Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemjibu vizuri Sana. Nchi, ya Tanzania imepata mabadiliko makubwa sana kutoka huko nyuma. Kwa, sasa mabrigedia ni wengi tu jeshini.Brigedia Nauye enzi zile walikuwaga wachache sana
SIYO KUBEBA BEGI TU HADI VYUPI WATAFURISHWA NA MJAMBIANIZamani kipindi cha Nyerere na Mwinyi tuliona cheo cha Meja na Luteni kanali, akaja Mkapa na Kikwete na JPM natukaona imesogea hadi Kanali. Sasa tunashuhudia Burigedia.
Hii imekaaje wadau
Hizi protocols ambazo tuna weledi wa kushadadia laiti tungejikita hivyo kwenye mambo ya maana uchumi na kukataa rushwa na ufisadi tungekuwa mbali sana kama taifa.Zamani kipindi cha Nyerere na Mwinyi tuliona cheo cha Meja na Luteni kanali, akaja Mkapa na Kikwete na JPM natukaona imesogea hadi Kanali. Sasa tunashuhudia Burigedia.
Hii imekaaje wadau
Brigedia awezi kuwa mlinzi wa Raisi........ ukishakuwa Brigedia unarudishwa jeshini kufanya kazi nyingine.Zamani kipindi cha Nyerere na Mwinyi tuliona cheo cha Meja na Luteni kanali, akaja Mkapa na Kikwete na JPM natukaona imesogea hadi Kanali. Sasa tunashuhudia Burigedia.
Hii imekaaje wadau
Ni makosa makubwa hata kwa Protokali za Kijeshi. Wanaotakiwa kuwa hapo ni ama Meja au Maluteni Kanali tu pekee.Zamani kipindi cha Nyerere na Mwinyi tuliona cheo cha Meja na Luteni kanali, akaja Mkapa na Kikwete na JPM natukaona imesogea hadi Kanali. Sasa tunashuhudia Burigedia.
Hii imekaaje wadau
Alikuwepo Brig Kimario kipindi cha mzee wa msoga. Pia ADC sio mlinzi wa rais.Brigedia awezi kuwa mlinzi wa Raisi........ ukishakuwa Brigedia unarudishwa jeshini kufanya kazi nyingine.
Ni kweli ila kama wangekuwa wanaulizwa, kwa kipato wanachopata wakiwa ikulu wasingekubali, kurudi jeshini, misafari kila leoBrigedia awezi kuwa mlinzi wa Raisi........ ukishakuwa Brigedia unarudishwa jeshini kufanya kazi nyingine.
Swali la ufahamu kwako Gentamycine. Je hii ipo kisheria ?Ni makosa makubwa hata kwa Protokali za Kijeshi. Wanaotakiwa kuwa hapo ni ama Meja au Maluteni Kanali tu pekee.
Anaondolewa huyo.Zamani kipindi cha Nyerere na Mwinyi tuliona cheo cha Meja na Luteni kanali, akaja Mkapa na Kikwete na JPM natukaona imesogea hadi Kanali. Sasa tunashuhudia Burigedia.
Hii imekaaje wadau
Subiria wazee wa Terrain Model ( wana Medani ) wenyewe watakuja Mkuu kukujibu ila uwezo wangu kujua umeishia hapo.Swali la ufahamu kwako Gentamycine. Je hii ipo kisheria ?
Imeandikwa popote au ni utamaduni ?
JWTZ haina cheo Cha Brigedia. Sasa hapa sijui unamaanisha nini. Kuhusu Afande Nyamburi sasa hivi ni Brigedia Generali na kiitifaki HATAKIWI kuwa ADC. Atabadilishwa very soon!Zamani kipindi cha Nyerere na Mwinyi tuliona cheo cha Meja na Luteni kanali, akaja Mkapa na Kikwete na JPM natukaona imesogea hadi Kanali. Sasa tunashuhudia Burigedia.
Hii imekaaje wadau