Koma Mswahili na Waswahili.Nimeona clip inamuonyesha anavyomkashifu Mond indirect. Kaongea kwa vijembe vya kijinga sana tofauti na HADHI ALIYONAYO KWENYE JAMII
Kwa nini unaihusisha hiyo tabia na Uswahili?Nimeona clip inamuonyesha anavyomkashifu Mond indirect. Kaongea kwa vijembe vya kijinga sana tofauti na HADHI ALIYONAYO KWENYE JAMII
Ditto!Koma Mswahili na Waswahili.
Waswahili ndiyo waliyokufanya ustaarabike na ujuwe hata kuongea.
Waswahili hatuna tabia za kijinga.
Punguwani wahed.
Pengine kaiga kwa 'mama'Nimeona clip inamuonyesha anavyomkashifu Mond indirect. Kaongea kwa vijembe vya kijinga sana tofauti na HADHI ALIYONAYO KWENYE JAMII
Acha wasanii waishiNimeona clip inamuonyesha anavyomkashifu Mond indirect. Kaongea kwa vijembe vya kijinga sana tofauti na HADHI ALIYONAYO KWENYE JAMII
Mimi niwe mkweli , Nyerere alituunganisha makabila yote hapa Tz na FAIDA KUBWA TULIYOIPATA NI UMOJA NA AMANI. Ila kuna hasara wengine tumeipata ambayo nikuchangamana na baadhi ya makabila yenye tabia za hovyoo sana.Koma Mswahili na Waswahili.
Waswahili ndiyo waliyokufanya ustaarabike na ujuwe hata kuongea.
Waswahili hatuna tabia za kijinga.
Punguwani wahed.
Nongwa za kimasikini zidi ya wenye nacho jamaa anazo pia.Nimeona clip inamuonyesha anavyomkashifu Mond indirect. Kaongea kwa vijembe vya kijinga sana tofauti na HADHI ALIYONAYO KWENYE JAMII
Ungetupia hiyo clip hapaNimeona clip inamuonyesha anavyomkashifu Mond indirect. Kaongea kwa vijembe vya kijinga sana tofauti na HADHI ALIYONAYO KWENYE JAMII
MKitaka video njoon muangalie chumban kwa didyWapi video?
Clip iko chumban kwa didy, njoo chumban muangalieUngetupia hiyo clip hapa
Didy yuko korokoroni sasa sijui wanaruhusu hivyo vifaaClip iko chumban kwa didy, njoo chumban muangalie
We nenda tu chumban kwake atakuwekea, anayo kwe yw simu kapenyezewaDidy yuko korokoroni sasa sijui wanaruhusu hivyo vifaa
Japo mke wa didy ana yake ila kiba ana nyodo sana kama demu wa kihayaKiba hamnazo yule! Anaweza kuitwa kwenye Interview na katika maswali 10 atakayoulizwa atajibu moja au mawili, mengine yote anasema eti hizo ni personal inshu.
Unaona kabisa hapa hamna mtu
kijana wa hovyo, au umeshaenda?We nenda tu chumban kwake atakuwekea, anayo kwe yw simu kapenyezewa