Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Hapana hapana 😂😂😂😂.Kwanini usiende wewe
kijana wa hovyo, au umeshaenda?
Mimi sijataka movie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana hapana 😂😂😂😂.Kwanini usiende wewe
kijana wa hovyo, au umeshaenda?
Sitaki machokowewe Linda lako unaweza kutuonesha hapa?
Hebu tafadhali badilisha kichwa cha habari! ... fikra kama hizi za kudogosha na kudharaulisha uswahili ndo zinazotufanya waafrika tusiendelee.Nimeona clip inamuonyesha anavyomkashifu Mond indirect. Kaongea kwa vijembe vya kijinga sana tofauti na HADHI ALIYONAYO KWENYE JAMII
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu team Mondi tuambie chumbani kwenye muvi aliingia au hakuingia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtolewe marinda huko halafu mje kusingizia watu waswahilli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dangote mazee dah
View attachment 3111773
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Japo mke wa didy ana yake ila kiba ana nyodo sana kama demu wa kihaya
mademu wa kihaya wamekukosea nini 😂 . nimekua nao watatu tofauti walikua wana adabu sana jamani mbona hawakua na nyodo. tena walikua pisi za kwenda.Japo mke wa didy ana yake ila kiba ana nyodo sana kama demu wa kihaya
Ulibahatisha tu zile zinajisikia sana kama shangazi yao, wa mil 10 hela mboga tumademu wa kihaya wamekukosea nini 😂 . nimekua nao watatu tofauti walikua wana adabu sana jamani mbona hawakua na nyodo. tena walikua pisi za kwenda.
sasa kaka yako kashamtolea posa mmoja huko utajua hujui 😂Ulibahatisha tu zile zinajisikia sana kama shangazi yao, wa mil 10 hela mboga tu
Kwenye hilo jambo inabidi ufunge mota kiunoni zile ni mashine nyingine kabisa nyodo utapambana nazo hivyo hivyo kibishisasa kaka yako kashamtolea posa mmoja huko utajua hujui 😂
mmoja alikua akiniuliza una hakika umekula umeshiba wewe. nataka nizikamue zote. arooo hapo napewa mchezo mpaka nasikia kengele zinalia masikioni
Kiswahili ni kizuri sana na ninaiheshimu hii Lugha. Lakini USWAHILI NDIO SIUPENDI . Alichofanya Kiba ni uswahili na anachokifanya Mwijaku ni uswahili pia japo yeye ni MuhaHebu tafadhali badilisha kichwa cha habari! ... fikra kama hizi za kudogosha na kudharaulisha uswahili ndo zinazotufanya waafrika tusiendelee.
Mentality ya kitumwa kabisa hii ya kuunasibisha uswahili na upumbavu wa mtu mmoja mmoja!
So hilo limekuuma? Tafuta na wewe umkomeshe mtoke ngoma drooMbona yeye kaliwa na Rkelly
hiki sio kijiwe cha waropokajiSitaki machoko
Asante
Ndo hapo nilipokwambia acha fikra za kitumwa, kubeza uswahili kwa kuushabihisha na matendo yasiyo ya kistaarabu na kinyume chake huwa mnaita "Uzungu" yale matendo ya kistaarabu.Kiswahili ni kizuri sana na ninaiheshimu hii Lugha. Lakini USWAHILI NDIO SIUPENDI . Alichofanya Kiba ni uswahili na anachokifanya Mwijaku ni uswahili pia japo yeye ni Muha
Ukinijbu nitakuona wa maana sana,Nimeona clip inamuonyesha anavyomkashifu Mond indirect. Kaongea kwa vijembe vya kijinga sana tofauti na HADHI ALIYONAYO KWENYE JAMII