kwa iyo wale ambao tumepima tukakutwa tumeathirika Mungu hatupendi na sio mwema kwetu..si ndio!!
in this life jaribu kujifunza kwamba kila kitu kinatokeakwa sababu ambazo wewe au mimi hatuzifahamu.......hakuna mtu asiependa uhai wake;wewe ulienusurika kuambukizwa haimaanishi ndio mwisho wa kutoambukizwa.........utaishi utasahu na litatokea lingine tofauti na hilo n aukajikuta upo positive......mshukuru Mungu kwa kila jambo.
watu wenye upeo na uelewa wa mambo kama wewe hatutegemei kuanza stigma na kujiona ndio bora kuliko hao walio positive....
ujumbe wangu:
hata walioathirika walikua Negative kama wewe!
hongera kwa kua negative...hata ukikutwa positive miaka 6 ijayo....umshukuru Mungu pia.. na maisha yaendelee!!
in this life jaribu kujifunza kwamba kila kitu kinatokeakwa sababu ambazo wewe au mimi hatuzifahamu.......hakuna mtu asiependa uhai wake;wewe ulienusurika kuambukizwa haimaanishi ndio mwisho wa kutoambukizwa.........utaishi utasahu na litatokea lingine tofauti na hilo n aukajikuta upo positive......mshukuru Mungu kwa kila jambo.
watu wenye upeo na uelewa wa mambo kama wewe hatutegemei kuanza stigma na kujiona ndio bora kuliko hao walio positive....
ujumbe wangu:
hata walioathirika walikua Negative kama wewe!
hongera kwa kua negative...hata ukikutwa positive miaka 6 ijayo....umshukuru Mungu pia.. na maisha yaendelee!!