Sikukuu yote hii eti nimefumania...

Kwamba asingekuwa single mother asingekuwa na mwanaume mwingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yap....
Singo maza Wana bet sanaa.

HAWAJUI nani atawaoa then huwa wanaweka BOTH TEAM TO SCORE.

Their future is much uncertain.

#YNWA
 
Kweli tafuta ili utulie, na maisha yaendelee kwa amani!

Huyu Singo maza anaiona Mimi ni mtoto sanaa, anasahau Nina Miaka zaidi ya 30 sasa.

Ngoja baadae nimwite nimpime Ngoma, then nisuguee mbunyee leo na kesho (weekend).

Then juma3 niende kazini mwepesi.

Ila HATOONA HATA centi yangu.

Akichoka kusuguliwa for free ataondoka.

Alipendwa akazingua.

Then in every action there is equal and opposite reaction.

She did an action is my time for reaction.

NB:-
Kupima ukimwi MUHIMU.

#YNWA
 
Demu kakuona mkono wa birika, kakutafutia gia ya kukutema mzee wa free P, mpenda Kitonga.
Braza umesoma hiyo nyuzi..??

Unajua maana kujitoa kwa MTU?

Bro millenial women HAWARIDHIKI hataa uwape contena la hela.

#YNWA
 
Tuacheni na dada zetu jamani, mkuu wewe limekukuta hili lakini haimaanishi wote wako hivyo.
Every woman is a crazy dog except your mother.
If you have some gults Ask your father.

#YNWA
 
Ogopa single mothers.Ni wazoefu wa mengi!
 
Angalia asije kuwa kaja amejiandaa ile kujaribu unanasa, bora kama umeamua kumuacha muache tu
 
Nishaolewa mkuu ila nilipata mtoto kabla ya kuolewa....hivyo bado naumia kwanini tunadharaulika ivi ingali wasababishaji ni nyie wenyewe
Ulijiuliza/ulipeleleza kujua kwa nini uliachwa?
 
Kwamba asingekuwa single mother asingekuwa na mwanaume mwingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila masingo maza watamu sana....kuna vitu mwilini vishakua flexible utamu unaongezeka maradufu
 
Yap....
Singo maza Wana bet sanaa.

HAWAJUI nani atawaoa then huwa wanaweka BOTH TEAM TO SCORE.

Their future is much uncertain.

#YNWA

Inawezekana ila kabla sijaolewa nimebet pia

Usijidanganye wasio na watoto hawabet
Utaumia zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…