Sikumuona Diamond huko Uganda kwenye mazishi, au macho yangu?

Sijui ni macho yamgu au vipi! Wenzangu vipi mumemuona huko mzee Wa wasafi? Au alituma mwakilishi yeyote?
na huu ndio utakua mwisho wa diamond kupata wototo..Watoto wote(tiffah&nillah) si wake mwanaume mwenzake aliyekua anampiga tafu kuzaa amefariki,....ovaaaa...
 
na huu ndio utakua mwisho wa diamond kupata wototo..Watoto wote(tiffah&nillah) si wake mwanaume mwenzake aliyekua anampiga tafu kuzaa amefariki,....ovaaaa...
Mond kwani hana uzazi?!
 
Kwann uwe bize na maisha ya mtu? Chunguza yako. Mbadu kabsa.
 
na huu ndio utakua mwisho wa diamond kupata wototo..Watoto wote(tiffah&nillah) si wake mwanaume mwenzake aliyekua anampiga tafu kuzaa amefariki,....ovaaaa...
Kwani hakuna wanaume wengine?
 
Kulikuwa na haja ya uwepo wa Diamond Uganda kwa sababu hizi mbili
1.Ivan ni mme mwenza
2.Uwakilishi wa Tanzania katika mazishi.
Uwakilishi Wa Tanzania [emoji15] shabaaash .

Hivi huwa mnawaza nini ?
 
Sa kama hufatilii mambo ya watu umejuaje watu wanafatilia msiba? Mbona upo kwenye kila thread ya zari?
Zari ana jumla ya thread ngap na mimi huko kote nipo..?
pikia mumeo achana na habari za mdada mwenzako.
 
Alikua na,show kenya huyo
Kunguru
 
na huu ndio utakua mwisho wa diamond kupata wototo..Watoto wote(tiffah&nillah) si wake mwanaume mwenzake aliyekua anampiga tafu kuzaa amefariki,....ovaaaa...
Cku sepenga akizaaa na domo
Atapewa kizaz
 
Kwa hali ilivyo ni bora Diamond asiende Uganda. Some low life ugandans think he contributed to Ivans death.

Hawezi kuwa 100% safe. Urban tv jana kulikuwa na special program ya celebrating ivan life. Wazungumzaji walipendekeza diamond asiende Uganda
 
We umejuaje
Nimejuaje!. Kwani wewe hili hulifahamu? Wengi hufa kwa magonjwa yasiyojulikana, kwa kuhudhuria mazishi ya watu waliokuwa wakiwalia wake zao. Kama huamini nenda kaulize babu na bibi zako jibu utapewa.
 
Kwani hakuna wanaume wengine?
zari amejiegesha kwa domo kwa kua anajua hana kizazi...Hatapenda kuzaa na dume jingine kwa kua mume wake wa halali kafariki na alikua hana dhumuni la kuzaa na rijali mwingine zaidi ya mumuwe..,,, huyu domo ni tia maji tia maji tuu..ovaaaa...
 
Hawezi kwenda kule....akienda watamchangia wamdunde
 
zari amejiegesha kwa domo kwa kua anajua hana kizazi...Hatapenda kuzaa na dume jingine kwa kua mume wake wa halali kafariki na alikua hana dhumuni la kuzaa na rijali mwingine zaidi ya mumuwe..,,, huyu domo ni tia maji tia maji tuu..ovaaaa...
Ala Kumbe inaelekea uko karibu sana na Zari kakusimulia yote hayo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…