mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Tukosema Tanzania kuna maigizo ya upinzani mtuelewe
Tukisema CHADEMA ni kampuni ya watu flani wachache msibishane na sisi
Ushauri wangu kwa wanachadema kuliko kuendelea kuteseka na kuumia rudini nyumbani kama mwana mpotevu
Luka 15:18
Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;
KUDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
Tukisema CHADEMA ni kampuni ya watu flani wachache msibishane na sisi
Ushauri wangu kwa wanachadema kuliko kuendelea kuteseka na kuumia rudini nyumbani kama mwana mpotevu
Luka 15:18
Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;
KUDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI RAIS SAMIA SULUHU HASSAN