Sikuona tofauti ya Linesman na Tuisila Kisinda

Nakukumbusha tu hata Chama alienda kisha akarudi pale Msimbazi! Kisinda sio wa kwanza wala wa mwisho!!
Sijaongelea Yanga wala Simba nimesema ni vizuri mtu akiondoka kaondoka move on kama dear X iwe Simba, Yanga sijui Azam na wengine unless kama team ndogo watu wanakuja ku retire sawa.
 
Moloko na Kisinda kwa hapa kwetu Tanzania tuna wachezaji wengi tu ambao wanazidi kwa mbali sana hao jamaa wawili!
 
Hakuwahi kuwa na faida toka akanyage bongo....
 
Mbona kama mkorogo umedunda. Berkane wamemkataa
 
Okwa
Outara
Banda
Ndo unaona usajili makini
Iv nyie makolo nani kawaloga
 
Siku okwa akianza kikosi cha kwanza na farid nae ataanza
 
Ko Nabi ndo basi tena πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Ile taarifa hivi uliokota wapi?
 
Tuisila Kisinda namuona kama swala tu anachoweza ni kukimbia tu. Masikini Kambole kageuzwa msukule kumpisha huyu Kinyambe.
 
Nelson Okwah, Victor Akpan, Ouwatara,................!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…