Ventilator
Member
- May 13, 2018
- 12
- 57
Azam hamna World cup baki huko huko DSTV mzeeChukua AZAM decoder
Anakuwa navyo vyoteAzam hamna World cup baki huko huko DSTV mzee
[emoji28][emoji28][emoji28], hii nchi ina vijana wa hovyo sanaTumekusikia mteja wetu
Mteja wetu amemaindi [emoji3][emoji28][emoji28][emoji28], hii nchi ina vijana wa hovyo sana
Hata Mimi nashangaa aise. Hawa jamaa wanajitahidi sana kutoa huduma.Imekuwaje mbona kwangu wako so antentive? Jaribu hii 0784104700
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mteja wetu amemaindi [emoji3]
[emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Utakuwa unamkomoa nani Sasa!Salaams Wana bodi,
Hawa DSTV nimejiunga kifurushi toka jana mpaka kunakucha nimeshaongea na customer care wanne tofauti tofauti lkn hakuna aliyenitatulia tatizo langu. Kibaya zaidi kilichonikera ni kuniblock namba zangu nisiweze kuwapata tena.
Kesho nanunua king'amuzi cha mtandao mwingine.
Wasalaam
Hivi canal+ ving'amuzi vyao vinapatikanaje?, pia gharama zake za vifurushi zikoje?Nunua Canal + mechi zote
Ununue na dictionary ya kifaransaHivi canal+ ving'amuzi vyao vinapatikanaje?, pia gharama zake za vifurushi zikoje?
Nakuunga mkono Mkuu. Mimi ni mteja wao wa Muda mrefu lakini nilichofanyiwa nimeamua kuacha kisimbuzi kama kilivyo.Salaams Wana bodi,
Hawa DSTV nimejiunga kifurushi toka jana mpaka kunakucha nimeshaongea na customer care wanne tofauti tofauti lkn hakuna aliyenitatulia tatizo langu. Kibaya zaidi kilichonikera ni kuniblock namba zangu nisiweze kuwapata tena.
Kesho nanunua king'amuzi cha mtandao mwingine.
Wasalaam