Sikujua kama customer care ya DSTV ni ya ovyo sana

Sikujua kama customer care ya DSTV ni ya ovyo sana

Salaams Wana bodi,

Hawa DSTV nimejiunga kifurushi toka jana mpaka kunakucha nimeshaongea na customer care wanne tofauti tofauti lkn hakuna aliyenitatulia tatizo langu. Kibaya zaidi kilichonikera ni kuniblock namba zangu nisiweze kuwapata tena.

Kesho nanunua king'amuzi cha mtandao mwingine.

Wasalaam
Sio wewe ni kweli hii inshu imekua ikijitokeza sana tu yaan hata kwangu
 
Tupo wengi, Mimi siku ya tatu hii napuyanga tu. Bora kuwa na internet reliable, nijiunge na mambo ya streaming.
 
Salaams Wana bodi,

Hawa DSTV nimejiunga kifurushi toka jana mpaka kunakucha nimeshaongea na customer care wanne tofauti tofauti lkn hakuna aliyenitatulia tatizo langu. Kibaya zaidi kilichonikera ni kuniblock namba zangu nisiweze kuwapata tena.

Kesho nanunua king'amuzi cha mtandao mwingine.

Wasalaam

Tatizo lako ni nini?
Mbona njia ya kutatua tatizo lako zipo nyingi...?
Unaweza kutumia whatsup, mydstv app, au website yao ama kwa kupitia menu ya simu kwa kupiga *150*53#
Ungesema tatizo ulilopata hapa, ungeweza kusaidiwa vilevile.
 
Yaan Dstv wakublok .aise hii chai mbona kavu sana.
 
Salaams Wana bodi,

Hawa DSTV nimejiunga kifurushi toka jana mpaka kunakucha nimeshaongea na customer care wanne tofauti tofauti lkn hakuna aliyenitatulia tatizo langu. Kibaya zaidi kilichonikera ni kuniblock namba zangu nisiweze kuwapata tena.

Kesho nanunua king'amuzi cha mtandao mwingine.

Wasalaam
Muongo mkubwa wewe punguani mimi toka nimetoka Tanzania nina mwaka wa nne sasa DSTV hawajawahi kunisumbua ninapowapigia kupitia customer care hasa nikijaga bongo likizo niliwaacha azam kwasababu ya uduni wa huduma zao mbovu za customer care nenda kwenye king'amuzi cha maskini wenzio.
 
Back
Top Bottom