Kuna uzi humu wa wakala dar vifurushi 42000 monthly ...Hivi canal+ ving'amuzi vyao vinapatikanaje?, pia gharama zake za vifurushi zikoje?
Sio wewe ni kweli hii inshu imekua ikijitokeza sana tu yaan hata kwanguSalaams Wana bodi,
Hawa DSTV nimejiunga kifurushi toka jana mpaka kunakucha nimeshaongea na customer care wanne tofauti tofauti lkn hakuna aliyenitatulia tatizo langu. Kibaya zaidi kilichonikera ni kuniblock namba zangu nisiweze kuwapata tena.
Kesho nanunua king'amuzi cha mtandao mwingine.
Wasalaam
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ununue na dictionary ya kifaransa
Salaams Wana bodi,
Hawa DSTV nimejiunga kifurushi toka jana mpaka kunakucha nimeshaongea na customer care wanne tofauti tofauti lkn hakuna aliyenitatulia tatizo langu. Kibaya zaidi kilichonikera ni kuniblock namba zangu nisiweze kuwapata tena.
Kesho nanunua king'amuzi cha mtandao mwingine.
Wasalaam
Ni kweli mimi mwenyewe juzi nlikula block huduma nimekuja ipata janaHata Mimi nashangaa aise. Hawa jamaa wanajitahidi sana kutoa huduma.
Muongo mkubwa wewe punguani mimi toka nimetoka Tanzania nina mwaka wa nne sasa DSTV hawajawahi kunisumbua ninapowapigia kupitia customer care hasa nikijaga bongo likizo niliwaacha azam kwasababu ya uduni wa huduma zao mbovu za customer care nenda kwenye king'amuzi cha maskini wenzio.Salaams Wana bodi,
Hawa DSTV nimejiunga kifurushi toka jana mpaka kunakucha nimeshaongea na customer care wanne tofauti tofauti lkn hakuna aliyenitatulia tatizo langu. Kibaya zaidi kilichonikera ni kuniblock namba zangu nisiweze kuwapata tena.
Kesho nanunua king'amuzi cha mtandao mwingine.
Wasalaam