Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Ni kweli, hakuna anayependa kudaiwa ila hapo kwenye kuyalipa ndio mshikemshike.Dawa ya deni ni kulipa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, hakuna anayependa kudaiwa ila hapo kwenye kuyalipa ndio mshikemshike.Dawa ya deni ni kulipa
HAHAHHHAHHAHHHHHAHAHAHHAHAHHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHAHHAHAAHHAHAHAHHAHAHAHAHAJAHAHAHAJJAJAJHHHHHAHAH.Madeni shikamoo. Mwaka 2023/2024 nimekopa sana aisee. Sana.
Nimekopa hadi kwa watu ambao sijawahi kuwafikiria kwamba naweza kukopa.
AjeKama kesho ni siku ya rejesho na huna kitu ile Hofu ni hatari sana...
Unakuta siku ya rejesho saa2 tu simu ya Afisa inaita, Wewe hatari !
Pole sana , Nimepitia hii situation ..
Anaha kama kaachwaGeuka umkumbatie babe wako ulale mkuu, madeni ni sehemu ya maisha, usipate stress.
Unakimbilia wapi
O majimatituUnapatikana Wapi?
Hiyo nguvu itatoka wapi na hayo madeni? Yanakata mpaka stimu!Geuka umkumbatie babe wako ulale mkuu, madeni ni sehemu ya maisha, usipate stress.
Uwe makini kukopa napo ni addiction ikikolea utakuwa unakopa ili ulipe deni.Kwangu ndo naexperience Kwa Mara YA Kwanza ule uchungu wa madeni
Hata maana ccm?Madeni ni hatari sana usiombe ikukute
USSR
AhaNdo ukubwa huo, hutakiwi kuogopa madeni.
Buni mbinu uyakabili, usiwaze sana utajiletea matatizo mengine.
Madeni ni kitu cha kawaida maishani, sio ajabu kudaiwa na uzuri ni kua madeni yanazungumzika pia.
Kwenye ulipaji jipe kipaumbele wewe na sio anaekudai, vivyo hivyo kama wewe ni mkopeshaji basi jipe kipaumbele wewe na sio unaemdai.
Always maslahi yako yawe mbele kwanza. Usilipe mpaka ukakosa hela ya kula ukaanza kukopa tena na tena.
Mnakopaga kununua wese la gari auKila mwezi natumia 1M ku service madeni-kichwa huwa kinawaka moto.
Basi wewe maisha bora, heri yako.Katika vitu naogopa maishani mwangu ni madeni, sidai wala sidaiwi alhamdulillah,
Kuna mdada nafanya nae kazi anapenda kukopa na akishakua anadaiwa ofisi nzima itajua anavyojisemesha, uzuri tushamjua hakuna mtu anayehangaika nae
Dawa ya deni ni kulipa.dawa ya kukabiliana na deni wakati una piranha kulipa nikuipinga HOFU.kumbuka ukiruhusu hofu ikujenge,itaathiri hata afya yako mwili na akiri.Wakuu,
Kwa mara ya Kwanza ndo naexperience Ile hali ya kukosa usingizi sababu ya madeni Namambo kuwa mengi.
Nilikua naskiaga tu kwa watu wakisema madeni yanakosesha usingizi usiku unakua mrefu, nina marejesho, bado bills za kulipa bado michango .
Yaani usiku silali usingizi ninao Sana Ila kila nkikumbuka rejesho aiseee usingizi unakataaaa......ama kweli utuuzima dawa
Wakuu,
Kwa mara ya Kwanza ndo naexperience Ile hali ya kukosa usingizi sababu ya madeni Namambo kuwa mengi.
Nilikua naskiaga tu kwa watu wakisema madeni yanakosesha usingizi usiku unakua mrefu, nina marejesho, bado bills za kulipa bado michango .
Yaani usiku silali usingizi ninao Sana Ila kila nkikumbuka rejesho aiseee usingizi unakataaaa......ama kweli utuuzima dawasio
MhhhhhhNdo ukubwa huo, hutakiwi kuogopa madeni.
Buni mbinu uyakabili, usiwaze sana utajiletea matatizo mengine.
Madeni ni kitu cha kawaida maishani, sio ajabu kudaiwa na uzuri ni kua madeni yanazungumzika pia.
Kwenye ulipaji jipe kipaumbele wewe na sio anaekudai, vivyo hivyo kama wewe ni mkopeshaji basi jipe kipaumbele wewe na sio unaemdai.
Always maslahi yako yawe mbele kwanza. Usilipe mpaka ukakosa hela ya kula ukaanza kukopa tena na tena.
Mkuu ni stori ndefu , acha tu!! Siku nikiamka vizuri ntaiweka jukwaani.Ilikuw
Aje