Ingewezekana kuishi bila kufanya kazi nadhani wengi tungeenda hukoYani hapo pa ''wanawake watakuja ila wenye hela"....
Vijana wamebweteka, hawataki kufanya kazi...
Wanawaza kitonga tu kwa majimama...
Vipi mkuu ushafika bushirombo maana ugeni wa daslama ulikuwa pasua kichwaHii yoye ni sababu ya vita ya Urusi na Ukraine, pamoja na katiba iliyo chakaa....🤨
Nilifika salama, ila saizi nipo hapa Lyambamigongo nimekuja kuvuna mpunga chief...😂Vipi mkuu ushafika bushirombo maana ugeni wa daslama ulikuwa pasua kichwa
Balaa yaani hapo nanukijua jua sayansi ya mazoezi kidogo uwape warembo mbona unajilia tuu🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe ndio tageti yao
Hahaha ujifanya unajua mazoezi machache unapata pa kuanzia aiseee, ila mazoezi kama uko majalala hayapandi maana inatakiwa ukitoka hapo upige supu, Sasa mazoezi na pass ndefu wapi na wapiBalaa yaani hapo nanukijua jua sayansi ya mazoezi kidogo uwape warembo mbona unajilia tuu
Sasa ndio wengi wanakosea hapo wakipiga zoezi wanaenda bugia mivyakula....kaka uchawi wa kupungua ni chakula tuu wala sio zzoeziHahaha ujifanya unajua mazoezi machache unapata pa kuanzia aiseee, ila mazoezi kama uko majalala hayapandi maana inatakiwa ukitoka hapo upige supu, Sasa mazoezi na pass ndefu wapi na wapi
Kwa kweli ngono imeshika dunia ndio maana porn industry wanatengeneza hela kinomaaaaaVijana wa Kitanzania akili na utendaji kazi wa bongo zao zote zimeathiriwa na kuwaza ngono muda wote.....yaani mazungunzo yote ni ngono tupu.....yaani kila kitu lazima kinasibishwe na ngono ili kuleta msisimko.......
Ukiangalia au kusikiliza miziki, ukitazama filamu, ukisikiliza vipindi vya redio au kutazama luninga habari ni hizo tu.......
Kila mtu ni mganga au mtaalamu wa dawa za nguvu za kiume...... matangazo ya madawa ya kusisimua nguvu za kiume yametapakaa kila kona...........
Huko maofisini na maeneo ya kazi iwe masokoni au migodini ndio usiseme kila mtu kidume Cha mbegu.......
Mafanikio makubwa ni kuwa idadi kubwa ya wanawake au wanaueme aliolala nao.......
Maofisini ni skendo za ngono na kutongozana tu kazi hazifanyiki....watu mpaka wanafumaniana huko maofisini.....
Yaani kuna muda unakaa na kukitafakari hiki kizazi unabakia kusikitika tu....
Yaani changamoto kabisa sijui tunachomokaje hapaVijana wa Kitanzania akili na utendaji kazi wa bongo zao zote zimeathiriwa na kuwaza ngono muda wote.....yaani mazungunzo yote ni ngono tupu.....yaani kila kitu lazima kinasibishwe na ngono ili kuleta msisimko.......
Ukiangalia au kusikiliza miziki, ukitazama filamu, ukisikiliza vipindi vya redio au kutazama luninga habari ni hizo tu.......
Kila mtu ni mganga au mtaalamu wa dawa za nguvu za kiume...... matangazo ya madawa ya kusisimua nguvu za kiume yametapakaa kila kona...........
Huko maofisini na maeneo ya kazi iwe masokoni au migodini ndio usiseme kila mtu kidume Cha mbegu.......
Mafanikio makubwa ni kuwa idadi kubwa ya wanawake au wanaueme aliolala nao.......
Maofisini ni skendo za ngono na kutongozana tu kazi hazifanyiki....watu mpaka wanafumaniana huko maofisini.....
Yaani kuna muda unakaa na kukitafakari hiki kizazi unabakia kusikitika tu....