🚮 🚮 🚮Tukosema Tanzania kuna maigizo ya upinzani mtuelewe
Tukisema CHADEMA ni kampuni ya watu flani wachache msibishane na sisi
Tukisema Tundu ni kivuruge, muongo, mnafikii, mbinafsi mkubaliane na sisi. Huyu bwana hakuna anachoweza zaidi ya kutetea mabeberu na faragha za mashoga na wasagaji
View attachment 3207426
Ushauri wangu kwa wanachadema kuliko kuendelea kuteseka na kuumia rudini nyumbani kama mwana mpotevu
Luka 15:18
Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;
KUDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
Wanabeza ccm kuengua watu wao alafu na wao wanaengua wajumbe wao kisa tu ni wa upande mmoja ule wa chipukiziAcheni kulialia hamna atayewaonea huruma
Chadema wameshindwa kuongoza chama wataweza kuongoza nchi???
Mtu Una polisi,CCM sifikirii Kama huwa wanategemea kupata kura Kama kura ili kuongoza au kukamata Dola
Na sisi wananchi ambao Kodi zetu zinazidi kutumika kama Ruzuku na Watawala wanazidi kulamba asali, tunalia wapi au nyumbani ni wapi ?Tukosema Tanzania kuna maigizo ya upinzani mtuelewe
Tukisema CHADEMA ni kampuni ya watu flani wachache msibishane na sisi
Ushauri wangu kwa wanachadema kuliko kuendelea kuteseka na kuumia rudini nyumbani kama mwana mpotevu
Luka 15:18
Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;
KUDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
kumbe unafanya propaganda!Tukosema Tanzania kuna maigizo ya upinzani mtuelewe
Tukisema CHADEMA ni kampuni ya watu flani wachache msibishane na sisi
Ushauri wangu kwa wanachadema kuliko kuendelea kuteseka na kuumia rudini nyumbani kama mwana mpotevu
Luka 15:18
Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;
KUDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
Umelogwa sana yaani!Tukosema Tanzania kuna maigizo ya upinzani mtuelewe
Tukisema CHADEMA ni kampuni ya watu flani wachache msibishane na sisi
Ushauri wangu kwa wanachadema kuliko kuendelea kuteseka na kuumia rudini nyumbani kama mwana mpotevu
Luka 15:18
Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;
KUDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
Mtu Una polisi,
Magereza,
Uhamiaji,
Jeshi la ulinzi,
Green guard
Wote hao unawalipa halafu kuna vigogo kutoka taasisi hizi,
BOT,
TRA,
TPA,
TBS,
Na taasisi zingine nyingi,
Wote hao uwahakikishie mishahara zaidi unadhani unapitia wapi.
Haya kuna NEC na benchi lake hii kitu weka mbali na upinzani ni hatari Kwa afya zao
CCM ni dude fulani kuuubwa kuliko
Wabunge wa Viti Maalum wakati wa shujaa Magufuli waliandika Waraka mzito kuhusu kudaiwa Rushwa ya ngono
Ndio Spika Ndugai akaomba Usalama na Takukuru waingilie Kati
Ndipo Halima Mdee akapendekeza yale Majina 19
Happy New Year 😄