowahi kuwekwa kwenye kumbukumbu kuwa hii ni Brand ya Fareed?
Kumbe anasoma vitabu, hii ni safi sana kwa msaniii ndio mana wewe huoni ni kitu kizuri kuwa alichojifunza vitabuni anakipresent vizuri
 
Back
Top Bottom