Sikushangaa kumuona Rayvanny kwenye jukwaa la Mwamposa. Mjini kuna mengi

Sikushangaa kumuona Rayvanny kwenye jukwaa la Mwamposa. Mjini kuna mengi

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066

View: https://www.instagram.com/reel/DDik26boAQ2/?igsh=aTVva3FldHozbmRw

Najua wengine mnashangaa Rayvanny na Mwamposa wapi na wapi.

Rayvanny ametoa album na kuna wimbo yupo na Mwamposa.

Usiku alikuwa kwenye ibada ya Mwamposa na akapanda jukwaani akapewa na maiki aimbe.

Watu wanasema anapromoti album yake lakini nawaambia mjini kuna mengi.

Rayvanny ana pesa sana nafikiri top 3 ya wasanii wenye hela hapa bongo piga ua umkosi japo hana kelele ikifika kwenye neema zake ni anaeficha sana rizki zake.

Niende kwenye point ya msingi Rayvanny na Mwamposa awajakutana barabarani.

Mjini kuna mengi na biashara ni nyingi pia. 🐴🐴🐴🐴🐴🐴🐴
 
Ataacha kuimba zile nyimbo zenye maudhui ya uzinzi na uasherati? Au ameombewa ili akaimbe zaidi?
 

View: https://www.instagram.com/reel/DDik26boAQ2/?igsh=aTVva3FldHozbmRw

Najua wengine mnashangaa Rayvanny na Mwamposa wapi na wapi.

Rayvanny ametoa album na kuna wimbo yupo na Mwamposa.

Usiku alikuwa kwenye ibada ya Mwamposa na akapanda jukwaani akapewa na maiki aimbe.

Watu wanasema anapromoti album yake lakini nawaambia mjini kuna mengi.

Rayvanny ana pesa sana nafikiri top 3 ya wasanii wenye hela hapa bongo piga ua umkosi japo hana kelele ikifika kwenye neema zake ni anaeficha sana rizki zake.

Niende kwenye point ya msingi Rayvanny na Mwamposa awajakutana barabarani.

Mjini kuna mengi na biashara ni nyingi pia. 🐴🐴🐴🐴🐴🐴🐴

Hao wote ni wanyakyusa wa mbeya so wanabebana kitu ambacho si kibaya.
 
😂😂😂 ila hivi ni vituko aisee.

Kweli mjini kuna mengi aisee.
 

View: https://www.instagram.com/reel/DDik26boAQ2/?igsh=aTVva3FldHozbmRw

Najua wengine mnashangaa Rayvanny na Mwamposa wapi na wapi.

Rayvanny ametoa album na kuna wimbo yupo na Mwamposa.

Usiku alikuwa kwenye ibada ya Mwamposa na akapanda jukwaani akapewa na maiki aimbe.

Watu wanasema anapromoti album yake lakini nawaambia mjini kuna mengi.

Rayvanny ana pesa sana nafikiri top 3 ya wasanii wenye hela hapa bongo piga ua umkosi japo hana kelele ikifika kwenye neema zake ni anaeficha sana rizki zake.

Niende kwenye point ya msingi Rayvanny na Mwamposa awajakutana barabarani.

Mjini kuna mengi na biashara ni nyingi pia. 🐴🐴🐴🐴🐴🐴🐴

Eti Rayvan ana pesa namba tatu kwa wasanii,,wabongo hamna akili!!
 
Punda wa Mwamposa, drug pusha na drug dealer
 
Mimi ni mgeni humu punda inamaana gani samahanini😀
 
Back
Top Bottom