Sikutegemea kama ingetokea siku na mimi nijihisi nimeambukizwa UKIMWI...

 
Kastori kazuri kwelikweli na kanafundisha sana. Ahsante kwa somo zuri na njia nzuri uliyotumia kuliwaslisha.
asante mkuu Baba Mkali.
Nafurahi kuwa umepata somo.
Tuko pamoja.

 
Last edited by a moderator:

Kama ulikuwa unafahamu hizo research zilizofanyika, huo wasiwasi ulikuwa unatoka wapi; unafikiri wanaofanya research ni kwa ajili ya kufaulu tu, ili tupate kujifunza. Wewe hakuna ,ujumbe wowote uliokuwa unawakilisha zaidi ya KUMNYNANYAPAA mama yako, kwani hata maelezo yako hayaonyeshi kama kuna jitihada zozote ambazo unachukua katika kumpunguzia mama yako mateso aliyonayo zaidi ya kujigamba kwamba wewe sasa ni salama. LAANA HII ITAKUMALIZA NA UTAKUFA KABLA YA MAMA YAKO...........!!!!??
 
Kastori kazuri kwelikweli na kanafundisha sana. Ahsante kwa somo zuri na njia nzuri uliyotumia kuliwaslisha.

Kweli JF imevyamiwa, hivi great thinkers hawapo tena humu.....???, mtu anamnyanyapaa mama yake na anaonyesha kutokujali hali aliyonayo mama yake............!!!!???, halafu unasema stori nzuri........hivi anaweza kuwa na ujasiri wa kumweleza mama yake stori hii.........??? au huku kuficha ID ndio kunafanya kuvuka mipaka ya kufikiri....???

Hii stori inaweza kuwa kwako ni sawa kama na wewe ni mmoja kati ya wale wanaowanyanyapaa wanaoishi na virusi vya ukimwi; kwani aliyeleta huu uzi anataka jamii iwatenge wanaoishi na virus vya ukimwi. Kwani hata kwenda kulala kwa mama yake huyo, alienda tu basi na huku tayari akiwa na mtazamo mbaya sana. Ukiamini mtu kuwa ni mchawi basi utafikiri kila tendo atendalo anakuloga. NAKUSHAURI KUFANYA JAMBO LA UPENDO KWA MAMA YAKO, VINGINEVYO UTAKUFA KABLA YAKE......................!!!!!!!!!???, hii ni kutokana na uzoefu...........!!!
 
Mbona unamshambulia queenkami wapi kamkosea mama yake mkubwa? Point yake ilikuwa kuwa sio kila ukiguswa na mtu ana ugonjwa unapata ugonjwa, sidhani kama alikuwa hamheshimu mama yake asinge enda kulala kwake wakati anajua alikuwa mgonjwa.

Kwenda kulala kwa mama yake mkubwa ni moja ya heshima kubwa hakujali kama mama yake mkubwa anaugonjwa...Ugonjwa wa mama yake mkubwa haukumzuwia kuwa karibu naye, wengine wasinge hata kumsogelea....Mimi nampa Big up queenkami.
 

Tusiwe tunachangia mada kwa ushabiki; fuatilia maelezo yake ya awali, hakuenda kulala kwa mama yake kwa mapenzi bali kutokana na msukumo ambao mama yake alikuwa akitoa, kwani alikuwa anamlaumu kwani nini anashindwa kwenda kulala kwake japo siku moja;

"Kila nikifika huwa nampigia simu mama mkubwa na pia najitahidi kwenda nyumbani kwake kumsalimia lakini mama mkubwa analalamika kuwa ni vizuri siku nikiwa huko japo siku moja moja nilale nyumbani kwake."

Kutokana na kufahamu kwake kwamba mama yake ni muathirika ndio maana alikuwa hataki kwenda kulala kwake;

"Mama yangu mkubwa nimuathirika wa UKIMWI,sio kwa kumuhisi bali kwa kinywa chake alimweleza mama yangu,pia hataki kutumia hizi dawa za kurefusha maisha hivyo amekonda sana na ana mapele na vidonda na majipu vinamtokea kila mara."

Hata alipoamua kwenda kulala kwa mama yake, ilikuwa kwake ngumu kulala, alizuga kwa stori mpaka usiku mkubwa (HUU NI UNYANYAPAA);

"Siku moja nikiwa huko nikaamua kwenda kulala nyumbani kwa mama mkubwa wangu japo ana chumba kimoja,nilipofika nikakuta kidole chake kimoja cha mkononi kimeoza kwa kidonda chenye usaha,mwenyewe akanambia eti kuna mdudu akiingia kwenye kucha kidole ndo kinakua hivyo.

