FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Koma Mswahili na Waswahili.Nimeona clip inamuonyesha anavyomkashifu Mond indirect. Kaongea kwa vijembe vya kijinga sana tofauti na HADHI ALIYONAYO KWENYE JAMII
Waswahili ndiyo waliyokufanya ustaarabike na ujuwe hata kuongea.
Waswahili hatuna tabia za kijinga.
Punguwani wahed.