Sikumbuki ni lini Injinia Hersi Said amekuwa mwana Yanga SC Wenzetu. Tumchague Dk. Msola kwa Urais Yanga SC

Wenye Yanga yetu tunaenda na Msomi Dk. Mshindo Mbwete Msolla na siyo Matapeli wengine halafu ni wana Simba SC kindakindaki.

Tutanuniana sana Mwaka huu.
Kwani nyie mlipomkabidhi timu tapeli yule na familia yake tuliwahoji? Kwaiyo na yanga tutamkabidhi tu wala akuna baya kama mnajinyonga na mjinyonge vizuri
 
bila hao jamaa yanga wangekuwa kwenye hali ngumu na wangeendelea kuwa kwenye hali ngumu.
Sasa hivi hauwezi kusikia yanga wachezaji wamegoma kisa mishahara.hata wachezaji waliosajiliwa ni wa viwango.
Kwa. Hyo Wana stahili GSM kupewa sifa
Bora wewe uliyeongea uhalisia pamoja na uwana simba wako

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…