Sikuona tofauti ya Linesman na Tuisila Kisinda

Sikuona tofauti ya Linesman na Tuisila Kisinda

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
images (1).jpeg


Tukiweka ushabiki pembeni kuna mambo ya kuionea huruma sana Yanga. Moja kati ya hayo ni usajili wa Tuisila Kisinda.

Nakukumbusha tu kwamba huyu ndiyo mchezaji aliyewalipisha faini Yanga huko CAF ili atumike kimataifa. Huyu ndiyo yule aliyeifanya TFF iingie kwenye aibu kuhusu usajili wake. Huyu ndiye TK Master?

Inatia simanzi sana kuona pamoja na yote hayo badala yake amekuwa mtu wa mbio tu kama Linesman.

Katika mechi alizocheza sijaona cha maana zaidi ya mbio tu mpaka anapitiliza.

Wabongo tupunguze shobo na wachezaji wa nje. Kinyume na hapo tunaenda kuwa dampo la wachezaji
 
View attachment 2396499

Tukiweka ushabiki pembeni kuna mambo ya kuionea huruma sana Yanga. Moja kati ya hayo ni usajili wa Tuisila Kisinda.

Nakukumbusha tu kwamba huyu ndiyo mchezaji aliyewalipisha faini Yanga huko CAF ili atumike kimataifa. Huyu ndiyo yule aliyeifanya TFF iingie kwenye aibu kuhusu usajili wake. Huyu ndiye TK Master?

Inatia simanzi sana kuona pamoja na yote hayo badala yake amekuwa mtu wa mbio tu kama Linesman.

Katika mechi alizocheza sijaona cha maana zaidi ya mbio tu mpaka anapitiliza.

Wabongo tupunguze shobo na wachezaji wa nje. Kinyume na hapo tunaenda kuwa dampo la wachezaji
Watara anafanya nini pale mikiani
 
Wamemuacha jembe la maana Kambole wamemchukua huyu mpaka bleach.
 
Hakuna kitu kibaya kama mchezaji anaondoka halafu anakuja tena mnapokea team yoyote malengo ni kwenda mbele sio kuangalia nyuma hata kama mchezaji mzuri akiondoka move on tufanye kama Dear X to ya Mario
Nakukumbusha tu hata Chama alienda kisha akarudi pale Msimbazi! Kisinda sio wa kwanza wala wa mwisho!!
 
View attachment 2396499

Tukiweka ushabiki pembeni kuna mambo ya kuionea huruma sana Yanga. Moja kati ya hayo ni usajili wa Tuisila Kisinda.

Nakukumbusha tu kwamba huyu ndiyo mchezaji aliyewalipisha faini Yanga huko CAF ili atumike kimataifa. Huyu ndiyo yule aliyeifanya TFF iingie kwenye aibu kuhusu usajili wake. Huyu ndiye TK Master?

Inatia simanzi sana kuona pamoja na yote hayo badala yake amekuwa mtu wa mbio tu kama Linesman.

Katika mechi alizocheza sijaona cha maana zaidi ya mbio tu mpaka anapitiliza.

Wabongo tupunguze shobo na wachezaji wa nje. Kinyume na hapo tunaenda kuwa dampo la wachezaji
Una jengine au umeshamaliza?
 
Sasa we ulitegemea nini ofsa?

Management ya Yanga inafanya usajili kulingana na namna wachambuzi wanazi wa Yanga wanavyo sema

Walivyosikia Azizi Ki akipewa sifa kuwa ana mikimbio mizuri wakapata wazo, kama huyu Azizi Ki anaonekana mzuri kwasbabu ya mikimbio, vipi tukimsajili Tuisila hali itakuwaje?

Yanga wamemuweka bench Farid Mussa ambaye ni bonge la player, eti unamuanzisha Moloko na Tuisila

Ndo maana watu wanasema labda kwasababu Farid Mussa hapaki bleach kichwani na ndio maana anatengwa.

Siku atayopaka bleach na kunyoa kiduku basi lazima aanze kikosi cha kwanza
 
Back
Top Bottom