Sikujua kama Brigedia anaweza kuwa mlinzi wa Rais na kubeba begi

Sikujua kama Brigedia anaweza kuwa mlinzi wa Rais na kubeba begi

Zamani kipindi cha Nyerere na Mwinyi tuliona cheo cha Meja na Luteni kanali, akaja Mkapa na Kikwete na JPM natukaona imesogea hadi Kanali. Sasa tunashuhudia Burigedia.

Hii imekaaje wadau
Wenye elimu ya vyeo vya kijeshi
 
Utashangaa zaidi mimi nitakapokuwa Rais maana bodegadi wangu lazima awe luteni jenerali au jenerali. Eee Ubaya Ubwela
Zamani kipindi cha Nyerere na Mwinyi tuliona cheo cha Meja na Luteni kanali, akaja Mkapa na Kikwete na JPM natukaona imesogea hadi Kanali. Sasa tunashuhudia Burigedia.

Hii imekaaje wadau
 
Tan

JWTZ haina cheo Cha Brigedia. Sasa hapa sijui unamaanisha nini. Kuhusu Afande Nyamburi sasa hivi ni Brigedia Generali na kiitifaki HATAKIWI kuwa ADC. Atabadilishwa very soon!
Hata akiondoka lakini tayari kwa hizi siku mbili tatu anazohudumu kama ADC zitabaki kwenye kumbukumbu kuwa Brgedia Jenerali alishakuwa ADC.

After all ni nani kakuambia kuwa ataondoka
 
Hata akiondoka lakini tayari kwa hizi siku mbili tatu anazohudumu kama ADC zitabaki kwenye kumbukumbu kuwa Brgedia Jenerali alishakuwa ADC.

After all ni nani kakuambia kuwa ataondoka
Kwamba itabakia kwenye kumbukumbu ni kweli. Kama atabakia kuwa ADC sijui labda kama itifaki za kijeshi zimebadiloka, maana na yeye anatakiwa awe na mlinzi wa kumlinda!
 
Kwamba itabakia kwenye kumbukumbu ni kweli. Kama atabakia kuwa ADC sijui labda kama itifaki za kijeshi zimebadiloka, maana na yeye anatakiwa awe na mlinzi wa kumlinda!
Niliambiwa jeshini wanaopewa ulinzi ni kuanzia Meja Jenerali tu
 
Majeshi yote maofisa wamekuwa wengi sana. Mf polisi wenye nyota ni wengi sana... Wakuu wa vituo naona wengi ni SP wakati nyuma ya 2021 walikuwa ASP!

2030 nyota mbili kushuka chini watabeba SMG kwenda LINDO au masharti ya nyota yataongezeka.
Hakuna polisi mwenye nyota hata mmoja na mfumo wa vyeo vya polisi hauna nyota.
 
kwenye hii mada kuna wachangiaji wajeda, nimegundua kwenye miandiko yao.

sasa masoja embu nipeni maelekezo nikipiga picha nimevaa sare zenu kisha nikajitupia mitandaoni, kuna ubaya ubwela?
 
Majeshi yote maofisa wamekuwa wengi sana. Mf polisi wenye nyota ni wengi sana... Wakuu wa vituo naona wengi ni SP wakati nyuma ya 2021 walikuwa ASP!

2030 nyota mbili kushuka chini watabeba SMG kwenda LINDO au masharti ya nyota yataongezeka.

Mataifa mengine Junior Officer wanabeba vizuri tu 😂 Hae Mo-Su nisimulie tena
 
Ipo hivi kunapokuwa na ongezeko la maofisa wenye vyeo bac ni kama thamani inashuka hv,mfano police zamani wakuu wa vituo vidogo unakuta ni STAff sergeant au koplo tuu wa kawaida,ila siku hz mkuu wa kituo kidogo ana nyota mpaka mbili,ma OCD wilaya nyingi wana ngao na nyota moja.msemaji wa jeshi alikuwa na cheo cha SACP mwisho,ila sasa hv mpaka ACP au DCP,makamishina wanakuwa hadi na RPC mfano Suleiman kova
 
Zamani kipindi cha Nyerere na Mwinyi tuliona cheo cha Meja na Luteni kanali, akaja Mkapa na Kikwete na JPM natukaona imesogea hadi Kanali. Sasa tunashuhudia Burigedia.

Hii imekaaje wadau
Si kila kitu ukijuwacho duniani, kila unavyokuwa unajifunza mapya. Tumia wakati wako kujifunza mapya kila kukicha, huyamalizi.
 
Majeshi yote yapo chini ya Amira Jeshi, haijalishi ana cheo kipi, anafanya kazi za Rais.
 
Ipo hivi kunapokuwa na ongezeko la maofisa wenye vyeo bac ni kama thamani inashuka hv,mfano police zamani wakuu wa vituo vidogo unakuta ni STAff sergeant au koplo tuu wa kawaida,ila siku hz mkuu wa kituo kidogo ana nyota mpaka mbili,ma OCD wilaya nyingi wana ngao na nyota moja.msemaji wa jeshi alikuwa na cheo cha SACP mwisho,ila sasa hv mpaka ACP au DCP,makamishina wanakuwa hadi na RPC mfano Suleiman kova
Hakuna polisi mwenye nyota, ukibisha weka picha.
 
Majeshi yote yapo chini ya Amira Jeshi, haijalishi ana cheo kipi, anafanya kazi za Rais.
FaizaFoxy unaniangusha sasa mdau wangu. Kwenye kila mfumo kuna ukomo wake. Japo mwenye mamlaka ya uteuzi anaweza kukupangia jukumu lolote lile aonavyo yeye au atakavyoshauriwa na watu wake hata kama sio sahihi. Hata akitaka mpambe awe na cheo cha Jenerali kamili inawezekana
 
FaizaFoxy unaniangusha sasa mdau wangu. Kwenye kila mfumo kuna ukomo wake. Japo mwenye mamlaka ya uteuzi anaweza kukupangia jukumu lolote lile aonavyo yeye au atakavyoshauriwa na watu wake hata kama sio sahihi. Hata akitaka mpambe awe na cheo cha Jenerali kamili inawezekana
Sijakuelewa umeandika nini, nusu unakubaliana nami nusu unapingana nami.
 
Back
Top Bottom