Tulikula kisha tukapiga story hadi usiku mwingi kisha sababu alikua ana magodoro mawili nikamwomba anitandikie godoro mim nilale chini."


Angalia lugha iliyotumika hapa; kwanza inakuwa ngumu sana kwa mtu mwenye akili timamu haya maelezo kuingia akilini:

"Wakati anatandika shuka kwenye hilo godoro kwa bahati mbaya kile kidole chake chenye kidonda kikanichoma mguuni hadi pakakatika hadi damu ikanitoka halafu ule usaha wake ukabakia juu ya hapo aliponikata na kucha yake."

Eti ukucha wa mguu wenye kidonda ukamchoma hadi kukatika......???? HOW........???

NAMUOMBA HUYU queenkami KWENDA KUTEKELEZA JAMBO LA UPENDO KWA MAMA YAKE, VINGINEVYO JINA LA queenkami, LITABADILIKA KARIBUNI na kuwa marehemukami. Hii ni kutokana na uzoefu....!!!???
 
 
Last edited by a moderator:
Duh majaribu ni mengi sana hapa duniani na haya magonjwa haya....sijui yani itakuwaje?
 
 
Duh majaribu ni mengi sana hapa duniani na haya magonjwa haya....sijui yani itakuwaje?

sana tu mkuu Sizinga.
Ni kumuomba tu Mungu maana kama sio yeye hata mimi leo hii ningekua miongoni mwa waathirika lakini kaninusuru.
Mungu ni mwema sana.
 
Last edited by a moderator:
Pole,chochote ukitia hofu tu na ukisiliza watu wanavojaji bac vinazuka vya ziada na ugonjwa kuongezeka kwa kasi.
 
Pole sana queenkami, umenikumbusha rafiki yangu mmoja aliwahi kupatwa na mkasa unaokaribia kufanana na wako na kiukweli aliponea tundu la sindano, wakati mwingine watu huwa wanaugua kwa makosa...ni bora wewe ulipata hata huo ujasiri wa kwenda kupima mwingine angeamua kubaki kama alivyo kwa kuhofia majibu atakayokutana nayo.....
 
Last edited by a moderator:
Wewe unataka kuwaaminisha watu hapa kwamba upo salama, ili mtu aje kukubandua bila kondomu. Lete vyeti basi............!!!???
 
Kwanza ulipima wapi..........???, hakuna hospital BONGO, kapime INDIA na utuletee vyeti.
 
Ninyi vinuka mkojo wa siku hizi, ukishaona unawanyanyasa wanaume kadhaa kwa kuwapanga foleni; mnakuwa na matusi ya rejareja sana. Juzi kuna mwenzio katukana wanaume wote wa TZ kwamba ni wachafu, wewe unawafanya waliojikuta wana virusi vya UKIMWI kwamba walitegemea kupatwa na hiyo hali, kutokana na kauli yako hii; "Sikutegemea kama ingetokea siku na mimi nijihisi nimeambukizwa UKIMWI" Kwa hiyo unafikiri waliojikuta na virusi vya UKIMWI walitegemea..........????
 
Kwa hiyo umekuja kujisifu kwamba wewe ni salama zaidi na kufanya unyanyapaa kwa mama yako, utakufa wewe na mama yako utamuacha........!!!





Halafu ni kwanini wengine mnapenda kumdhalilisha Bwana Yesu......???? NAOMBA UONDOE HIYO SLOGANI YAKO, ETI "YESU NAKUPENDA NITUMIE UPENDAVYO", mpaka utakapokuwa tayari kutumiwa na Bwana YESU, kwa sasa unatumiwa na shetani.

MTAMBUZI ametambua, acha kujishaua hapa.........ninavyomfahamu MTAMBUZI hawezi ku-support huu upuuzi na ikiwa ana-support hili, itabidi aombe msamaha waathirika wote.






 
huu ni unyanyapaa na sitaunga mkono hata kama jamii yote itaunga mkono.........................!!!!!!!!!!?????????????????????????????
 

bibie upo.....................?......... sweetlady.

Pole queenkami...............hili dude linatisha asikwambie mtu.............unaweza kufa kwa presha.............!
Ila hongera kwa kupima................na kukuta uko fresh..............Sasa kuwa makini zaidi ukicheza kizembe zembe tu hadithi inabadilika...................................!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…