Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Kama ni wa kiume usipende kugunaguna hovyo, kama ni ke ni sawa.Mhhhhhh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni wa kiume usipende kugunaguna hovyo, kama ni ke ni sawa.Mhhhhhh
AhsantePpole sana.
Nipo hapa kukusaidia.
Njoo PM.
Ahsante tayari nimeshapata muafakaPole mkuu,nimepitia na kukinywa hiki kikombe.Aisee nikikonda,niisha.Niliamua maamuzi magumu na yameniponya ni wiki ya 3 sasa nalala, nakula na nina amani tele moyoni
Ukitaka tuwasiliane privately
Nimeshapata solution mkuu now Nina amaniHadi kesho mchana utakuwa umepata solution, chekecha akili na utafute options zilizopo mezani, ukijipa stress ndio unazidi kujipoteza.
Naijua hii huwa inatesa sanaAchilia mbali madeni, kuna ile hali miezi inaenda mambo hayaendi siku inapita huingizi hata mia, bills zinakungoja, hapo lazima usingizi ukate!
Pole na hongera mkuu..Nimeshapata solution mkuu now Nina amani
Pole sana,jiepushe nayoAhsante tayari nimeshapata muafaka
Either wewe ni mgeni kwenye kudaiwa au wanaokudai wanakufanyia fujo uwalipe wakati huna cha kuwalipa. Lkn kwa sisi wakongwe wa kukopa na tunapokopa tunachagua watu sahihi wa kuwakopa tunalala usingizi muruwa tunakoroma na kujamba tukajamba bukheri wa hamsa ishirini.Wakuu,
Kwa mara ya Kwanza ndo naexperience Ile hali ya kukosa usingizi sababu ya madeni Namambo kuwa mengi.
Nilikua naskiaga tu kwa watu wakisema madeni yanakosesha usingizi usiku unakua mrefu, nina marejesho, bado bills za kulipa bado michango .
Yaani usiku silali usingizi ninao Sana Ila kila nkikumbuka rejesho aiseee usingizi unakataaaa......ama kweli utuuzima dawa
Haahaahaa...normal miss mariah, maisha hayatak u seriousI like your courage