Sikutegemea nilichokikuta ukweni

Sikutegemea nilichokikuta ukweni

Kuna siku tulikwenda kumuwakilisha dogo kwenye kutoa mahari, Kuna kiasi elekezi tulichoambiwa, kufika ukweni kabla ya kula tukaingia kufanya negotiations kwanza. Wakwe wakatuona labda tuna pesa Sana wakapandisha kila kitu zaidi ya Mara nne kupunguza wamegoma. Sisi tukasema hebu tutoke nje tukatete halafu tunarudi kutoa mrejesho. Ile kutoka nje tukampigia muoaji simu kwamba Mambo huku si Mambo. Dogo akasema, Wala msirudi kuaga ingieni kwenye gari rudini acha wale chakula Chao wenyewe na Mimi nambwaga binti Yao. Kwani tutakutana nao wapi sisi kila mtu anatokea mkoa wake. Ndio ikawa binti arudi sokoni Tena kutafuta mchumba mwingine.
🤣🤣🤣 Hayo maamuzi ya Kiume sanaa . Unajua kuoa una unganisha udugu, watu wanafanya kama mnauziana binti ,mna komoana then kesho yake bado watakuja na kuombana sijui mjomba hivi, baba vile au naend home kuuguza.

Mahari ni zawadi tu, Sio chanzo cha mapato wala mtaji kwa wazeee.
 
Usiogope! Unachopaswa kufanya ni kutoa ulichonacho hata kama umeambiwa ni shiling ngapi! Mahari haiishi kulipa.
Mkuuu! Kuna familia za ovyo sanaaa. Unaweza kujikutana masimango kisa hukumaliza mahari, au watu wanaanza kufanya maamuzi ya chini chini kukunyima sauti kisa hujamaliza mahari...
 
Ukiona wanakupandishia mahari kwa kudhani una pesa ya mchezo, waambie ngoja nikazitafute halafu block simu zao zote hata simu ya huyo binti Yao, then endelea na ustaarabu mwingine. Binti mwenyewe labda ana ma X kibao na wazee wake wanajua Ila tu kwa kuwa umekua muungwana umekwenda kujitambulisha wanakuona bwege.
 
MTIE MIMBA halafu kausha, hudumia mimba azae akiwa kwao, hudumia mtoto,
Ukiona kimya MTIE MIMBA nyingine hudumia kama kawaida,
wakileta jeuri TIA MIMBA nyingine, watamleta kwako wao wenyewe tena na gharama za usafiri ni juu yao.
Unamwingiza chaka mwenzio mchana kweupe! Atashushiwa mshipa wa ngiri mpaka akome! Yaani kazee kanamhesabu binti kama mtaji uje ukachafulie katakuacha salama? Kikubwa afanye negotiation vizuri tu mbona dingi atashuka! Hapo 2m uhakika!
 
Wakuu habari za muda huu.

Kijana wenu nina umri wa miaka 28. Baada ya kuona kwamba sasa yanifaa kuwa na mwenzangu wa kuishi nae basi nikachukua jukumu la kwenda kwao kujitambulisha na kufahamika rasmi ili basi niishi nae kihalali kabsa
Kipato changu sio kikubwa sana hvo nikawa nimejiwekea kias flan kama mahari (million 1) nikamwambia mwenzangu kwamba hima hima kaongee na mama kama ataweza kuongea na mzee bc mahari isizidi hapo.

Mwenzang akanifata na kunijulisha kwamba mzee amekubal lkn anaomba angalau basi iwe 1.5 ili waweze kugawana nyumban na baadhi ya ndugu kwakuwa natambua kwamba mahari huwa haiishi (baada ya kuelezwa na wakubwa wangu) bc nilikubali kulipa hyo 1.5 lkn kwa malipo ya kidogo kidogom.

Jana kwa neema ya Mungu ndugu na familia yangu wakaongozana hadi kwao na mwenzang kwa ajili ya kutoa kishika uchumba na pia kulipa nusu ya mahali tuliyokubaliana. Baada ya kufika huko ndugu zangu hawakuamin walichokutana nacho huko ambacho ht mm mpk sasa siamin bado.

Mahari wamekuta ni million 4 na mahitaji kama koti la babu na vitu vingine jumla million 2 yan TOTAL ni million 6.

Kwa bahati mbaya sikuwepo ila laiti kama ningekuwepo bc ningewaomba ndugu zangu turudi nyumban
Nimesikitishwa sana na kilichotokea jana japo ndugu wamenishauri nisioneshe nia ya kukataa kuendelea na binti huyo lakini naona kabisa sitoweza najiona nikimuacha na kuendelea na maisha yangu
Ukweni wamenionesha rangi halisi kwamba kwao pesa ndio kipaumbele kikubwa kulko upendo.

Roho imeniuma sana nimejitoa vitu vingi sana ukweni kabla ya cku ya jana malipo yake ni mahari ya kukomoana kiasi hiki.

Wakuu naombeni faraja zenu na ushauri wenu nifanye nini katika swala hili.

Natanguliza shukran🙏
Naomba namba ya huyo mchumba wako kuna kitu nataka nimuelekeze
 
Wakuu habari za muda huu.

Kijana wenu nina umri wa miaka 28. Baada ya kuona kwamba sasa yanifaa kuwa na mwenzangu wa kuishi nae basi nikachukua jukumu la kwenda kwao kujitambulisha na kufahamika rasmi ili basi niishi nae kihalali kabsa
Kipato changu sio kikubwa sana hvo nikawa nimejiwekea kias flan kama mahari (million 1) nikamwambia mwenzangu kwamba hima hima kaongee na mama kama ataweza kuongea na mzee bc mahari isizidi hapo.

