Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Deni kama la kiasi gani Maria? Kuna madeni na videni...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka rejesho huyu, kumkumbatia babe wake haitolipa deni.Geuka umkumbatie babe wako ulale mkuu, madeni ni sehemu ya maisha, usipate stress.
PambanaWakuu,
Kwa mara YA Kwanza ndo naexperience Ile Hali YA kukosa usingizi sababu ya madeni Namambo kuwa mengi....nlikua naskiaga tu Kwa watu wakisema madeni yanakosesha usingizi usiku unakua mrefu ...nna marejesho ,bado bills za kulipa bado michango Yan usiku silali usingizi ninao Sana Ila kila nkikumbuka rejesho aiseee usingizi unakataaaa......ama kweli utuuzima dawa
Kanuni za uchumi zimejengwa kwenye madeni,ni ngumu kuendelea bila madeni hasa ukiwa mfanyabisharaNilipoleta Uzi kuwaambia mukemee roho ya madeni iliyomwagwa na Ibilisi muliona masihara.
Shetani yuko kazini awauwe watu kiroho halafu amalizie mwili.
Hapo dawa ni kuomba sana vifungo vikatike huku ukipata karama ya NENO LA MAARIFA ushinde hilo pigo
Mungu yupo utashinda
Wakuu,
Kwa mara YA Kwanza ndo naexperience Ile Hali YA kukosa usingizi sababu ya madeni Namambo kuwa mengi....nlikua naskiaga tu Kwa watu wakisema madeni yanakosesha usingizi usiku unakua mrefu ...nna marejesho ,bado bills za kulipa bado michango Yan usiku silali usingizi ninao Sana Ila kila nkikumbuka rejesho aiseee usingizi unakataaaa......ama kweli utuuzima dawa
Ungekuwa muislam ningekuelekeza jamboWakuu,
Kwa mara YA Kwanza ndo naexperience Ile Hali YA kukosa usingizi sababu ya madeni Namambo kuwa mengi....nlikua naskiaga tu Kwa watu wakisema madeni yanakosesha usingizi usiku unakua mrefu ...nna marejesho ,bado bills za kulipa bado michango Yan usiku silali usingizi ninao Sana Ila kila nkikumbuka rejesho aiseee usingizi unakataaaa......ama kweli utuuzima dawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii.
I like your courageAcha uoga wewe, unachotakiwa ni kupambana
Mi mwenyewe hapa kesho nina rejesho la 62500/= brac
Tar moja nina kodi ya ofice 600000/=
Tar moja tena nina kodi ya nyumba 300000/=
Kabla ya tar 10 nina deni la maji 84000/=
Jumanne nina rejesho lingine asa 25000/=
Maden yoote hayo lakin bado kichwa hata hakiumi
Na saa hz hapa nipo nimechill na wana napiga lost ya kitimoto na ugal nikishushia na bia za kutosha
Sasa utalipa mate mkuu?Dawa ya deni ni kulipa
Million mbili mkuuDeni kama la kiasi gani Maria? Kuna madeni na videni...