Sikujua kama madeni yanakosesha usingizi kiasi hiki

Either wewe ni mgeni kwenye kudaiwa au wanaokudai wanakufanyia fujo uwalipe wakati huna cha kuwalipa. Lkn kwa sisi wakongwe wa kukopa na tunapokopa tunachagua watu sahihi wa kuwakopa tunalala usingizi muruwa tunakoroma na kujamba tukajamba bukheri wa hamsa ishirini.

Anyway pole sana mrembo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…