Ventilator
Member
- May 13, 2018
- 12
- 57
Salaams Wana bodi,
Hawa DSTV nimejiunga kifurushi toka jana mpaka kunakucha nimeshaongea na customer care wanne tofauti tofauti lkn hakuna aliyenitatulia tatizo langu. Kibaya zaidi kilichonikera ni kuniblock namba zangu nisiweze kuwapata tena.
Kesho nanunua king'amuzi cha mtandao mwingine.
Wasalaam
Hawa DSTV nimejiunga kifurushi toka jana mpaka kunakucha nimeshaongea na customer care wanne tofauti tofauti lkn hakuna aliyenitatulia tatizo langu. Kibaya zaidi kilichonikera ni kuniblock namba zangu nisiweze kuwapata tena.
Kesho nanunua king'amuzi cha mtandao mwingine.
Wasalaam