3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
Kambole yuko avic hajaachwaWamemuacha jembe la maana Kambole wamemchukua huyu mpaka bleach.
Kuna picha inatembea sana mitandaoni alikuwepo wakati wanamuaga daktari wao wa timu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kambole yuko avic hajaachwaWamemuacha jembe la maana Kambole wamemchukua huyu mpaka bleach.
Sijaongelea Yanga wala Simba nimesema ni vizuri mtu akiondoka kaondoka move on kama dear X iwe Simba, Yanga sijui Azam na wengine unless kama team ndogo watu wanakuja ku retire sawa.Nakukumbusha tu hata Chama alienda kisha akarudi pale Msimbazi! Kisinda sio wa kwanza wala wa mwisho!!
Safi sana chuma kileKambole yuko avic hajaachwa
Kuna picha inatembea sana mitandaoni alikuwepo wakati wanamuaga daktari wao wa timu
Moloko na Kisinda kwa hapa kwetu Tanzania tuna wachezaji wengi tu ambao wanazidi kwa mbali sana hao jamaa wawili!Sasa we ulitegemea nini ofsa?
Management ya Yanga inafanya usajili kulingana na namna wachambuzi wanazi wa Yanga wanavyo sema
Walivyosikia Azizi Ki akipewa sifa kuwa ana mikimbio mizuri wakapata wazo, kama huyu Azizi Ki anaonekana mzuri kwasbabu ya mikimbio, vipi tukimsajili Tuisila hali itakuwaje?
Yanga wamemuweka bench Farid Mussa ambaye ni bonge la player, eti unamuanzisha Moloko na Tuisila
Ndo maana watu wanasema labda kwasababu Farid Mussa hapaki bleach kichwani na ndio maana anatengwa.
Siku atayopaka bleach na kunyoa kiduku basi lazima aanze kikosi cha kwanza
Hakuwahi kuwa na faida toka akanyage bongo....View attachment 2396499
Tukiweka ushabiki pembeni kuna mambo ya kuionea huruma sana Yanga. Moja kati ya hayo ni usajili wa Tuisila Kisinda.
Nakukumbusha tu kwamba huyu ndiyo mchezaji aliyewalipisha faini Yanga huko CAF ili atumike kimataifa. Huyu ndiyo yule aliyeifanya TFF iingie kwenye aibu kuhusu usajili wake. Huyu ndiye TK Master?
Inatia simanzi sana kuona pamoja na yote hayo badala yake amekuwa mtu wa mbio tu kama Linesman.
Katika mechi alizocheza sijaona cha maana zaidi ya mbio tu mpaka anapitiliza.
Wabongo tupunguze shobo na wachezaji wa nje. Kinyume na hapo tunaenda kuwa dampo la wachezaji
Basi kama hali ni hii uko Utopoloni...ule usemi kwamba wenye akili Utopolo nzima ni wawili sasa ni dhahiriSiku atayopaka bleach na kunyoa kiduku basi lazima aanze kikosi cha kwanza
Mbona kama mkorogo umedunda. Berkane wamemkataaView attachment 2396499
Tukiweka ushabiki pembeni kuna mambo ya kuionea huruma sana Yanga. Moja kati ya hayo ni usajili wa Tuisila Kisinda.
Nakukumbusha tu kwamba huyu ndiyo mchezaji aliyewalipisha faini Yanga huko CAF ili atumike kimataifa. Huyu ndiyo yule aliyeifanya TFF iingie kwenye aibu kuhusu usajili wake. Huyu ndiye TK Master?
Inatia simanzi sana kuona pamoja na yote hayo badala yake amekuwa mtu wa mbio tu kama Linesman.
Katika mechi alizocheza sijaona cha maana zaidi ya mbio tu mpaka anapitiliza.
Wabongo tupunguze shobo na wachezaji wa nje. Kinyume na hapo tunaenda kuwa dampo la wachezaji
Kama ninyi mulivyokamuuza chikwende?Hamjamfanyia shipping kumuuza timu nyingine?
Kwa hiyo bora wangesajili swala haaa haaa
Siku okwa akianza kikosi cha kwanza na farid nae ataanzaSasa we ulitegemea nini ofsa?
Management ya Yanga inafanya usajili kulingana na namna wachambuzi wanazi wa Yanga wanavyo sema
Walivyosikia Azizi Ki akipewa sifa kuwa ana mikimbio mizuri wakapata wazo, kama huyu Azizi Ki anaonekana mzuri kwasbabu ya mikimbio, vipi tukimsajili Tuisila hali itakuwaje?
Yanga wamemuweka bench Farid Mussa ambaye ni bonge la player, eti unamuanzisha Moloko na Tuisila
Ndo maana watu wanasema labda kwasababu Farid Mussa hapaki bleach kichwani na ndio maana anatengwa.
Siku atayopaka bleach na kunyoa kiduku basi lazima aanze kikosi cha kwanza
Nelson Okwah, Victor Akpan, Ouwatara,................!!!!!!View attachment 2396499
Tukiweka ushabiki pembeni kuna mambo ya kuionea huruma sana Yanga. Moja kati ya hayo ni usajili wa Tuisila Kisinda.
Nakukumbusha tu kwamba huyu ndiyo mchezaji aliyewalipisha faini Yanga huko CAF ili atumike kimataifa. Huyu ndiyo yule aliyeifanya TFF iingie kwenye aibu kuhusu usajili wake. Huyu ndiye TK Master?
Inatia simanzi sana kuona pamoja na yote hayo badala yake amekuwa mtu wa mbio tu kama Linesman.
Katika mechi alizocheza sijaona cha maana zaidi ya mbio tu mpaka anapitiliza.
Wabongo tupunguze shobo na wachezaji wa nje. Kinyume na hapo tunaenda kuwa dampo la wachezaji