Mwenzang akanifata na kunijulisha kwamba mzee amekubal lkn anaomba angalau basi iwe 1.5 ili waweze kugawana nyumban na baadhi ya ndugu kwakuwa natambua kwamba mahari huwa haiishi (baada ya kuelezwa na wakubwa wangu) bc nilikubali kulipa hyo 1.5 lkn kwa malipo ya kidogo kidogom.

Jana kwa neema ya Mungu ndugu na familia yangu wakaongozana hadi kwao na mwenzang kwa ajili ya kutoa kishika uchumba na pia kulipa nusu ya mahali tuliyokubaliana. Baada ya kufika huko ndugu zangu hawakuamin walichokutana nacho huko ambacho ht mm mpk sasa siamin bado.

Mahari wamekuta ni million 4 na mahitaji kama koti la babu na vitu vingine jumla million 2 yan TOTAL ni million 6.

Kwa bahati mbaya sikuwepo ila laiti kama ningekuwepo bc ningewaomba ndugu zangu turudi nyumban
Nimesikitishwa sana na kilichotokea jana japo ndugu wamenishauri nisioneshe nia ya kukataa kuendelea na binti huyo lakini naona kabisa sitoweza najiona nikimuacha na kuendelea na maisha yangu
Ukweni wamenionesha rangi halisi kwamba kwao pesa ndio kipaumbele kikubwa kulko upendo.

Roho imeniuma sana nimejitoa vitu vingi sana ukweni kabla ya cku ya jana malipo yake ni mahari ya kukomoana kiasi hiki.

Wakuu naombeni faraja zenu na ushauri wenu nifanye nini katika swala hili.

Natanguliza shukran🙏
Kujitoa kwako ukweni ndio sababu ya wao kukupiga parefu.
 
Sio kuwa na pesa bro. Nina mtoto wa kike nampenda sana. Are mtu kumuoa alafu alete pigo za kuwa namtajia mahari kubwa au kumkomoa namuona boya.

I raised my daughter well she deserve kupewa mahari njema kabisa. Anastahili kabisa

Na hao wanaodai watamtia binti mimba watasubiri sana. Sio kila mtoto wa kike aba akili mbovu.
😁😁Mkuu chunga sana usimwamini sana binti yako, tusije kukukuta juu ya mwembe

Parapanda mara nyingi huanza hivi.

Trust - disappointment - BP+stroke+heart attack/suicide, then history.
 
😁😁Mkuu chunga sana usimwamini sana binti yako, tusije kukutungua juu ya mwembe.
Ukiona binti ana mambo ya ovyo ukweli ni kuwa umefeli kama mzazi. Na kufeli kupo sikatai, akiwa binti wa hovyo anayeshindwa kuniheshimisha she ain't my daughter
 
Unamwingiza chaka mwenzio mchana kweupe! Atashushiwa mshipa wa ngiri mpaka akome! Yaani kazee kanamhesabu binti kama mtaji uje ukachafulie katakuacha salama? Kikubwa afanye negotiation vizuri tu mbona dingi atashuka! Hapo 2m uhakika!
Milioni 2 ananunua ng'ombe wa maziwa au.. Halafu masuala ya mzai kutaja mahari utafikiri ye ndio muolewaji, utaratibu huo haufai, mahari ni zawadi ya binti muolewaji toka kwa mume.

Kwa mujibu wa imani ya dini yangu,
Kwamba nimeenda kuposa, binti kanikubali, kule kunikubali mimi, yaani huenda kaishakataa wengine huko, hivyo kwa furaha ni kumuuliza nikuoe zawadi gani, yeye ndio anataja, zawadi hiyo ndio inaitwa MAHARI.
 
Milioni 2 ananunua ng'ombe wa maziwa au.. Halafu masuala ya mzai kutaja mahari utafikiri ye ndio muolewaji, utaratibu huo haufai, mahari ni zawadi ya binti muolewaji toka kwa mume.

Kwa mujibu wa imani ya dini yangu,
Kwamba nimeenda kuposa, binti kanikubali, kule kunikubali mimi, yaani huenda kaishakataa wengine huko, hivyo kwa furaha ni kumuuliza nikuoe zawadi gani, yeye ndio anataja, zawadi hiyo ndio inaitwa MAHARI.
Sasa mkuu mila unalinganisha na imani ya dini? Usukumani mahari ni ya baba! Ndiyo maana huwa kuna utaratibu wa kwenda "kuloma mpango!" Mzee anachagua wazee wenzake wanaenda ku-bargain mahari! Siku moja nikasakiziwa vijana wa Kiha kwenda kuwatetea kwenye mahari vizee vya Kisukuma vikang'ang'ania 5m, vijana wa Kiha wakakata tamaa ya kupata binti wa Kisukuma! Mwisho wa siku tukayamaliza pamoja na vutankuvute!
 
Aiseee........ nadhani ulikosea kuwaambia waondoke,wangerudi na kuwaambia basi sisi tunaondoka,tutarudi tukiwa tayari.
 
Tafuta hiyo milioni 6 nenda Karatu au Manyara kakodi shamba la milioni 3, hiyo 3 nyingine ifanyie mipango ya kulima. Muda wa kuanza kuandaa mashamba unakaribia
 
Back
Top Bottom