Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2]Oops my bad, man. Mihadarati kweli noma.
Haya hebu tuangalie definition ya neno "Genius" kutoka kwa wazungu wenyewe
Cambridge
very great and rare natural ability or skill, especially in aparticular area such as science or art, or a person who has this:
Oxford
1. Exceptional intellectual or creative power or other natural ability:
2. An exceptionally intelligent person or one with exceptional skill in a particular area of activity:
3. The prevailing character or spirit of something:
Mimi namuingiza kwenye Ugenius kwa hiyo definition number mbili ya Oxford...Na haswa hapo kwenye "Exceptional Skill in a particular area of activity"...Na the guy ana Exceptional skill katika hip hop...
Turudi kwenye definition yako..
"For someone to be genius, ni lazima awe innovative! Lazima aache impact"
Hii umeitoa kwenye dictionary gani?...Huo mfano wako wa kujibu swali la kipindupindu sio relevant maana genius sio lazma ajue kila kitu katika aspect zote za maisha...Hata mvumbuzi wa umeme ungemuuliza kuhusu kilimo cha tumbaku asingejua..
Acha kuwa Hater mkuu...The guy IS a genius...(Based on Oxford Dictionary)
Thank you sana mkuu kwa MAJIBU THABITI.Huyu jamma ana chuki Binafsi tu na siyo lingine.
Ujinga ni mjukuu wa uoga yule aliyemzaa chuki-Fareed Kubanda.
hilo ni song la kifalsafa,song litakaloishi miaka mia mbeleFid q anajua bwana...ebu tafuta song la propaganda hlf niambie kila lyrcs aliyochana km ni nyepesi nyepesi km kiazi cha chips..fareed huwez kumuelewa km ww si mtu wa kushughulisha akili yako.
Ni habari nyingine huyu chaliiMlango si mlango,mpaka ufungwe ama uachwe wazi.........hahaha
Unakunywa kinywaji gani mkuu bill juu yanguHaya hebu tuangalie definition ya neno "Genius" kutoka kwa wazungu wenyewe
Cambridge
very great and rare natural ability or skill, especially in aparticular area such as science or art, or a person who has this:
Oxford
1. Exceptional intellectual or creative power or other natural ability:
2. An exceptionally intelligent person or one with exceptional skill in a particular area of activity:
3. The prevailing character or spirit of something:
Mimi namuingiza kwenye Ugenius kwa hiyo definition number mbili ya Oxford...Na haswa hapo kwenye "Exceptional Skill in a particular area of activity"...Na the guy ana Exceptional skill katika hip hop...
Turudi kwenye definition yako..
"For someone to be genius, ni lazima awe innovative! Lazima aache impact"
Hii umeitoa kwenye dictionary gani?...Huo mfano wako wa kujibu swali la kipindupindu sio relevant maana genius sio lazma ajue kila kitu katika aspect zote za maisha...Hata mvumbuzi wa umeme ungemuuliza kuhusu kilimo cha tumbaku asingejua..
Acha kuwa Hater mkuu...The guy IS a genius...(Based on Oxford Dictionary)
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]Umenichanganya unapozungumzia mambo ya kipindupindu na muziki...yaani unataka mtu mwenye upeo mkubwa kwenye sanaa anatakiwa awe na upeo mkubwa pia kwenye uelewa wa masuala mengine kama afya??..na huyo mwalimu wako wa marekani ni nani hasa kwenye dunia hii ndio mpaka jibu lake kuhusu mwanafunzi wake liwe hitimisho la utambuzi wa vipaji vya watu??..
akaniuliza unaitwa nani,fid qkaniuliza kama nina demu nikamwambia sina mana alishawahi niona sehemu tatizo akasahau jina.
kivipi nimkazie jicho wakati bint kasimama.akaniuliza unaitwa nani,fid q
unaishi wapi,ghetto
kazi yako nini,mziki..
Ninacho kijua kwa Fareed ni m-bunifu na hupenda kutumia falsafa kwenye sanaa ya muziki
kwan Nani anaandika ambacho hakijawah andikwahana ubunifu wowote.
kama wewe sio msomaji wa vitabu vya kiswahili basi utaamini kuwa Huyo jamaa ni mbunifu, lakini kila anachokiandika kilishaandikwa na akina Andanenga.
jiulize ni msemo wake upi au methari au nahau iliowahi kuwekwa kwenye kumbukumbu kuwa hii ni Brand ya Fareed?
Kumbe anasoma vitabu, hii ni safi sana kwa msaniii ndio mana wewe huoni ni kitu kizuri kuwa alichojifunza vitabuni anakipresent vizurihana ubunifu wowote.
kama wewe sio msomaji wa vitabu vya kiswahili basi utaamini kuwa Huyo jamaa ni mbunifu, lakini kila anachokiandika kilishaandikwa na akina Andanenga.
jiulize ni msemo wake upi au methari au nahau iliowahi kuwekwa kwenye kumbukumbu kuwa hii ni Brand ya Fareed?